Siwaelewi CCM: Magufuli alipopiga marufuku mikutano ya kisiasa walipongeza, sasa hivi Samia kairuhusu wanapongeza pia!

Siwaelewi CCM: Magufuli alipopiga marufuku mikutano ya kisiasa walipongeza, sasa hivi Samia kairuhusu wanapongeza pia!

Kwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!

Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.

Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana!😎

Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?

Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?

Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!

Mungu ibariki Tanzania
Kazi ya Chawa hiyo.

Chawa huwa hawana fikra zao. Wao ni bender a fuata upepo.
 
IMG-20230104-WA0008.jpg
 
Lazima useme chochote,ukikaa kimya itaonekana huungi mkono,siasa zetu ni za kuviziana sana usipokuwa smart unajikuta upo nje ya reli,acha watafutaji walinde Ugali......unacheza kutokana na mdundo wa ngoma
 
Kwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!

Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.

Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana![emoji41]

Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?

Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?

Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!

Mungu ibariki Tanzania
Ni mwendo wa pambio, tunasifu na kuabudu.
 
Si tawala wala upinzani bali wanasiasa ndivyo walivyo

Chadema enzi zile kiliutangazia umma kuwa Lowassa ni fisadi papa na mpaka kwenye website ya chama list ya mafisadi papa Lowassa alikuwemo, wanachama walishangalia na wakaunga mkono

2015 Lowassa ktk chaguzi za ndani akakatwa CCM na kuhamia Chadema, wanachama walewale wakamshangilia na kumpokea kisha wakampa tiketi ya kugombea urais

Lissu na Lema walikimbia nchi kwa kusema Jpm anawawinda, lakn leo ni mwaka wa pili JPM hatunae na vijamaa bado vimelowea ubeberuni

Hapo unaweza kuona kiwango cha uongo na unafiki huku upinzani
You kill the dog!.
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Si tawala wala upinzani bali wanasiasa ndivyo walivyo

Chadema enzi zile kiliutangazia umma kuwa Lowassa ni fisadi papa na mpaka kwenye website ya chama list ya mafisadi papa Lowassa alikuwemo, wanachama walishangalia na wakaunga mkono

2015 Lowassa ktk chaguzi za ndani akakatwa CCM na kuhamia Chadema, wanachama walewale wakamshangilia na kumpokea kisha wakampa tiketi ya kugombea urais

Lissu na Lema walikimbia nchi kwa kusema Jpm anawawinda, lakn leo ni mwaka wa pili JPM hatunae na vijamaa bado vimelowea ubeberuni

Hapo unaweza kuona kiwango cha uongo na unafiki huku upinzani

I concur with you
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Vyama vingi vya Tanzania vinafuata fikra vya Mwenyekiti.
 
Kwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!

Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.

Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana![emoji41]

Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?

Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?

Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!

Mungu ibariki Tanzania
Hii ndiyo ilikuwa maana halisi ya maneno ya mwalimu Nyerere "wanasiasa malaya malaya"

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!

Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.

Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana!😎

Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?

Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?

Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!

Mungu ibariki Tanzania
Chama Cha Mazezeta
Chama cha Mambuzi
Chanzo Cha Matatizo
 
Kwa kweli sielewi kabisa misimamo ya wana-ccm, wakati ule mara tu alipoingia madarakani mwaka 2016, Rais wa wakati huo, Hayati Magufuli, alipopiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, huku akijua wazi kuwa anaisigina Katiba ya nchi, walijitokeza wana-ccm kibao, waliopongeza hatua hiyo na kuiita ya kishujaa na kuvisihi vyama vya upinzani, vikachape kazi, Kwa kuwa muda wa kufanya siasa ulikuwa umekwisha!

Nimeshangazwa pia safari hii, wakati Rais wa awamu ya 6, Samia Suluhu Hassan, alipoiruhusu mikutano hiyo na akaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Katiba kuipiga marufuku mikutano hiyo, Kwa kuwa ni haki yao kikatiba, vyama hivyo kuifanya mikutano hiyo na wao kama Serikali, Kwa kutumia Jeshi lake la Polisi, wajibu wao mkubwa, ni kuilinda mikutano hiyo, Ili ifanyike Kwa njia ya amani na utulivu.

Nimeshangazwa pia kuwaona wana-ccm wale wale, wakitoa pongezi nyingi Kwa Rais Samia na kusema kuwa huyu mama ni mwana-demokrasia, Kwa hiyo anapaswa kupewa pongezi nyingi Sana!😎

Ndipo hapo ninapojiuliza hivi Hawa wana-ccm wanajielewwa kweli?

Ni kwanini wakati ule Mwenyekiti wao wa CCM, ambaye pia alikuwa ndiye Rais wa nchi, alipopiga marufuku mikutano hiyo, hawakuweza kumuhoji kuwa kitendo anachofanya, ni Cha kukiuka waziwazi Sheria za vyama vya kisiasa vya upinzani, ambao wamepewa haki hiyo kstika Sheria za vyama vya kisiasa nchini?

Tabia hii ya ukinyonga na unafiki inayofanywa na viongozi wa CCM, ambao wanashindwa kuwa na msimamo mmoja, ndiyo inayoweza kuliangamiza Taifa letu!

Mungu ibariki Tanzania
Na hutowaelewa hawa viumbe mazima 🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • IMG_20220224_183623~2.jpg
    IMG_20220224_183623~2.jpg
    64.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom