Ukihitaji story zangu nifuate PM nitakuletea ama kukutumia popote ulipo.Kukosolewa ni sehemu ya kujifunza bwana mdogo usishupaze shingo shauri yako..
Weka list ya vitabu vyako tuvitafute kama wewe ni mwandishi, namna gani ticha. Uandishi mbovu namna hii halafu hutaki kukosolewa.
Wamekufuata kwa hiyo kuziita story zako ni za kweli japo ni za kutunga tu.
Nimempa ushauri anajifanya kushupaza shingo.1.Simulizi uchwara watu wameikimbia
2.Hakuna hata mtu mmoja aliyekufata pm
3.Wewe ni zezeta
4.Simulizi zako utakuwa unasoma mwenyewe na ukoo wenu lakini hapa JF ushaula wa chuya
5.Kama ulitegema hapa JF upige pesa badala yake unajikuta umeula wa chuya
6.Wewe ni zumbukuku
Unaroho mbaya kama maisha yakoNimempa ushauri anajifanya kushupaza shingo.
Leo hii ndgu yetu umughaka akiamua kuleta story na akasema anaiuza si ajabu atapata uungwaji mkono sana kwa story zake mbili tatu tu alizotoa humu. Watu wakakosoa, wakatukana lazima kuna mambo kajifunza.
Lakini huyu bwana mdogo story hii kaikimbia eti nenda pm uuziwe, nyambaf.
Unamshauri anaona unamzibia riziki.
Hana kitabu, kampuni hazichapi vitabu hovyo lazima zivipitie. Wakiridhika ndo wanakitoa.Nani amfuate pm na visimulizi vyake uchwara,kwanza muandishi gani hata kupangilia maneno hawezi?,Hivyo vitabu labda watasoma ndugu zake lakini si wabongo ninao wafahamu.
Akiweka kitabu alichoandika utanitag mkuu
Pm wapi wewe,unaiba simulizi za watu unasema wakufuate pm,acha wizi wewe!.Ukihitaji story zangu nifuate PM nitakuletea ama kukutumia popote ulipo.
Dogo ni muhuni na mwiziNimempa ushauri anajifanya kushupaza shingo.
Leo hii ndgu yetu umughaka akiamua kuleta story na akasema anaiuza si ajabu atapata uungwaji mkono sana kwa story zake mbili tatu tu alizotoa humu. Watu wakakosoa, wakatukana lazima kuna mambo kajifunza.
Lakini huyu bwana mdogo story hii kaikimbia eti nenda pm uuziwe, nyambaf.
Unamshauri anaona unamzibia riziki.
Hahahah! Mkuu kati ya hizo mbili ulizotaja ni true story au za kutunga tu?"I want to die judge" tumeisoma mwanzo mwisho humu humu Jf na bado isidingo ya "nilimdhani kahaba kumbe ni bikra" hatujaombwa chochote sembuse iwe hii wasakatonge
Hatutaki tena story zako huelewi?Habari, wale walionifuata PM kwa ajili ya muendelezo wa story watambue, haitakuwa free kuna mchango kidogo wa vocha, pia kuna story mpya inakuja hapa very soon kuanzia kesho. jitahidi kutumia lugha ya staha unapo comment sio kwasababu unatumia fake ID ndio utiririke matusi heshima kitu cha bure.
Acha kudhalilisha uandishi dogo. Unadhani uandishi ni kama matako... Kila mtu anayo. Kiswahili bado hukijui vizuri watu walikuvumilia tu wasukume muda uende wakirekebisha moyoni. Dogo bado sana kwenye kuandika. Bado hata akili ya kutunga haijakomaa...Usinifundishe uandishi, wewe kama unajua kukosoa si uandike story yako hata moja tuione, mimi ni mwandishi wa vitabu, sio hizi episode za JF. Kwa wanaojua umuhimu wa uandishi wamesha nifuata PM, watu kama wewe hawanisumbui, ushauri peleka angaza.
Sasa mkuu kwanini usifuatilie utajiri huo wa mzee? Au unaogopa kuchimbua?🤣🤣Hio Kwamsisi mzee aliacha shamba la heka 50 la michungwa na minazi pamoja na nyumba ya room 3 🤣🤣🤣 sijui nini kilimpataga bana.
Ardhi utajiri kabisa huu nje nje ,Fanya ufuatilie ,tudhihirishe ukweli wa mwamposaHio Kwamsisi mzee aliacha shamba la heka 50 la michungwa na minazi pamoja na nyumba ya room 3 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui nini kilimpataga bana.
Chizi Maarifa wewe Ni wa Tanga sehemu gani? Kama unatokea Lushoto ambàko hakuna wachawi kaa kimya. Tanga wachawi wapo.
Unajua kwamba ukienda kununua utajiri wa kichawi Tanga, mganga mwenyewe ndio anakupa mtaji usio pungua milioni ishirini? Sio huko eti wakinga wananunua na kutoa kafara kwa kuua ndugu.Tanga hakuna kafara la kumwaga damu ya ndugu , sharti Ni moja tu, usitembee na mwanamke wa nje, amini usiamini Hilo sharti hata Mimi limenishinda. Isitoshe na mtaji unapewa. True kabisa sema kiapo chake tu ndio balaa.
Kuna maneno unaongeza sana chumvi. But pia huwezi kulia maneno hayo sijui mtetezi wangu amekufa nitatetewa na nani..... Hayo ni maneno ya ufalah. Mwanaume hawezi lia hivyo so rekebisha. Pia unapotunga angalia maneno ya kutumia na usiweke chumvi sana. Maana naona yaani unazidisha hata uhalisia. Pamoja na kuwa wasomaji wanapenda stories za uchawi. Too much is harmful.
[emoji23] Ghafla sanaaaaaaHabari, wale walionifuata PM kwa ajili ya muendelezo wa story watambue, haitakuwa free kuna mchango kidogo wa vocha, pia kuna story mpya inakuja hapa very soon kuanzia kesho. jitahidi kutumia lugha ya staha unapo comment sio kwasababu unatumia fake ID ndio utiririke matusi heshima kitu cha bure.
[emoji23]Anaekusimulia kakataa
Halafu wa hizi story ni mashoga, ukimfata pm anataka utume na ya kutolea.Nyie si huwa hamnielewi. Mi nawajua madogo hawa. Wapuuzi sana.
Sio roho mbaya, unaambiwa ukweli.Unaroho mbaya kama maisha yako
Na wewe ndo mlaji mwenyewe mpaka mwili wako umejaa hayo na akili.We ni mavi tu
Ndo shida za hawa madogo wanajiuza kwa namna hiyoHalafu wa hizi story ni mashoga, ukimfata pm anataka utume na ya kutolea.