Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Wewe neenda kwenye wadi ya saratani ndo utajua ukimwi ni cha mtoto na inaua watu wazima na consciousness yao kwa % kubwa, kule cancer inaua watoto wadogo wazee vijana, masikini wenye pesa kila aina ya mtu. Ukimwi ni hatari ila is over rated kwasbb ni ajira kwa mashirika mengi na misaada kwa serikali zetu........je wa jua kwamba Malaria inaua watu hapa Africa Tanzania ikiwemo kuliko HIV? kila baada ya dakika 3 kuna mtu anakufa kwa Malaria hususani watoto walioko chini ya 5yrs infants......mtu anauwezo wakuishi na ukimwi kwa zaidi ya miaka 30, kinacho ua wa Tanzania ni umasikini ulio kithiri kupata chakula sahihi na dawa kwa wakati ila sio HIVu

Wewe neenda kwenye wadi ya saratani ndo utajua ukimwi ni cha mtoto na inaua watu wazima na consciousness yao kwa % kubwa, kule cancer inaua watoto wadogo wazee vijana, masikini wenye pesa kila aina ya mtu. Ukimwi ni hatari ila is over rated kwasbb ni ajira kwa mashirika mengi na misaada kwa serikali zetu........je wa jua kwamba Malaria inaua watu hapa Africa Tanzania ikiwemo kuliko HIV? kila baada ya dakika 3 kuna mtu anakufa kwa Malaria hususani watoto walioko chini ya 5yrs infants......mtu anauwezo wakuishi na ukimwi kwa zaidi ya miaka 30, kinacho ua wa Tanzania ni umasikini ulio kithiri kupata chakula sahihi na dawa kwa wakati ila sio HIV
Shida umeupataje uo ukimwi utajilaumu why sikutumia kinga why niliendekeza nyege na stress zinakuua tofauti na ayo marazi ya kansa huwez jilaumu sababu ni automatic imetokea ila sio ukimwi ulioufata kwa style mbalimbali kitandani
 
Verse 1

Nasikia raha jinsi nilivo star

Ni zaidi ya Robert De Niro

Nini top in Dar

Najukikana dunia nzima

Na kila kona hua natajwa langu jina

Sio tu watu wazima hadi watoto

Majina mengi a.k.a moto

A.k.a umeme a.k.a miwaya

A.k.a ngoma nzito isiyo na dawa

Ayaaaaah

Lakini sina ubaya

Na sibagui nchi za Africa nchi za Ulaya

Ni wengi tu nshawaondoa duniani

Na wengi bado nawatesa vitandani

Acha idadi kubwa ambao wapo safarini

Sijali mtoto wa kishua au unapoa uswahilini

Si mshajua nachozungumzia nini?

(UKIMWI UKIMWI UKIMWI)

Yeah a.k.a mimi

Natesa sana napokuingia mwilini

Akina gono kaswende wote baba yao mimi

Amini mi ndo kubwa la maadui

Na leo nakuja kwako usizuge kama hunijui

Halaa
Albert aliua sana kwenye hili song.
 
Kuna mwalimu mmoja wa kike (RIP) tukiwa tunakaa kota, siku za mwisho mwisho wa uhai wake alitoka nje ya nyumba yake mida ya saa 2:30 usiku hana nguo mwilini, akawa anazungumza kwa sauti kubwa,"vijana njooni muone jinsi ninavyoteseka. Msiache tamaa ziwaponze, mtakufa. Mimi nitakufa sio muda mrefu, njooni mjionee ninavyoteseka". Alikaa kama miezi 2 hivi akaaga dunia akiwa kwao Mbeya. Hiyo ilikuwa mwaka 2009 hivi
Kuna watu wansema kufa kupo tu, ila kufa na ukimwi ni kitu ingne kabisa. Ukimwi unatesa, unadharirisha, ni mbaya sana
 
Mm nilitombga mother fulan once upon the time huko manzese after 2 yrs naskia anae ngoma yupo Kwa bed amekonda mbaya Hali Tete
Na mim nlikuwa chalii tu nlikuwa napiga kavu
Akasafirishwa kwenda kwao singida huk na tax akafia njiani

Daaaaaa niliishi Kwa was was balaaa yaan since 2002 mpaka Leo sijawah kupima ila ninae watoto 2 na wife wote wazima ila mm ndio uoga wa kupima umenijaa
Hukuchukua vipimo kwa wife kabla ya kuishi naye?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Daah nimezika mama zangu wadogo na wajomba zangu kutoka iringa njombee.nakumbuka kila mwaka bibi alikuwa analia mtoto wake mmoja kamezwa na udongo.katika watoto kumi wa bibi yangu wamebaki 3 tu.saba udongo umewameza.nilikuwa nawaona walivyokonda hadi kwa utoto wangu nikawa naogopa..ogopa ukimwi ule wa 90s .familia ikaanza kusema mizimu ya ukoo imechukia kisa waliacha matambiko ya mababu yao.ule ukoo ni wa kicheif na ulikuwa moja ya koo matajiri njombe ila ulipukutika wote wamebakiza jina tu... Mungu awalaze mahali pema uncle zangu na mamazangu wadogo..Mmemwacha bibi katika majonzi sana.
 
ukienda clinic ya watu wenye ngoma pale clinic ya zahanati ya njombe mjini utachoka sana
Juzi nilikuwa klinic ya watoto hapo zahanati Njombe, pembeni si ndio ipo cliñic ya Ukimwi. Mkuu mbona watu wote si wanawake kwa wanaume hawana nuru kabisa usoni, wamedhoofu wanatia huruma ni kama wamekata tamaa kabisa. Sasa mbona hizo dawa haziwafanyi wapendeze na kunenepa kama ninavyoona katika stori?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni simple tu go and check your status mkuu, tena nyie wanaume ni wagumu mnoo kupima
Niliacha kuchepuka baada ya kutongoza Ke zaidi ya 50 ila kati yao ni watano tu ndiyo walikuwa radhi kupima, nilichepuka na watatu tu baada ya hapo nikafunga vioo tinted kabisa kuchepuka na kubaki njia kuu.

Natafuta mwaka wa 6 sasa nikiwa nipo njia kuu pekee.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha mbali Sana kwenye miaka ya 2006.
Ilikuwa hivi,
Nipo form six! shule ilikuwa mchanganyiko, advance boys tu, o-level boys and girls kutwa.

Nikatongoza katoto kaform II, (jina tumwite Neema) tukakubaliana kufafanya mapenzi, Siku ya tukio ilikuwa weekend tukatoka out ambako tulikaa mpaka saa Moja usiku, mi si nikaomba mchezo, binti akawa anataka hataki, nikaona nimtomase Ili kumwamshia hisia, zaidi nikaanza kumnyonya chuchu (wakati namnyonya chuchu si nikavuta maziwa- ingekuwa maziwa ya ng'ombe nigesema yalitosha kusindikiza tonge la ugali, daa.. nikayatema harakaharaka Kwa kificho Ili mrembo asigundue akaninyima).

Daa!! nyege bana duu!!! sikujali nikaendelea na purukushani za kumtomasa maeneo mbalimbali kufikia saa mbili usiku kakubali kaachia mchezo ( hapo tupo vichakani maeneo ya Jirani na shule), ile napampu kama mara mbili hivi nikaona mtu anakuja kufuata uelekeo tulipo, ikabidi tunyanyuke kusongea mbele na sitimu zikayeyuka maana nilihisi ni mlinzi wa shule.

Sasa kimbembe kikaja, Ile nafika bwenini nikakuta story za huyo Neema wangu aliyetoka kuninyonyesha mda mfupi uliopita, Kuwa:
1. Neema ametoa mimba ya mwl Msa (jina bandia). Ambaye wiki Moja iliyopita alikutwa na Madam Shigedi akimeza ARV.
Madam Shegedi,(Kwa wasifu wake alikuwa ni mwl. wa biolojia Kwa o-level na ndo alikuwa anamwaka 1 tangu ahitimu diploma na baadaye kuajiriwa shuleni hapo, Kwa sababu alikuwa Binti mdogo, mrembo mwembamba na nzuri Kwa sura, mwalimu Msa Kwa kumtumia makamu mkuu wa shule akatupa ndoano na akafanikiwa kumpata na wakaanza mahusiano Kwa Siri, ikumbukwe kwa kipindi hiki sisi wanafunzi hatukufahamu chochote tulikuja kujua baadaye).
Baada ya kukutana na hali hiyo Kwa mwl Shigedi alichanganikiwa akawa anasema Kwa kila mtu, kitendo kilichopelekea walimu wote tukiwepo sisi wanafunzi kujua mwl Msa ana ngoma.

Baada ya mwezi mmoja mwl Msa aliugua akaenda hospital za watu binafsi na akalazwa huko,Kwa sababu ya kusikia story ya kuwa alimbembesha mimba Neema ilibidi nikamsalimie kuzuga kwenda kumjulia hali mwl Msa (Kusudi siyo kumjulia hali Bali kwenda kuona hali yake kama kweli ni ngoma) nilimkuta amekonda aisee, na baada ya wiki akahamishiwa hospital ya mkoa.
Baada ya Siku chache nyepesi zikafika Kwa wanafunzi tuliokuwa bweni kuwa mwl Msa ana UKIMWI ila hataki kutumia ARV na CD4 zake zimeshuka sana.

wasifu wa mwl msa, huyu alikuwa ni mwali pekee wa advance Kwa Somo la Kiingereza + History mwajiriwa mwenye degree Kwa shuleni kwetu, Kwa sababu ya uchache wa walimu kipindi hicho, mwl msa alikuwa anachukuliwa na shule Jirani za wasichana bweni kufundisha.

Sasa kutokana na CD4 kushuka na mwl Msa kukata kutumia ARV baada kama ya wiki mbili mwl Msa akafariki.

Nakumbuka siku amefariki;
1. Shule za wasichana alizokuwa anaenda kufundisha ilikuwa vilio tu nahisi hata vipindi havikuendelea.
2. Mimi niliishi Kwa msongo wa mawazo mpaku kushusha uwezo wa kitaaluma na ilinicost ktk mitihani ya kuhutimu.
3. Neema sikumwona Tena shuleni nikapata taarifa alitoroka nyumbani akaenda Kwa shangazi vijijini.

4. Visichana vingi vya shule kwetu na wake za watu mtaani siku ya msiba ilikuwa vilio Kwa zamu.
5. Mwl Shengi alichukua likizo na baadaye Sana ikasemekana ni HIV+

Sasa baada ya kusafirisha mwili wa marehemu kuupeleka kwao Igunga ikaja ikafamika kuwa:

1. Mwl alikuwa akisex na wanafunzi Kwa Siri na wale aliikuwa anawapa mimba alikuwa anawapeleka kutoa.

2. Mwl alikuwa anatembea na mwanamke yeyote bilakuangalia sura au umri.

3. Kule Kwa wasichana wa bweni marehemu alikuwa anabadilisha visichana vya advance kama nguo.

4. Mwl Msa kumbe aliwahi kuoa kabla ya kuajiriwa (mke wake walisoma naye UDSM baadaye waliingia ktk mahusiano na kupelekea kuoana ambapo walizaa moto mmoja ambapo baadaye mke na mtoto walifariki)

..............
Mwisho!
Marehemu mwl Nakumbuka kuwa;
Ulikufa ukiwa na miaka 30 tu miaka mitatu tangu uhitimu UDSM. Ukitanguliwa na mtoto wako baadaye mke wako kipenzi aliyefariki miaka miwili tu tangu kuzaa moto wenu wa kwanza.

ulinikosakosa kupitia Kwa Neema (nilithibitisha Kwa kupima ) ingawa sijui wahanga wezangu uliwaachaje ambao ulitembea nao kama kulipiza kisasi.
Namshukuru Mungu Sasa ni baba wa makamo nina mke na watito.

...Huu ni ushuda wa kweli.....
 
Juzi nilikuwa klinic ya watoto hapo zahanati Njombe, pembeni si ndio ipo cliñic ya Ukimwi. Mkuu mbona watu woye si wanawake kwa wanaume hawana nuru kabisa usoni, wamedhoofu wanatia huruma ni kama wamekata tamaa kabisa. Sasa mbona hizo dawa haziwafanyi wapendeze na kunenepa kama ninavyoona katika stori?
ndio mkuu,na wana mabaka mengi sana usoni, kina vijana wadogo sana wanahudhuria pale
 
Umenikumbusha kupima mkuu, nina muda mrefu sijapima,, japokuwa ukimwi hauji kwa kufanya ngono tu, kuna hii kutengeneza kucha kwa wanawake [emoji849]nina wasiwasi sana na huu urembo ndo hiyo mtu chini hupatumii ila unakwaa ngwengwe,, unaweza kujiua walahi,
Na ninyi Mama zetu punguzeni kuliwa kimasihara basi hata kama ndivyo mlivyoumbwa kiudhaifu;

* Wanaosafisha kucha zenu na kupakaa rangi,

* Wachora tatuu.

* Mafundi friji.

* Bodaboda.

* Wauza magenge.

* Watembeza vyombo mitaani (Waha Boys)

* House maids.

* Wasukaji wa nywele na rasta (Masai Boys).

* Wapiga picha.

wanawatafuna kizembe sana.

Kwa mnyororo huo kuna kusalimika na HIV & AIDS kweli?



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
hii dunia bana,unaweza pia ukabaki njia kuu ila wife akamtamani handsomeboy wa mtaani kwenu unakuja kuambukizwa hujui.

ila jamani kuna midada imeumbika aiseee
Hujawahi kuona kuna baadhi ya familia Mume ana ngwegwe ila wife hana and vise versa is totally true?

Mungu huwa hadhihakiwi, tuendelee kujilinda na kumuomba sana Mungu kutuepusha na hayo majanga.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha mbali Sana kwenye miaka ya 2006.
Ilikuwa hivi,
Nipo form six! shule ilikuwa mchanganyiko, advance boys tu, o-level boys and girls kutwa.

Nikatongoza katoto kaform II, (jina tumwite Neema) tukakubaliana kufafanya mapenzi, Siku ya tukio ilikuwa weekend tukatoka out ambako tulikaa mpaka saa Moja usiku, mi si nikaomba mchezo, binti akawa anataka hataki, nikaona nimtomase Ili kumwamshia hisia, zaidi nikaanza kumnyonya chuchu (wakati namnyonya chuchu si nikavuta maziwa- ingekuwa maziwa ya ng'ombe nigesema yalitosha kusindikiza tonge la ugali, daa.. nikayatema harakaharaka Kwa kificho Ili mrembo asigundue akaninyima).

Daa!! nyege bana duu!!! sikujali nikaendelea na purukushani za kumtomasa maeneo mbalimbali kufikia saa mbili usiku kakubali kaachia mchezo ( hapo tupo vichakani maeneo ya Jirani na shule), ile napampu kama mara mbili hivi nikaona mtu anakuja kufuata uelekeo tulipo, ikabidi tunyanyuke kusongea mbele na sitimu zikayeyuka maana nilihisi ni mlinzi wa shule.

Sasa kimbembe kikaja, Ile nafika bwenini nikakuta story za huyo Neema wangu aliyetoka kuninyonyesha mda mfupi uliopita, Kuwa:
1. Neema ametoa mimba ya mwl Msa (jina bandia). Ambaye wiki Moja iliyopita alikutwa na Madam Shigedi akimeza ARV.
Madam Shegedi,(Kwa wasifu wake alikuwa ni mwl. wa biolojia Kwa o-level na ndo alikuwa anamwaka 1 tangu ahitimu diploma na baadaye kuajiriwa shuleni hapo, Kwa sababu alikuwa Binti mdogo, mrembo mwembamba na nzuri Kwa sura, mwalimu Msa Kwa kumtumia makamu mkuu wa shule akatupa ndoano na akafanikiwa kumpata na wakaanza mahusiano Kwa Siri, ikumbukwe kwa kipindi hiki sisi wanafunzi hatukufahamu chochote tulikuja kujua baadaye).
Baada ya kukutana na hali hiyo Kwa mwl Shigedi alichanganikiwa akawa anasema Kwa kila mtu, kitendo kilichopelekea walimu wote tukiwepo sisi wanafunzi kujua mwl Msa ana ngoma.

Baada ya mwezi mmoja mwl Msa aliugua akaenda hospital za watu binafsi na akalazwa huko,Kwa sababu ya kusikia story ya kuwa alimbembesha mimba Neema ilibidi nikamsalimie kuzuga kwenda kumjulia hali mwl Msa (Kusudi siyo kumjulia hali Bali kwenda kuona hali yake kama kweli ni ngoma) nilimkuta amekonda aisee, na baada ya wiki akahamishiwa hospital ya mkoa.
Baada ya Siku chache nyepesi zikafika Kwa wanafunzi tuliokuwa bweni kuwa mwl Msa ana UKIMWI ila hataki kutumia ARV na CD4 zake zimeshuka sana.

wasifu wa mwl msa, huyu alikuwa ni mwali pekee wa advance Kwa Somo la Kiingereza + History mwajiriwa mwenye degree Kwa shuleni kwetu, Kwa sababu ya uchache wa walimu kipindi hicho, mwl msa alikuwa anachukuliwa na shule Jirani za wasichana bweni kufundisha.

Sasa kutokana na CD4 kushuka na mwl Msa kukata kutumia ARV baada kama ya wiki mbili mwl Msa akafariki.

Nakumbuka siku amefariki;
1. Shule za wasichana alizokuwa anaenda kufundisha ilikuwa vilio tu nahisi hata vipindi havikuendelea.
2. Mimi niliishi Kwa msongo wa mawazo mpaku kushusha uwezo wa kitaaluma na ilinicost ktk mitihani ya kuhutimu.
3. Neema sikumwona Tena shuleni nikapata taarifa alitoroka nyumbani akaenda Kwa shangazi vijijini.

4. Visichana vingi vya shule kwetu na wake za watu mtaani siku ya msiba ilikuwa vilio Kwa zamu.
5. Mwl Shengi alichukua likizo na baadaye Sana ikasemekana ni HIV+

Sasa baada ya kusafirisha mwili wa marehemu kuupeleka kwao Igunga ikaja ikafamika kuwa:

1. Mwl alikuwa akisex na wanafunzi Kwa Siri na wale aliikuwa anawapa mimba alikuwa anawapeleka kutoa.

2. Mwl alikuwa anatembea na mwanamke yeyote bilakuangalia sura au umri.

3. Kule Kwa wasichana wa bweni marehemu alikuwa anabadilisha visichana vya advance kama nguo.

4. Mwl Msa kumbe aliwahi kuoa kabla ya kuajiriwa (mke wake walisoma naye UDSM baadaye waliingia ktk mahusiano na kupelekea kuoana ambapo walizaa moto mmoja ambapo baadaye mke na mtoto walifariki)

..............
Mwisho!
Marehemu mwl Nakumbuka kuwa;
Ulikufa ukiwa na miaka 30 tu miaka mitatu tangu uhitimu UDSM. Ukitanguliwa na mtoto wako baadaye mke wako kipenzi aliyefariki miaka miwili tu tangu kuzaa moto wenu wa kwanza.

ulinikosakosa kupitia Kwa Neema (nilithibitisha Kwa kupima ) ingawa sijui wahanga wezangu uliwaachaje ambao ulitembea nao kama kulipiza kisasi.
Namshukuru Mungu Sasa ni baba wa makamo nina mke na watito.

...Huu ni ushuda wa kweli.....
Wakuu huu ugonjwa ni stress aisee
 
Back
Top Bottom