Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Story yenyewe ni ya kuunga unga hata haieleweki cjui ni anasimulia Bongo MovieπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
"I want to die judge" tumeisoma mwanzo mwisho humu humu Jf na bado isidingo ya "nilimdhani kahaba kumbe ni bikra" hatujaombwa chochote sembuse iwe hii wasakatongeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kusoma Biblia peke yake ,kusali Rosary na kuwa Mroma kusinge-kusaidia kabisa mkuu.
1.Ulipaswa kumkiri Yesu kuwa Bwana na Mwokozi was maisha yako
2.Kusoma na kuiishi Biblia,yaani Neno la MUNGU.
3.Kua na Roho Mtakatifu.Roho Mtakatifu unampata baada ya kukidhi vigezo 1 na 2 na kumuomba MUNGU akupe.
4.Kudumu katika maombi.

Hizo ndizo initial very important tools ambazo unahitaji ili kumshinda Shetani.Short of that you are an easy target for the Devil.
 
Wewe kenge kiboko yako ni Omughaka tu ulimkatisha tamaa lkn mwanaume wa kikurya alisimama imara akamalizia story yake
 
Wewe kenge kiboko yako ni Omughaka tu ulimkatisha tamaa lkn mwanaume wa kikurya alisimama imara akamalizia story yake
Utakuwa ulitembea na omugaka wewe. Nyie wanawake wa humu hamtulii kabisa. Mnaliwa kipuuzi tu. Umewapenda wanaume wa kikurya? 🀣 Angalieni mtakufa kwa ukimwi.
 
Utakuwa ulitembea na omugaka wewe. Nyie wanawake wa humu hamtulii kabisa. Mnaliwa kipuuzi tu. Umewapenda wanaume wa kikurya? [emoji1787] Angalieni mtakufa kwa ukimwi.
Bora Mimi kuliko wewe ambae muda wote unawaza post za wanaume wako humu huwezi kukaa ukaja na Uzi wako kazi kuvalia shanga thread za wanaume humu[emoji23]
 
Tamaaa
 
Maku yake kabisa huyu
 
Wakuu, kama vipi nipeni ruhusa me niendeleze hii chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…