Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #121
Hata usemaje sifanyi huo ujinga mimi yaani hata uongee vipi ubaya ubwelaNilikua najua huna akili. Kumbe huna akili kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata usemaje sifanyi huo ujinga mimi yaani hata uongee vipi ubaya ubwelaNilikua najua huna akili. Kumbe huna akili kabisa.
Acha uoga siku ya kufa ipo na hujui utakufa lini,na utafia wapi,wewe amini unachoamini ila usipige promo kama wote wanafikiri unavyofikiri.Kifo kipo tu kiwe cha haki,cha kuonewa,ajali au maradhi kifo ni kifo tu.Huna akili yaani nife kisa jitu lingine lije kuishi vizuri Sasa wakiishi vizuri Mimi nafaidika na nini wakati mda huo nimeoza Kwa ujinga niliofanya wao wanakula keki ya taifa Kila mtu apambane na maisha yake Kila mtu ana kaburi lake siwezi kufanya huo ujinga mimi
Kwani umeitwa kuandamana?Ukweli Gani hizo ngonjera tu unaziimba humu Kila siku keyboard warrior 🤣
Kufa Kwa ajili yan jitu jingine ni ujinga Wala sio ujasiri yaani unakula Shaba Ili jitu like kuishi vizuri miaka ijayo wakati wewe umeoza chini hivi hiyo ni akili au topeAcha uoga siku ya kufa ipo na hujui utakufa lini,na utafia wapi,wewe amini unachoamini ila usipige promo kama wote wanafikiri unavyofikiri.Kifo kipo tu kiwe cha haki,cha kuonewa,ajali au maradhi kifo ni kifo tu.
Hakika.Kwa hiyo Nyerere na Wapigani uhuru wenzake wangekuwa na mentality hii ina maana tungekuwa tunatawaliwa bado.
Maendeleo unayoyaona Marekani, Ulaya huko Asia hayajakuja hivi hivi kuna watu kibao walipoteza wapendwa wao hadi hizo nchi zimesimama hivyo.
Hii ina maana kuna siku utaletwa muswada wanaume wote mtoe ndogo angalau mara moja kwa mwezi kwa nchi wa hisani, utakubali kwa kuwa ukiandamana utapigwa risasi?
Huwa naamini kitu kimoja kama huwezi kuwasupport basi angalau usiwavunje moyo.
Wewe ni keyboard warrior 🤣Kwani umeitwa kuandamana?
Wewe lala tu hajakuita mtu kuandamanaWewe ni keyboard warrior 🤣
Wewe ni mwoga na kama si mwoga umetumwa si bure.Kufa Kwa ajili yan jitu jingine ni ujinga Wala sio ujasiri yaani unakula Shaba Ili jitu like kuishi vizuri miaka ijayo wakati wewe umeoza chini hivi hiyo ni akili au tope
Nakubali haswa kuwa wazee wet walikua mbumbumbu kama wewe ulieshiba chapati mbili ukaridhikaYaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu kama maisha yamekua magumu kwenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Keyboard warrior wewe 🤣🤣🤣🤣🤣Wewe lala tu hajakuita mtu kuandamana
Hata wewe pia ni mbumbumbu sababu hauna ulichokifanyaNakubali haswa kuwa wazee wet walikua mbumbumbu kama wewe ulieshiba chapati mbili ukaridhika
Kula kulala wewe unangojea kuletewa tuKeyboard warrior wewe 🤣🤣🤣🤣🤣
Hicho unachokula wewe ni jasho langu, muulize bimkubwa atakueleza vizuri.Keyboard warrior hata wewe pia ni kula kula tu 🤣🤣🤣🤣🤣
Hata wewe ni kula kulala tu keyboard warrior 🤣🤣🤣Kula kulala wewe unangojea kuletewa tu
Huyu ametumwa acheni kuhangaika naye.Tuna vijana wa hovyo sana kuwahi kutokea. Acha ajira ziendelee kukosekana watie akili!
Tuna Kemea Mapepo wanaoajiri Vijana wenzetuKatika ujinga namba Mbili siwezi kuufanya ni kukubali kuajiriwa ndio maana mnalialia njaa unakubalije kuajiriwa
Ingia barabarani kama wewe kidume sio unakua keyboard warrior 🤣🤣🤣🤣Huyu ametumwa acheni kuhangaika naye.
Nikishajua lengo la mtu na nini ambacho kipo nyuma yake,huwa sihangaiki naye asilani.Huyu ni Lucas Mwashambwa kaja kivingine.Ingia barabarani kama wewe kidume sio unakua keyboard warrior 🤣🤣🤣🤣
Keyboard warrior siandamani hata iweje🤣🤣Nikishajua lengo la mtu na nini ambacho kipo nyuma yake,huwa sihangaiki naye asilani.Huyu ni Lucas Mwashambwa kaja kivingine.
We bwabwa kweli, unajibu ka huna kichwa yani.Ndio maana yake siwezi Fanya huo ujinga wakati nyie wazee mlizubaa nchi ikatafunwa Mimi sio mjinga nife Ili jitu lingine lile keki ya taifa