Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Umeumia sana mkuu!!! PoleNa ninyi Mama zetu punguzeni kuliwa kimasihara basi hata kama ndivyo mlivyoumbwa kiudhaifu;
* Wanaosafisha kucha zenu na pakaa rangi,
* Wachora tatuu.
* Mafundi friji.
* Bodaboda.
* Wauza magenge.
* Watembeza vyombo mitaani (Waha Boys)
* House maids.
* Wasukaji wa nywele na rasta (Masai Boys).
* Wapiga picha.
wanawatafuna kizembe sana.
Kwa mnyororo huo kuna kusalimika na HIV & AIDS kweli?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kujiendekeza tu sijawahi kunyegeshwa na msafisha kucha na karibia kila wiki 2 nimo kwenye hiyo huduma, hali kadhalika na wengineo uliotaja,
Ushauri huu uwaendee wanaume nyie ndo mapanda panda kila anaewapiteni mbele yenu mpaka mumchungulie