Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Na shida unabaki high way mwenzako anachochora
 
Mseveni wa Uganaga alishasema hiv !!


Despite knowing the address of HIV /AIDS we still like going there and easily get killed ….



Licha ya kujua kuwa kwenye kma na Mb’o kuna ukimwi bado tunapenda kwenda kule na matokeo yake tunauliwa kiraisi
 
Hujawahi muona mgonjwa wa aggressive cancer
Si bora ukimwi unaweza ishi hata miaka 20 aggressive cancer ndani ya miezi kinakua ni kipindi cha mateso makali sana mgonjwa ni analia mda wote au anaugumia maumivu mda wote
 
Exactly
Cancer hapana aisee bora ukimwi
 
Pia Iringa Ina muingiliano sana madereva wa malori wa Nchi za nje wanapenda kulala iringa plus biashara za mazao zinaleta sana wageni pia hii imechagia sana all in all aliyeleta ARV ajengewe sanamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…