Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Nikiwa kama mdau wa afya MWANDAMIZI (senior)

Kuna jamaa alikuja dar so Arvs zake zikaisha so akaniomba am 4 real nimchukulie za kusukuma siku mpaka atakapo Rudi mkoani kwake.......

Nikamcheki mshikaji wangu Y nikamwambia anichukulie akanambia nipo ofsn njoo uchukue.........
Ni dokta kijana alikua ana muhudumia mmama mmoja ni mteja etu nyumbani.....
Kwa bahati mbaya Ile sindano aliyo mchoma mama yule ikamchoma na yeye....
Nikakuta na yeye anazitumia zile dozi....
Niliwaza sana siku iyo..
Pole sana kwa Dr, ila angewahi kumeza zile dawa za kuzuia maambukizi ya UKIMWI kabla ya masaa 72 kuisha huenda angenusurika.

Labda hakupata huo ushauri daaah [emoji849]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hua nachepuka sana tu maana hata kondom zipo tu, Nilisha wahi lala na demu aliye athirika usiku mzima alafu alivyo mshenzi anajiachia tu ili aniue mamaeee nilijisemea kimoyo moyo huniui ng'o nikawa kila nikimwaga nachana ndom baadae nasikia anatumia mashudu [emoji1787][emoji1787] nilikaa mwaka nikajipima sina ngoma aisee tutumie kondom wadau
Bora ubaki njia kuu tu au uachane na uzinzi na uasherati mazima, sasa hapo una tofauti gani na aliyepiga punyeto?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Diet mbovu, wenye diet nzuri hawana shida.
Yaani mkuu ukiwaona hapa klinic unakata tamaa mpaka wewe mtazamaji mweeh.... sijui shida ni nini wakati huku mbogboga, matunda, maziwa inshort vyakula vyote vipo vingi na vinapatikana kiurahisi. Nawaogopa sana watu wa Njombe pamoja na kwamba ndio kwetu klinic wamejaa utafikiri wapo kwenye semina mweh
 
Hujawahi muona mgonjwa wa aggressive cancer
Si bora ukimwi unaweza ishi hata miaka 20 aggressive cancer ndani ya miezi kinakua ni kipindi cha mateso makali sana mgonjwa ni analia mda wote au anaugumia maumivu mda wote
Hivi ni saratani zote?
 
Huu Uzi unatisha wakuu,
Nmesoma comment zote mpk nmeogopa
Uzi Umenifanya nijitafakari sana maisha haya ya Michepuko mwisho wake Ni Huku Huku Kwny umeme[emoji26]
Piga kelele hatimaye Mama J anakuwa huru ili Mzabzab na Mzee wa kupambania wajitwalie jimbo kilainiii [emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
UKIMWI upo jamani, tena siku hizi ARV zinaficha wagonjwa wengi sana, alafu kuna watu wanazama chumvini hata demu humjui vizuri, unaingia mzima mzima na mdomo, unaamua kula UKIMWI hadi na mdomo, yaani.. [emoji22]
Yaani mtu anaamua kulamba ukimwi kama alambavyo Ice cream [emoji23]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Shida kwenye ndoa, wanaume sio waaaminifu kabisa wakiona Msichana ametulia hawakumbuki kabisa kondomu
Mm kondom ni mhim mkuu maana kuna magonjwa ya zinaa pia umesha wahi chomwa Benzathine penicillin mkuu? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Iringa ni home na umezungumza ukwel japo Mafinga hapo mbona pa kirembo sana..
2010 February baada ya kumaliza kidato cha sita nilipata kazi kwenye volunteering program flan ilikua inajulikana kama student partnership worldwide (SPW) now days wanajiita RESTLESS DEVELOPMENT hii organization ilikua inajihusisha na mambo hizo za UKIMWI na Peer education.

Nilifanya kazi sana Njombe, Ludewa na Makete..zaid zaid Ludewa na Vijiji vyake..Lugarawa..Masimbwe...Itundu... n.k.

Aisee kule ukimwi ulikua UNAOUNA KWA MACHO HIVIIIII yan huhitaji kipimo wala nini.Watoto wadogoo vijana watu wazima kwa wazee jinsia zote ukimwi ulikua unafagia sanaaaaa..

Nashkuru Mungu those days nilikua sijaanza kuchakata bado.
E bwana ukimwi ni noma sana.
Those days elimu rika ilikua adimu sana na kwakwel moja ya vitu najivunia nilifanya kwenye maisha yangu ya u teeneger basi ni mojawapo.

Tulikua tunapiga sana semina.
Mnaandaa matamasha ya muziki kutoa elimu nakumbuka sana pande za ULAYAS secondary pale Mlangali Ludewa...Anzisha sana maktaba za kujisomea kutengeneza HIV Awareness kwa vijana ... ligi la soka ambazo zilikua zinaambatana na Semina na upimaji wa HIV ..

Ukimwi umetafuta sana nyanda za juu kusini magharib.Sanaaa yani.
Kilimo cha chai na miti kama kichocheo cha maambukizi..
IKUMBUKWE maeneo hayo yalikua maarufu sana kutoa ma house girl.Wakija Dar wanaukwaa ukimwi wakianza kuumwa wanarudishwa Huku vijijin wazaz wasio na elimu ya kuwahudumia wanaambukizwa..plus pisi imetoka mjini vijana wa village nao wanapambana japo waonje ...Imooooo..
Dah ukimwi ni nyokoo sanaaaa.

But now days angalau hali ime stablize..

Nakumbuka pale Mlangali nilishakutana na li shangazi Nurse limoja hakyanan lile lilikua linataka nili gonge kila mitego aliniwekea haikunasa maana akili yangu kipinzi hiko badoo hata mbususu sizijui so nikawa hata sielewi yule mama anataka nini [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]..

All in all AIDS Kills.
Tatizo mojawapo kwasasa watu tumesusa Kampeni za kuijengea jamii HIV AWARENES sawa kuna mitandao siku hiz ndio ila hili la kila mtu kujifunza kibinafs ni hatar sana maa internet is full of wrong information.

TUJILINDE..TUJIKINGE
Daah 2010 tulikuwa wote kwa hiyo program mkuu.
 
Verse 2

Nina kiapo cha kweli sikuachi mpaka kifo, kwenye mwili wako sipatani na sidifo.../

Naishi na wengi ila kwa kificho, ARV haiwezi kunizuia acheni vitisho.../

Kwenye hili picha mi ni katili zaidi ya dudikofu, maana nishaua masheikh mpaka maaskofu.../

Walio nibeza wako mochwari wameganda kwenye jokofu, sa unakujaje kwangu bila kinga hivi hupati hofu?.../

Eti ngoma hauwezi kuipata ukipita njia ya mpalange, nadhani utakuwa hunijui kamuulize masogange.../

Kimboka naskia mnasema siwatishi, niwaache mdange..../

Mkikutana na mimi jiandae mazishi, maana lazima mdanje.../
Huo wimbo unaitwaje Chifu niupakue YouTube?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hivi arv zinauzwa? Au serikali hununua kisha kuwagawia bure wananchi?
Awali kabisa zilikuwa zinauzwa ila baadaye mamlaka ikaingilia kati kuokoa Wananchi maana bei ilikuwa ghali sana ambapo Watu wengi walikuwa wanakufa kwa kutoweza kununua.

So waathirika wanagawiwa bure ila nadhani anayewagawia ananunua maana hakuna cha bure popote duniani.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom