Siwezi kuandamana hata siku Moja ni ujinga

Siwezi kuandamana hata siku Moja ni ujinga

Sijajua watu hapa Tz wanataka kuandamana kwa lipi, ila iwe iwavyo maandamano yanahitaji vijana werevu na wanaojitambua. Kwa uandishi huu tu, wala usipoteze muda na maandamano (hata yakija), waachie wenye akili mkuu.
Sina mda wa kuandamana Mimi kisa jitu lingine liishi vizuri wakati huo Mimi nimeshaoza nimekua mchanga
 
Si unashiba bila kufanya kazi ndiyo maana unaropoka tu. Utaolewa kabla ya siku zako shauri yako.
Sina mda wa kuandamana Mimi Ili jitu lingine lije kuishi vizuri wakati huo Mimi nimeoza nimeshakua mchanga sifanyi huo ujinga milele Mimi sio mjinga ingia barabarani mwenyewe sio unakaa ndani ya shuka unalopoka humu
 
Yaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu kama maisha yamekua magumu kwenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Nina uhakika na haya;

1. Hujalelewa na baba na hakuna mwanaume kwenye familia yenu (kama ipo).
2. Hujaenda jando.
 
Yaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu kama maisha yamekua magumu kwenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Na unaishi ili iweje kama una akili za kishoga hivi? Siufe tu
 
Tuna vijana wa hovyo sana kuwahi kutokea. Acha ajira ziendelee kukosekana watie akili!
Katika ujinga namba Mbili siwezi kuufanya ni kukubali kuajiriwa ndio maana mnalialia njaa unakubalije kuajiriwa
 
Back
Top Bottom