Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana tukafahamiana chief njoo inbox ,babu yangu marehem now alikuwa na cheo kikubwa sana apo kiwanda cha chai alikuw anaitwa mzee Tweve .BNimekaa mufindi 15 yrs niliondoka kule 2012! Napajua vizuri sana..sema basi haturuhusiwi kuweka majina huyo mamdogo wako huenda ningemfahamu.! I love the Nature kule, baridi balaaa, Napamisi Mufindi Club e.t.c..kule nilikataa kurudi tena maana HIV ipo kwa kiwango kikubwa sana
Ooh aseeh mzee tweve? Mimi mzee wangu alikua HR pale alikua anaitwa mzee Gerald Chan...g..! Nimekaa sana lugoda estate paleInawezekana tukafahamiana chief njoo inbox ,babu yangu marehem now alikuwa na cheo kikubwa sana apo kiwanda cha chai alikuw anaitwa mzee Tweve .B
Safi lugoda nimekaa pia,baadae nikaamia nyororo kwa mjomba ambae ndo kafariki pana uchawi huko usipime babuOoh aseeh mzee tweve? Mimi mzee wangu alikua HR pale alikua anaitwa mzee Gerald Chan...g..! Nimekaa sana lugoda estate pale
Hivi miwaya ya zamani ilikua vipi asee mbona watu walikufa kwa mateso sanaNilimzika mama yangu akitoa funza aisee [emoji24]
Waganga walipiga sana hela ilikua hatari sana alafu sio kama kina covid wenyewe unakutesa sana kwanzaHivi miwaya ya zamani ilikua vipi asee mbona watu walikufa kwa mateso sana
Huu wimbo unaitwajeVerse 1
Nasikia raha jinsi nilivo star
Ni zaidi ya Robert De Niro
Nini top in Dar
Najukikana dunia nzima
Na kila kona hua natajwa langu jina
Sio tu watu wazima hadi watoto
Majina mengi a.k.a moto
A.k.a umeme a.k.a miwaya
A.k.a ngoma nzito isiyo na dawa
Ayaaaaah
Lakini sina ubaya
Na sibagui nchi za Africa nchi za Ulaya
Ni wengi tu nshawaondoa duniani
Na wengi bado nawatesa vitandani
Acha idadi kubwa ambao wapo safarini
Sijali mtoto wa kishua au unapoa uswahilini
Si mshajua nachozungumzia nini?
(UKIMWI UKIMWI UKIMWI)
Yeah a.k.a mimi
Natesa sana napokuingia mwilini
Akina gono kaswende wote baba yao mimi
Amini mi ndo kubwa la maadui
Na leo nakuja kwako usizuge kama hunijui
Halaa
Kunaitwaje tuje kununua viwanja na manyumbaKijijini kwetu ulifyeka kijiji kizima, wamebaki watu wachache sana, nyumba ni nyingi kuliko watu.
Vijana kutoka mikoa mingine wanajikalia bure kwenye nyumba zilizoachwa
HongeraKuna time napataga tamaa ya kuchepuka lkn nikifikilia ngwengwe najikuta mood yote inakata, hasa nikikumbuka watoto wangu bado wadogo! Nisha cancel promise kibao wakati tushapangana vzr tu na demu.
Sumbawanga-Chanji, mazwi chiluba, Katandala, ni kwa Moto balaa,,, namanyere yote n ya motommepasahau na sumbawanga ,namanyele mpaka mpanda katavi doh UKIMWI NI TISHIO
Ule Uzi n hatari sana.Umewahi kula tunda kimasihara?
Usitipe moyoZishukururiwe Arvs pia kwa kupunguza kiwango cha maambukizi. Mtu anayetumia dawa kwa usahihi ana asilimia mdogo sana za kuambikiza kwa sababu ya idadi ndogo ya virus mwilini.
Nazishukuru sana Arvs maana nilikua naburuza lishangazi kumbe lipo positive 🤗🤗,asingekua anakunywa Arvs ningekua nimekwama.
Mimi ni msukuma nakubaliana na wewe 100% Kuna elimu inahitajika sana maana hapafai uko maporini na ukizingatia jamii haina elimu hii formalNext ni jamii ya wasukuma. Hawa watu wanafanya mapenzi na wanawake wanaojiuza bila hata kinga.....wanapokezana kama sigara. Machimbo mapya ya wadangaji msimu wa kiangazi ni kwenye mapori ya wasukuma.