Siwezi kusahau haya manyanyaso ya mama wa kambo

Kwa mujibu wa maelezo yako shida ilikuwa kwako na si mama wa kambo.
 
Itakuwa una pepo la kudundwa wewe. Si ndio wewe ulichezea kichapo cha msukuma?

Anyways kiuhalisia inaonekana chimbuko la chuki kwa mama yako wa kambo ni kupevuka kwako na kuanza jeuri.

Kuendelea kuumia ikiwa muhisika anaishi maisha yake kwa amani ni wewe kujitesa mwenyewe.
 
Foolish age haikwepeki...mama alihitaji busara sana namna ya kuishi na mwanae
Hakuna kitu kama hicho inatokana na malezi na huruka ya mtoto tu, maana hata sisi hizo hatua tumezipitia lakini hatukuwahi kuleta dharau na jeuri mbele wa walezi na wazazi wetu.
Huyu mleta mada kuna kipindi alisha andika mada humu jf kujutia historia ya maisha yake ya nyuma hii inaonesha alikuwa ni mtu mwenye tabia mbovu sana.
 
Hana amani yoyote kwasasa, alafu mimi siumii wala nini lakini nashindwa kusahau hayo
 
Unavyoongea hivyo ni kama tumekuwa wote, aya endelea kunielezea
 
Hapo kwa graduate umenichekesha ila kwa sababu basics wanayo ni rahis kuelekezwa!

Turudi Kwa binti sayuni:
Nimekuelewa vizuri sana, katika maisha ya kawaiida unapotaka kumsaidia mtu unaweza kusaidia msaada wa 'hali na mali' Kwa ww ulivoainisha huyu anahitaji msaada wa hali kwenye hilo first defense line ya kujisaidia ni yeye mwenyewe ila kwenye msaada wa Mali ndo wengine wanaweza kua first defense line ya kukushika Mkono maana unaweza usiwe na chochote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…