Siasa sio uadui, kuwa na itikadi tofauti sio uadui, ila siasa ikitumika vibaya kama alivyokuwa anaitumia Magufuli ndio uadui.Kuhamasishana ili watu wasimpgie kura mtu kutokana na itikadi yake ya kisiasa huo ni uadui. Hauna tofauti na magu alivyokuwa anawaweka ndani wapinzani. Na huenda kama wangekuwa na madaraka nao wangefanya kama magu
Kigogo anataka Uhuru gani? Ikiwa Ata mtu akienda kinyume na mawazo yake anaanza kumshambulia na kublockMleta mada fikiria kama unasema nchi ikohuru ila Uhuru huo uwe kwako na diamond Ila akina kigogo wasiutumie
Ukweli mchungu huu. Wakae kwa kutulia.Wako huru kumsapoti yeyote kama wewe ulivyo huru kumsapoti diamond, halafu kama ni wanaharakati wa kisiasa wako sahihi kwanini unataka wamsapoti aliyeungana na watesi wao CCM kuwateka, kuwaua, kuwanyanyasa na kuwabeza kwa nyimbo zake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha upuuzi ,Domo hata akipigiwa kura na waTZ hawezi kutoboa mbele ya wanaijeria,msitafute kichaka cha kujifichia.
Pili atakula alipopeleka mboga ,mwambieni pole pole na shaka zulu wahamasishe wana ccm wampigie kura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya ndio matokeo ya kushabikia chama na kuwa kimbelembele. Aende Lumumba kuwaomba wampigie kura.
Ukienda na matusi yako anakublock nenda kwa hoja.Kigogo anataka Uhuru gani? Ikiwa Ata mtu akienda kinyume na mawazo yake anaanza kumshambulia na kublock
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbavu zinauma khaaaaahSawa ale hizo nominasheni zake au kaziweke kabatini apige nazo picha.
Hakuna matusi wala nini, ukimpinga kwa hoja anaanza kutafuta maisha yako binafsi ili kukudharirisha, akikukosa anakublock, yule ni kichaaUkienda na matusi yako anakublock nenda kwa hoja.
Wanaharakati wa Twitter hasa kutoka CHADEMA wakiongozwa na Kigogo 2014, Hilda Newton, Martin M.M, Boniface Jacob wanaendesha kampeni ya chuki kwa Diamond asishinde tuzo ya BET AWARDS 2021. Wanaharakati hawa wa CHADEMA wao wanampigia kampeni Burna Boy kutoka Nigeria ili awe mshindi.
Hivi unajiuliza hawa CHADEMA hizi kampeni zina mkono wa chama chao au ni kikundi cha watu tu wa CHADEMA wameamua kukichafua hicho chama.
Nchi hii ipo huru kuwa mpenzi wa chama chochote, iweje mtu akiwa mpenzi wa CCM aonekane ni msaliti?
Diamond ameanzisha Wasafi Radio na Wasafi TV. Kupitia hivyo vyombo vya habari ametoa ajira nyingi kwa watanzania. Ni mwanamuziki gani mwingine wa Tanzania ambaye ameweza kuanzisha vitu vinavyoajiri watu wengi kiasi hicho?
Hebu tuache chuki za kijinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyoo kwahiyoooo
Comment yako tu hii inakuonyesha ulivyo mtu wa matusi.Hakuna matusi wala nini, ukimpinga kwa hoja anaanza kutafuta maisha yako binafsi ili kukudharirisha, akikukosa anakublock, yule ni kichaa
Kosa lake ni kutumia utashi wake kushabikia ambacho wewe pia umetumia utashi kukishabikia........??Huyo atasusiwa sana na kwa uwezo wa ahllah atadondokea pua tu na uccm wake.
Hivi wewe Kuna mtu mwenye maneno machafu kama Kigogo? badala ya kupambana na Nick wa pili analeta Habari za mkewe za nini? yule ni kichaaComment yako tu hii inakuonyesha ulivyo mtu wa matusi.
Sugu alishapandishwa hadi mjengoni wampandishe kwenda wapi tena.Hata chadema wasipompigia domo hawezi kushinda..