Angalieni huyu jamaa anaweza kuishia kuwa shujaa wa TAIFA... Unless Wazanbar wamuangushe...
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.
Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) Sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".Huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!
Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo Tanzania(CCT) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.
Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee Sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na Taifa kwa ujumla.
Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?
Mods,naomba msiunganishe huu uzi ila watu waelewe na waone alichosema.Mods nawasihi hii kauli isimame peke yake.
Sio kweli. KKKT kama wameona Sitta kakosea na ni muumini wao lazima ataadhibiwa tuu. Hayo mengine ni yako wewe.Mzee TUPA TUPA hakuna kitu km hicho hivi unajua Wanasiasa wanaabudiwa sana huko maKANISANI mfano mzuri ni hapo KINONDONI LUTHERANI anaposali karibu viongozi wote pale wanamuona km MUNGU wao,,,!! Sababu watu wa humo kanisani wakiwa na ukaribu na Watu wa Serikali wanajihis km wako Dunia nyingine fuully upuuzi,,,!
Sitta siyo mtu msafi, wengine tulisema mapema kuwa hafai hata kuwa mwenyekiti lakini sijui watu walilewa nini;
amekunywa maji ya bendera hawezi kwenda tofauti hata siku moja.
Angalieni huyu jamaa anaweza kuishia kuwa shujaa wa TAIFA... Unless Wazanbar wamuangushe...
Yesu wangu..!!yaani huyu sita anadiriki kusema maneno ya mungu ni upuuzi?.
Paulo Makonda Ni Mshenzi Na Mpumbavu Sana, Kasema Anapiga Kura Ya Ndiyo Kwa Katiba Eti Kwa Niaba Ya Vijana Wote Wa Tanzania, Huu Ni Uongo Mjinga Makonda Nani Kakutuma Upige Kura Kwa Niaba Yetu Vijana??, Wakati Wewe Uko Bungeni Kwa Niaba Ya Tumbo Lako Na Mkeo Mpumbafu Wewe.
Nakubaliana na Mh Sitta kuwa baadhi ya nyaraka zinazosomwa zimejaa upuuzi
Paulo Makonda Ni Mshenzi Na Mpumbavu Sana, Kasema Anapiga Kura Ya Ndiyo Kwa Katiba Eti Kwa Niaba Ya Vijana Wote Wa Tanzania, Huu Ni Uongo Mjinga Makonda Nani Kakutuma Upige Kura Kwa Niaba Yetu Vijana??, Wakati Wewe Uko Bungeni Kwa Niaba Ya Tumbo Lako Na Mkeo Mpumbafu Wewe.
kweli kabisa ila big show katiba ni nzurii mnoo imegusa muktaza wote tena imeona mahitaji ya dini zote nimeelezwa na chaburuma masheik kama jongo wanaikubali mnoo ...... Mambo mengine tutazidi kuyaboresha aisee tumewakumbuka mpaka wakulima wa korosho ...... Hii katiba ni mwarobaini wa matatizo ya watanzania. Ccm hoyeeeeeeeeeeeeee. Hakika ccm ndo tanzania na apingayeee hatutakii mema