miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Na mimi wa 26 mkuu[emoji23][emoji23] na naenda kuwa balozi kuongeza chain. Ni bana boi tuu hakuna mwingineMimi naona wanaosema hawatampigia kura Diamond na kufanya kampeni ya kufanikisha ni haki yao.
Halikadhalika na wale wanaofanya kampeni ya kumpigia kura Diamond nao pia wapo sahihi - ni haki yao.
Siielewi hii hoja ya hawa wawili eti mmoja kumnyima uhuru wa maoni mwenziwe - kivipi?
Mimi kwa mfano sitampigia kura Diamond na tayari nimeshawishi wengine kama 25 hivi wasimpigie kura...je, nina kosa gani hapo?
Nina uhakika kuna mwingine kama mimi upande wa pili - naye ruksa.... si ndiyo demokrasia yenyewe hiyo?
Mimi Sina tatizo na watu kutompigia kura Diamond huo ni Uhuru wao, ambacho mimi napinga ni kujaribu kumshutumu Diamond kwa kuwa tu ni ccm, wakati kuwa ccm sio kosa, ni jambo la uchaguzi binafsi, kama Simba au YangaMimi naona wanaosema hawatampigia kura Diamond na kufanya kampeni ya kufanikisha ni haki yao.
Halikadhalika na wale wanaofanya kampeni ya kumpigia kura Diamond nao pia wapo sahihi - ni haki yao.
Siielewi hii hoja ya hawa wawili eti mmoja kumnyima uhuru wa maoni mwenziwe - kivipi?
Mimi kwa mfano sitampigia kura Diamond na tayari nimeshawishi wengine kama 25 hivi wasimpigie kura...je, nina kosa gani hapo?
Nina uhakika kuna mwingine kama mimi upande wa pili - naye ruksa.... si ndiyo demokrasia yenyewe hiyo?
Ishu sio kukemea ni bora angekaa kimya tu!... sasa ilifikia kipindi watu wanalalamika kuhusu uonevu wa serikali yeye anatunga wimbo kuitetea serikali! Hiyo haikuwa sawa na sa iv ndio analipa price yake asilalamike.Ebu tuambie Diamond hajakemea, haya Nani kakemea hapa Bongo kwenye jambo lolote linalo lalamikiwa na upinzani
Kila la kheri, ila kampeni kama kawaidaHeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kwani mwanamziki anaeitaka brand yake alikuwa na ulazima gani wa kuhangaika na kampeni? viva Joh Makini huu upuuzi huwa huutaki.
kura kwa Burn Boy anatosha
Diamond Uhuru gani anataka,ukiujua wa diamond tambua na wakigogoKigogo anataka Uhuru gani? Ikiwa Ata mtu akienda kinyume na mawazo yake anaanza kumshambulia na kublock
Kigogo kwanin watu waki mchallenge anaanza kutafuta maisha binafsi ya watu badala ya hoja zao?Diamond Uhuru gani anataka,ukiujua wa diamond tambua na wakigogo
Serious kwa kelele za mitandaoni, yaani lile vibe la Lissu utafikiri atakuwa rais, matokeo yake kaambulia kura milioni 1, nyie kelele zenu kama NziTena hao BET ingependeza wangeweka na option ya kupiga kura za dislikes
Hapo ndio angepata jibu la moja kwa moja ni kiasi gani watu tuko siriasi.
Chief naona umesahau makonda alivoenda kuvamia studio za clouds na watu wengi kulaani lile tukio, diamond akalikoroga kwa kutoa nyimbo kumtetea makonda licha ya kuonekana wazi alichofanya ni makosa...mi binafsi tatizo na diamond lilianzia hapa! Licha ya hilo pia kipindi serikali ya magufuli uko kwenye pick ya kuwafanyia watu ukatili akatoe nyimbo nyingine kumsifu magufuli, sasa kwa situation km hii unaanza vipi kuwalaumu watu walionyanyasika kipindi cha utawala wa magu kutomsapoti diamond?Kuhamasishana ili watu wasimpgie kura mtu kutokana na itikadi yake ya kisiasa huo ni uadui. Hauna tofauti na magu alivyokuwa anawaweka ndani wapinzani. Na huenda kama wangekuwa na madaraka nao wangefanya kama magu
Safari hii hapati kitu, tuzo ya Diamond hiiTWICEASSTALLView attachment 1803535
Kwa hiyo konde boy na yeye yupo kwenye izo category za tuzo?Mbona wasanii wengine hamuwasemi?Konde boy mpaka tattoo alijichora ya JPM mbona hii nguvu hamuitumii Ata huko?
Mkuu mbona Ata Konde boy alitoa nyimbo tamuu ya kumsifia Magufuli, vile vile amechora tattoo ya Magufuli mguu, vile vile alilia Instagram live, au mna muacha kwanza mpaka apate nomination BET ndio hasira zenu zinakuja?Chief naona umesahau makonda alivoenda kuvamia studio za clouds na watu wengi kulaani lile tukio, diamond akalikoroga kwa kutoa nyimbo kumtetea makonda licha ya kuonekana wazi alichofanya ni makosa...mi binafsi tatizo na diamond lilianzia hapa! Licha ya hilo pia kipindi serikali ya magufuli uko kwenye pick ya kuwafanyia watu ukatili akatoe nyimbo nyingine kumsifu magufuli, sasa kwa situation km hii unaanza vipi kuwalaumu watu walionyanyasika kipindi cha utawala wa magu kutomsapoti diamond?
We unafikiri BET ni sawa na NEC ya mahera ambayo inafata meza yenye bia nyingi ya kumlamba boss miguu?Serious kwa kelele za mitandaoni, yaani lile vibe la Lissu utafikiri atakuwa rais, matokeo yake kaambulia kura milioni 1, nyie kelele zenu kama Nzi
Kumbe mnasubiri mpaka awe kwenye nomination ndio hasira zenu zinapanda?ahahahahaha haKwa hiyo konde boy na yeye yupo kwenye izo category za tuzo?
Tatizo lilianzia kwenye wimbo 'acha nikae kimya' na likaishia kwenye wimbo 'magufuli baba lao' hakuna haja ya kupigizana kelele kila mtu akale alipopeleka mboga.Uislamu unanasibishwa na ugaidi dunia nzima...je inafaa kuwaita waumini wote kuwa ni magaidi kwa kuwa wamechagua kuwa waislamu........??