Rostam ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Karamagi ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Mbowe ni mwenyekiti wetu asiye na doa hata moja kama angekuwa nalo TAKUKURU hao hawapo? mbona hawajamkamata kama wanavyowabeba wezi nyie CCM?
About Lowasa..sitasema Mengi...Muda ndio utawaumbua ..na mtaona aibu sana
Ahsante Mungu kwa kumuumba Lowasa.
View attachment 381917
Wakiingia hao ujue kuwa hakuna jiwe litakalo saliya juu ya jingine hata mlima kimanjaro nao utang'oka tu,halafu kitu kinawekwa.Halafu ndo waingie akina ROSTAM na Lowasa karami na mbowe
Bila kuwasahau wale walioshiriki ununuzi wa radatunaomba wawakamate wote waliohusika kwenye ununuzi wa MV Dar es salaam maana kuna pesa ndefu sana ya walipa kodi imepotea pale
Sipingi Lugumi na kibaya ulishatolewa ufafanuzi na bunge lilishaunda kamati na kujiridhisha, ila mtu kama wewe huoni ufisadi wa mbowe na lowasa walivyouziana chama unakomaa na vitu vingine. Mwambieni mbowe arudishe chenji la lowasa ili awe huru kuamua mstakabali wa chama na siyo kila siku anaambiwa aache uanaharakati
Hapana Shaka wewe utakuwa mwendesha bodaboda uliyempigia kura LowasaSiku zote tunasema
CCM ndio wezi wa nchi hii
wameifilisi na wanaendelea kuifilisi
CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals
Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
Ni wa ccmHivi hawa mafisadi ni wa CCM au Chadema?
Naona mafisadi wa UVCCM katika ubora wenuSipingi Lugumi na kibaya ulishatolewa ufafanuzi na bunge lilishaunda kamati na kujiridhisha, ila mtu kama wewe huoni ufisadi wa mbowe na lowasa walivyouziana chama unakomaa na vitu vingine. Mwambieni mbowe arudishe chenji la lowasa ili awe huru kuamua mstakabali wa chama na siyo kila siku anaambiwa aache uanaharakati
Ukiwagusa mafisadi nchi itayumba!!!Lugumi imefunikwa kimyakimya
Alafu chama gani kichukue? .....jamani hebu tuwe wa kweli kwenye hii issue tuache kudanganya na. ...hebu ona MHE. JPJM rais wetu anavyo jitahidi. ..hebu tumuogope Mwenye Enzi Mungu, tusaidiane na rais wetu kujenga nchi yetu.Siku zote tunasema
CCM ndio wezi wa nchi hii
wameifilisi na wanaendelea kuifilisi
CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals
Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
Huyo Mapunda karibu atatimkia CHADEMA kama Lowasa, huko mafisadi wote wanakaribishwa!Siku zote tunasema
CCM ndio wezi wa nchi hii
wameifilisi na wanaendelea kuifilisi
CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals
Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
hiyo inapaswa kuitwa mahakama ya ccm hahahah maana woooooote ni ccmLugumi Yupo kama ambavyo Lowasa yupo.Kwani kati yao kuna aliyehukumiwa na mahakama kuwa ana kosa ambavyo kila siku nyie ma CHADEMA hutuaminisha kuwa Lowasa hana kosa kwa kuwa hajawahi hukumiwa na mahakama.Naona mmekomalia Lugumi, LUGUMI kwa nini hamumusemi Lowasa na RICHMOND YAKE?
Ccm ni wezi wakubwa sana kuwahi kutokea duniani ipo wapi sukita? Leo hii walio lifirisi sukita ni wabunge
SUKITA ipo wapi?Vipi ruzuku na zile fusso chakavu? Halafu mna tatizo na wezi?
Maccm ni majizi wakubwahiyo inapaswa kuitwa mahakama ya ccm hahahah maana woooooote ni ccm View attachment 381936
Bado LugumiHapo ndipo huwa namkubali Magufuli.. Kuna mijitu ilikuwa inashabikia Ccm ili kuficha madhambi yao
Bad luck uchaguzi uliopita wote walikuwa wanagombea uraisi.Siku zote tunasema
CCM ndio wezi wa nchi hii
wameifilisi na wanaendelea kuifilisi
CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals
Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
wote kina nani?Bad luck uchaguzi uliopita wote walikuwa wanagombea uraisi.