Siwezi kuandamana hata siku Moja ni ujinga

Mda huo wewe ushaoza Kwa ujinga uliofanya wenzio wako ikulu mtoto wako Yuko dampo ujioni kama ni bonge la bwege sababu Shaba umekula na hamna kilichobadilika
We ni wa kuonewa huruma tu, Pole ewe maskini wa furure.
Watu wote tungekua kama wewe hata Ufaransa ingekua kama Tz leo.
 
Wewe uandamane umuachie nani hiyo biashara yako hapo Sinza? Jiuze tu .
 
Nyinyi vijana wa mwaka 2000 ndiyo mnaotuangusha. Muda wote mko instagram na Tiktok! Igeni wenzenu wa Gen Z wa Kenya. Wazee na kuandamana, wapi na wapi bhana!!
 
Unamsema Mzee mwanakijiji na wenzie
Yule Mzee kapotea huenda alilambishwa asali alafu akatemeshwa
 
Nyie mnaandamanaga kumpongeza mama anaupiga mwingi
 
Wenye mindset kama yako wanakuwaga kuandamana kwenda kwa Mwamposa
 
Sa kisa wewe Bwabwa huwez ndo uhisi ni wote au? Ikilia nduru Mama, wazee na watoti ndio hubaki nyumbani. We upo kundi gani hapo?
Wewe shoga tu ungekua kidume usingeongea sana ungeshaingia road ila upo jikoni unakata vitunguu
 
Hakuna mtu anataka ww mzee uandamane. Ww endelea kumeza dawa zako za kisukari. Acha vijana wanaojitambua wataandamana.
 
aina yako ya vijana ungekuwa enzi za kuutafuta uhuru wa nchi, ndio nyie mngekula chips na mkoloni k
mzee baba kulikuwa na haja ya kuandika uzi about hisia zako na misimamo yako?
 
Ukiitwa traako la kuchezea kangamoko chukulia poa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…