Kazi ya Chawa hiyo.Kwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!
Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.
Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana!😎
Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?
Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?
Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!
Mungu ibariki Tanzania
Wakiona chawa hawana madhara saana, watafuga kupe watunyonye damu,Kumbe uchawa ni fahari kabisaaa. Hadi mama nae kawafugaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni mwendo wa pambio, tunasifu na kuabudu.Kwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!
Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.
Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana![emoji41]
Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?
Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?
Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!
Mungu ibariki Tanzania
Hao ndio CHAWA!!! hivi punde wata geuka kuwa kunguni.Hiyo ndio ccm bhana , Tumbo kwanza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
You kill the dog!.Si tawala wala upinzani bali wanasiasa ndivyo walivyo
Chadema enzi zile kiliutangazia umma kuwa Lowassa ni fisadi papa na mpaka kwenye website ya chama list ya mafisadi papa Lowassa alikuwemo, wanachama walishangalia na wakaunga mkono
2015 Lowassa ktk chaguzi za ndani akakatwa CCM na kuhamia Chadema, wanachama walewale wakamshangilia na kumpokea kisha wakampa tiketi ya kugombea urais
Lissu na Lema walikimbia nchi kwa kusema Jpm anawawinda, lakn leo ni mwaka wa pili JPM hatunae na vijamaa bado vimelowea ubeberuni
Hapo unaweza kuona kiwango cha uongo na unafiki huku upinzani
Si tawala wala upinzani bali wanasiasa ndivyo walivyo
Chadema enzi zile kiliutangazia umma kuwa Lowassa ni fisadi papa na mpaka kwenye website ya chama list ya mafisadi papa Lowassa alikuwemo, wanachama walishangalia na wakaunga mkono
2015 Lowassa ktk chaguzi za ndani akakatwa CCM na kuhamia Chadema, wanachama walewale wakamshangilia na kumpokea kisha wakampa tiketi ya kugombea urais
Lissu na Lema walikimbia nchi kwa kusema Jpm anawawinda, lakn leo ni mwaka wa pili JPM hatunae na vijamaa bado vimelowea ubeberuni
Hapo unaweza kuona kiwango cha uongo na unafiki huku upinzani
Kazi ya chawa nikuafuata chochote aidha kiwe kibaya au kizuri.Kazi ya Chawa hiyo.
Chawa huwa hawana fikra zao. Wao ni bender a fuata upepo.
Hii ndiyo ilikuwa maana halisi ya maneno ya mwalimu Nyerere "wanasiasa malaya malaya"Kwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!
Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.
Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana![emoji41]
Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?
Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?
Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!
Mungu ibariki Tanzania
Chama Cha MazezetaKwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!
Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.
Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana!😎
Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?
Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?
Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!
Mungu ibariki Tanzania
Na hutowaelewa hawa viumbe mazima 🤣🤣🤣🤣Kwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!
Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.
Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana!😎
Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?
Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?
Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!
Mungu ibariki Tanzania