NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
- Thread starter
-
- #21
huyo mke ana roho mbaya kuwahi kushuhudiwa, alafu wanae wakikua wakioa/kuolewa atakuwa king'ang'anizi kwenda kuishi nao. Kufariki kwa mzazi wake sio sababu ya kuwachukia wazazi wa mwenzie, aah ashanikera.
Itamusaidia Nini mkuu!?
Roho mbaya ni sumu, huyo mwanamke sio kabisa. Ila kwenye ishu ya wazazi, KE huwa ni wabinafsi na wenye chuki sanaJamaa kalia sana!
Hadi ilibidi nimtoe out Wana miaka kumi TANGU waoane!
Hajui afanye nini? Serious? 😀😀😀😀Wakuu
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi Hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake!
Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika VYA kutosha Sasa anaomba USHAURI kwenu afanye Nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mmoja BADO ananyonya!!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje!!?
Hajui afanye nini? Serious? 😀😀😀😀
Ila mapenzi hayashauriki
Jamaa anawazaHajui afanye nini? Serious? 😀😀😀😀
Ila mapenzi hayashauriki
Kama ana watoto wa kiume... Hakuna shida aombe maisha marefu watoto wakue nao waoe afu aende kuwa tembelea afu akutane na hayo... Maana malipo hapapa..... Umemfanyia visa mama wa mumeo na yeye atafanyiwa visa na wanawe..Wakuu
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi Hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake!
Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika VYA kutosha Sasa anaomba USHAURI kwenu afanye Nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mmoja BADO ananyonya!!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje!!?
Stupid!🚮 hili swala halina mjadala na halihitaji ushauri aisee afukuze iyo kenge irudi kwao.Wakuu
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi Hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake!
Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika VYA kutosha Sasa anaomba USHAURI kwenu afanye Nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mmoja BADO ananyonya!!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje!!?
Wakuu,
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake. Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika vya kutosha Sasa anaomba ushauri kwenu afanye nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mmoja bado ananyonya!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje?
Makubwa! Mtakuwa mkitofautiana tu ni kuachanaWakuu,
Hiyo Ndio kauli ya mke wa mshikaji wangu aliyoitamka baada ya jamaa kwenda kumpokea mama yake mzazi stendi!
Kilichofuata ni visa sarakasi hadi Mama mtu kaomba nauli na kurudi zake kwake. Jamaa kajiona powerless hovyo na kaaibika vya kutosha Sasa anaomba ushauri kwenu afanye nini!
Wana Watoto watatu pamoja na mmoja bado ananyonya!
Binafsi nimemshauri kwamba hapo hana mke avumilie Mtoto akue akaanzishe Maisha mapya
Wadau mnasemaje?
Wewe acha upumbavu mama ako umpagie mda wa kuka kwako, mbona huna hadabu, sijui vijana wa siku hizi mna kasoro gani kwenye akili zenu, wewe umpe mkeo priority kuliko mama ako mzazi jinga kabisa.Tatizo la wamama wakienda kwa vijana wao waliooa wanataka kukaa mwaka mzima au kuhamia hapo lzima wakosane,nenda mara moja moja na usikae sanaa ,sehem ambayo mama anaweza kaa muda mrefu na kwa amani ni kwa mtoto wa kike tu lakin na penyewe usikae sana
Acha wao waje kukutembelea kwako
Unafikiri natania!?Usitufanye wajinga humu!!, wewe ni timu "kataa ndoa".
Unataka kuonyesha ubaya wa ndoa.
Wewe acha upumbavu mama ako umpagie mda wa kuka kwako, mbona huna hadabu, sijui vijana wa siku hizi mna kasoro gani kwenye akili zenu, wewe umpe mkeo priority kuliko mama ako mzazi jinga kabisa.