Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Wewe upo kama Mimi yaan nikiwazaga ivyo....

Na cancel [emoji3582][emoji777]

Mm ni Mmoja ya binadamu wachache Wakiume ambao tangu tumeoa hatujawai kuchepuka.....
Hua nachepuka sana tu maana hata kondom zipo tu, Nilisha wahi lala na demu aliye athirika usiku mzima alafu alivyo mshenzi anajiachia tu ili aniue mamaeee nilijisemea kimoyo moyo huniui ng'o nikawa kila nikimwaga nachana ndom baadae nasikia anatumia mashudu [emoji1787][emoji1787] nilikaa mwaka nikajipima sina ngoma aisee tutumie kondom wadau
 
Hua nachepuka sana tu maana hata kondom zipo tu, Nilisha wahi lala na demu aliye athirika usiku mzima alafu alivyo mshenzi anajiachia tu ili aniue mamaeee nilijisemea kimoyo moyo huniui ng'o nikawa kila nikimwaga nachana ndom baadae nasikia anatumia mashudu [emoji1787][emoji1787] nilikaa mwaka nikajipima sina ngoma aisee tutumie kondom wadau
Anakususia mbususu kabisa upige utakavyo 🤣🤣🤣🤣
 
Huu ndo ukweli sema nn wenzetu wanaamini kila kitu ni mapepo lakini ukweli divorce kidogo initie uchizi
Pole mkuu.
Divorce sio kitu kidogo ndo mana nchi za wenzetu watu wakiachana wanapata msaada wa wataalam ili wakae sawa.
You will be fine ila anza sasa kutumia kinga na kujitoa kwenye huo uraibu🙏
 
Hua nachepuka sana tu maana hata kondom zipo tu, Nilisha wahi lala na demu aliye athirika usiku mzima alafu alivyo mshenzi anajiachia tu ili aniue mamaeee nilijisemea kimoyo moyo huniui ng'o nikawa kila nikimwaga nachana ndom baadae nasikia anatumia mashudu [emoji1787][emoji1787] nilikaa mwaka nikajipima sina ngoma aisee tutumie kondom wadau
R.I.P Nest ni rafik wa mdogo wangu walisoma ote advance level.....

Ni kijana very humble msikivu na mtanashati...
Alipenda kuniita bro am 4 real Kwa unyenyekevu na heshima...

Akanipa story alienda kijijini Kwao kutembelea akakuta kadada walichezaga wote udogoni kapo piki (EPIC) ya urembo....
Tupia maneno MAWILI matatu wakaenda peana utamu...

Kumaliza show akawa wana hangout na bidada so kurudi mtaa washikaji wakamsanua kua yule bidada kapita na kibopa mwenye miwaya na ni confirmed bi dada ana miwaya.......

Baada ya mwaka anaambiwa bidada kavuta... mshikaji akabakia dilemma kupima anaogopa na hakuthubutu so mshikaji akiwa mwaka wapili university nayeye akavuta alianza kuugua ugua mara kifua mara homa....
 
Anakususia mbususu kabisa upige utakavyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akanisusia mbususu bhana ili aniue [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kiukweli pamoja na umalaya wangu sijawahi tembea na ke bila ndomu yaani huwa nahakikisha najikinga balaa na hata nilale na dem mzuri vipi siwezi pita na mbususu bila kondom. Kitakacho nifanya nife kirahisi nikazi yangu maana huwa tunajichoma kwa bahati mbaya sindano pindi tuwahudumiapo wagonjwa sema tukiwapima tunawakuta wapo safe.
 
Acha uwoga wewe mbususu tamu mbona mie nina ngoma mwaka wa 16 huu na nina dunda tuu yaani kwanza arv simezi lakini ni mwendo wa matizi maparachichi matikiti karanga mbichi mlenda na mazagazaga kibao bila kusahau maji mengi
Hongera mkuu na mshukuru sana Mungu kwa hilo ila usiwahimize wenzio kuwa wazembe.
Sio wote watapata HIV then wadunde kama wewe mkuu🙏
 
Akanisusia mbususu bhana ili aniue [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kiukweli pamoja na umalaya wangu sijawahi tembea na ke bila ndomu yaani huwa nahakikisha najikinga balaa na hata nilale na dem mzuri vipi siwezi pita na mbususu bila kondom. Kitakacho nifanya nife kirahisi nikazi yangu maana huwa tunajichoma kwa bahati mbaya sindano pindi tuwahudumiapo wagonjwa sema tukiwapima tunawakuta wapo safe.
Aise mie mambo ya condom nimeshindwa kabisa yaani kwanza nikivaa tuu na de libolo linasinyaaa.
Ah wacha nife na ngoma ila kwa utamu wa mbususu siwezi vaa ndom ni kupiga nyeto tuu huko.
 
R.I.P Nest ni rafik wa mdogo wangu walisoma ote advance level.....

Ni kijana very humble msikivu na mtanashati...
Alipenda kuniita bro am 4 real Kwa unyenyekevu na heshima...

Akanipa story alienda kijijini Kwao kutembelea akakuta kadada walichezaga wote udogoni kapo piki (EPIC) ya urembo....
Tupia maneno MAWILI matatu wakaenda peana utamu...

Kumaliza show akawa wana hangout na bidada so kurudi mtaa washikaji wakamsanua kua yule bidada kapita na kibopa mwenye miwaya na ni confirmed bi dada ana miwaya.......

Baada ya mwaka anaambiwa bidada kavuta... mshikaji akabakia dilemma kupima anaogopa na hakuthubutu so mshikaji akiwa mwaka wapili university nayeye akavuta alianza kuugua ugua mara kifua mara homa....
Kumuamini mwanamke kwa macho kumemfanya dogo aangamie [emoji24][emoji24][emoji24], watu wanaangamia kwa kukosa maarifa na tamaa ikiwa na papara za umbo la mwanamke na kutaka kumgegeda bila kondom
 
Back
Top Bottom