Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Nimekaa mufindi 15 yrs niliondoka kule 2012! Napajua vizuri sana..sema basi haturuhusiwi kuweka majina huyo mamdogo wako huenda ningemfahamu.! I love the Nature kule, baridi balaaa, Napamisi Mufindi Club e.t.c..kule nilikataa kurudi tena maana HIV ipo kwa kiwango kikubwa sana
Inawezekana tukafahamiana chief njoo inbox ,babu yangu marehem now alikuwa na cheo kikubwa sana apo kiwanda cha chai alikuw anaitwa mzee Tweve .B
 
Inawezekana tukafahamiana chief njoo inbox ,babu yangu marehem now alikuwa na cheo kikubwa sana apo kiwanda cha chai alikuw anaitwa mzee Tweve .B
Ooh aseeh mzee tweve? Mimi mzee wangu alikua HR pale alikua anaitwa mzee Gerald Chan...g..! Nimekaa sana lugoda estate pale
 
Verse 1

Nasikia raha jinsi nilivo star

Ni zaidi ya Robert De Niro

Nini top in Dar

Najukikana dunia nzima

Na kila kona hua natajwa langu jina

Sio tu watu wazima hadi watoto

Majina mengi a.k.a moto

A.k.a umeme a.k.a miwaya

A.k.a ngoma nzito isiyo na dawa

Ayaaaaah

Lakini sina ubaya

Na sibagui nchi za Africa nchi za Ulaya

Ni wengi tu nshawaondoa duniani

Na wengi bado nawatesa vitandani

Acha idadi kubwa ambao wapo safarini

Sijali mtoto wa kishua au unapoa uswahilini

Si mshajua nachozungumzia nini?

(UKIMWI UKIMWI UKIMWI)

Yeah a.k.a mimi

Natesa sana napokuingia mwilini

Akina gono kaswende wote baba yao mimi

Amini mi ndo kubwa la maadui

Na leo nakuja kwako usizuge kama hunijui

Halaa
Huu wimbo unaitwaje

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sio kwamba kumetulia ila watu wanazingatia matumizi sahihi ya ARV na wanajikubali. Kipindi hiko kwanza watu walikua hawataki kupima na kujikubali. Tuendelee kuchukua tahadhari.
 
Next ni jamii ya wasukuma. Hawa watu wanafanya mapenzi na wanawake wanaojiuza bila hata kinga.....wanapokezana kama sigara. Machimbo mapya ya wadangaji msimu wa kiangazi ni kwenye mapori ya wasukuma.
Mimi ni msukuma nakubaliana na wewe 100% Kuna elimu inahitajika sana maana hapafai uko maporini na ukizingatia jamii haina elimu hii formal
 
Tuendlee kuchukua tahadhari wandugu,mtu wangu wa karibu tumempoteza mwezi mmoja uliopita,alikuwa na mtu wake mjamzito kaenda kupimwa kliniki ikaonekana anavyo,jamaa kupewa taarifa kapata kiharusi,baada ya siku chahe akaaga dunia...
 
Back
Top Bottom