Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Kusamehe mtu aliyetengeneza donda moyoni si kazi ya muda mfupi ndugu yangu.Si ninavyo kuelezea bali jinsi ulivyo jielezea ww, au sio ww uliye leta mada ya kujutia maisha yako ya nyuma?
Na kwenye maelezo yako sio ww ulie sema kuwa mama yako wa kambo alikuwa vizuri mpaka pale ulipo anza tabia za ajabu?
Hata ww una upande wa pili iwapo mtu atavuka mipaka yako ya uvumilivu.
Kama ww unavyo jutia makosa yako ya nyuma na hutaki kuhukumiwa kwa uliyo yafanya huko nyuma, hivyo hivyo huna haki ya kumuhukumu mama yako wa kambo kwa mama yako wa kambo kwa mambo ya nyuma msamehe maisha yaende mbele.
Anahitaji mtu sahihi wa kumweleza na mengine mengi aliyoyapitia.ninaimani siku akijaribu kufanya hivyo atalia sana basi na hapo ndio utakuwa wakati wake sahihi kwa kulia sana bila kubembelezwa anyamaze kulia,taratibu ataanza kupata ahueni mazungumzo ya kusamehe yataanzia hapo na kidogo kidogo atajikuta anaachilia vitu.
Hakika Mungu amtie nguvu aise vinginevyo itaathiri baadhi ya vitu😌