ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
BET Ata vanyboy alishachukua huku wakati fulani, nashangaa mnapo angaika, narudia nyie kelele zenu kama NZI hazina madhara, na hili JPM alilijuaWe unafikiri BET ni sawa na NEC ya mahera ambayo inafata meza yenye bia nyingi ya kumlamba boss miguu?
Ujumbe utamfikia siku nyingine atakuwa makini atapunguza ki ele ele.Nimeuliza swali tuzo ya BET ndio itaondoa mateso yenu? Ahahahahaha hizi logic mnatoa wapi
Uko sahihi [emoji817], tujiulize tu swali dogo hivi Mbowe angekua Diamond asingesupport Magufuli?[emoji848]
Rayvan alichukua BET kipindi ambacho hakutengeneza matabaka.BET Ata vanyboy alishachukua huku wakati fulani, nashangaa mnapo angaika, narudia nyie kelele zenu kama NZI hazina madhara, na hili JPM alilijua
Hivi unafikiri haya makelele mmeanza leo? kilichoongezeka wakati huu ni kigogo tu , utaratibu ni ule ule ccm mbele kwa mbele, kampeni kama kawaidaUjumbe utamfikia siku nyingine atakuwa makini atapunguza ki ele ele.
Kulikuwa na team Kiba, na wapinzani wengine, hivyo hakuna jipya, Ata hawa wa sasa hawana jipya, Diamond hawezi kushushwa na wapiga mboyoyoRayvan alichukua BET kipindi ambacho hakutengeneza matabaka.
JPM ndio nani? Hivi hli jina bado linaendelea kutumika tu au kuna mrithi wake analiendeleza?
Mtu yeyote yupo huru kumpigia kampeni yeyote yule.
Kwa upande mwingine, kuna kazi nyingine, hutakiwi kujishikamanisha na chama fulani moja kwa moja. Ukiamua kujishikamanisha na chama moja kwa moja, hiyo shughuli yako itaonekana ina mahusiano ya moja kwa moja na hicho chama, na kuhasimiwa na upande mwingine au kundi neutral ni halali, na kukosa wapenzi tika kwa makundi hasimu siyo ajabu. Kwa hiyo wasanii wapo huru kushikamana na vyama lakini wawe huru pia kuyapokea matokeo.
Kwa ule uchafu, ushetani na uharamia uliokuwa umefanywa na marehemu Magufuli, kabla na wakati ya uchaguzi, yeyote aliyeunga mkono au kushiriki, anakuwa sehemu ya ushetani. Anastahili kulaaniwa na kila mtanzania mwenye akili timamu, mdemokrasia na anayelipenda Taifa lake, japo kuna nafasi ya kujirudi na kujisahihisha, kwa waliokuwa wamekengeuka. Kwa kuoitia mtu mmoja Taifa lilinajisiwa, na kwa kupitia mmoja Taifa linaweza kuponywa.
Wanaharakati wa Twitter hasa kutoka CHADEMA wakiongozwa na Kigogo 2014, Hilda Newton, Martin M.M, Boniface Jacob wanaendesha kampeni ya chuki kwa Diamond asishinde tuzo ya BET AWARDS 2021. Wanaharakati hawa wa CHADEMA wao wanampigia kampeni Burna Boy kutoka Nigeria ili awe mshindi.
Hivi unajiuliza hawa CHADEMA hizi kampeni zina mkono wa chama chao au ni kikundi cha watu tu wa CHADEMA wameamua kukichafua hicho chama.
Nchi hii ipo huru kuwa mpenzi wa chama chochote, iweje mtu akiwa mpenzi wa CCM aonekane ni msaliti?
Diamond ameanzisha Wasafi Radio na Wasafi TV. Kupitia hivyo vyombo vya habari ametoa ajira nyingi kwa watanzania. Ni mwanamuziki gani mwingine wa Tanzania ambaye ameweza kuanzisha vitu vinavyoajiri watu wengi kiasi hicho?
Hebu tuache chuki za kijinga.
Uko sahihi 💯, tujiulize tu swali dogo hivi Mbowe angekua Diamond asingesupport Magufuli?🤔
Jifunze kutofautisha Kati ya Chama na wafuasi wa chama
Wako huru kumsapoti yeyote kama wewe ulivyo huru kumsapoti diamond, halafu kama ni wanaharakati wa kisiasa wako sahihi kwanini unataka wamsapoti aliyeungana na watesi wao CCM kuwateka, kuwaua, kuwanyanyasa na kuwabeza kwa nyimbo zake?
Kama unaanzisha kampeni ya kuhamasisha watu wasimpgie kura mwanamziki kisa alikuwa chama tofauti na chama chako, siku ukipata madaraka utakamata hata mali za waliokuwa wanakupinga, unaweza kuwaweka ndani pia.
Hizi ni tuzo za mziki siyo za kiongozi bora. Sasa hata wanaodai demokrasia wameanza kutumia njia ya au uko nasi au wewe ni adui yetu, same as waliyekuwa wanamlaumu kuwa anataka kugeuza nchi yote kuwa ya ccm.
Mimi sina cha team kiba wala team mond, yeyote anaye fakisha sioni kazi kumchana.Kulikuwa na team Kiba, na wapinzani wengine, hivyo hakuna jipya, Ata hawa wa sasa hawana jipya, Diamond hawezi kushushwa na wapiga mboyoyo
Mdomo wake wewe unaufatilia wa nini? kama upendezwi nao fanya shughuli nyingineMimi sina cha team kiba wala team mond, yeyote anaye fakisha sioni kazi kumchana.
Inawezekana wewe ukawa ni team mond na ndio maana unahisi ndio sababu nampigia misumari kwenye kura za BET.
Tatizo ana mdomo ( kumradhi sio ukubwa wa mdomo bali kuongea hovyo)
Sifa ya mtu mwenye mdomo nikua sio mpaka afatiliwe ndio ujue kua ana mdomoMdomo wake wewe unaufatilia wa nini? kama upendezwi nao fanya shughuli nyingine
Aiseee huyu jamaa hivi naye yupo kwenye list ya BET?
Tofautisha BET International Act ( TUZO )Kulikuwa na team Kiba, na wapinzani wengine, hivyo hakuna jipya, Ata hawa wa sasa hawana jipya, Diamond hawezi kushushwa na wapiga mboyoyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kwa akili ya kawaida Sadala angeshinda vipi kwa wale watu waliowekwa naye kwenye category moja?
Angeshinda labda angewekewa Lavalava ,Mboso ,Zuchu na Rayvanny
shenzi ni tusi, basi mama yako namsalimia kwa salamu za shenzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzi
Hii Habari hakuna mahali Wizkid amewai kuzungumza, hawa ni waandishi tu wameamua kumsemea, vip DAVIDO mbona alimpigia kampeni mpinzani lete maoni yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mimi wa 26 mkuu[emoji23][emoji23] na naenda kuwa balozi kuongeza chain. Ni bana boi tuu hakuna mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23] watu mna hasira kwa kweli lol.Tena hao BET ingependeza wangeweka na option ya kupiga kura za dislikes
Hapo ndio angepata jibu la moja kwa moja ni kiasi gani watu tuko siriasi.
Mtu ukimpuuza hawezi kukusumbua wala uwezi mpa mda wako, wewe kama kwako hana impact achana naeSifa ya mtu mwenye mdomo nikua sio mpaka afatiliwe ndio ujue kua ana mdomo
Vanboy wako alichukua ipi hiyo? Ile isiyokua na tija lolote? [emoji23][emoji23][emoji23] walllah hivi vichekesho mweeeeh.BET Ata vanyboy alishachukua huku wakati fulani, nashangaa mnapo angaika, narudia nyie kelele zenu kama NZI hazina madhara, na hili JPM alilijua