Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Sidhan kama kuna wanaofurahia condom ila mtu makini hawez kutuhusu starehe ya dk chache impe mateso ya muda mrefu
Hizi ni akili za kukariri sasa nani amekwambia ni starehe ya dakika chache? Ah wengine tunapenda sex marathon threesome orgy. Sawa bwna nyie endeleeni na condom. Mie siwezi katili de libolo yangu utamu asilia kwa kuvaa condom. Suala la kufa na ngoma nilishalikubali and no one can change my mind beckz afterall kila kifo kina sababu
 
Hizi ni akili za kukariri sasa nani amekwambia ni starehe ya dakika chache? Ah wengine tunapenda sex marathon threesome orgy. Sawa bwna nyie endeleeni na condom. Mie siwezi katili de libolo yangu utamu asilia kwa kuvaa condom. Suala la kufa na ngoma nilishalikubali and no one can change my mind beckz afterall kila kifo kina sababu
Sawa we ushajitoa kafara its your life hakuna wa kukupangia hata ukitaka kunywa sumu ufe meza tu its your life shida yangu ni wewe kuambukiza wenzio ukimwi kwa makusudi.😠👺👹
 
Halafu kuna watu wanaambiana waende kavu eti haya ni maisha tu sote tutakufa. Mungu atuepushe na huu ugonjwa umekaa pabaya
Wanadai hata usipokufa kwa ngoma utakufa kwa ajali au kansa, nadhani ni Watu ambao tayari waathirika wameamua kudanganya umma ili wasife pekeyao.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wewe neenda kwenye wadi ya saratani ndo utajua ukimwi ni cha mtoto na inaua watu wazima na consciousness yao kwa % kubwa, kule cancer inaua watoto wadogo wazee vijana, masikini wenye pesa kila aina ya mtu. Ukimwi ni hatari ila is over rated kwasbb ni ajira kwa mashirika mengi na misaada kwa serikali zetu........je wa jua kwamba Malaria inaua watu hapa Africa Tanzania ikiwemo kuliko HIV? kila baada ya dakika 3 kuna mtu anakufa kwa Malaria hususani watoto walioko chini ya 5yrs infants......mtu anauwezo wakuishi na ukimwi kwa zaidi ya miaka 30, kinacho ua wa Tanzania ni umasikini ulio kithiri kupata chakula sahihi na dawa kwa wakati ila sio HIV
Inamaana unashauri Watu wenye mawe wasichukue tahadhari sababu UKIMWI ni overated kuliko Malaria na kansa?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom