Siyatambui mapinduzi Guinea, Rais Conde namtambua kama Rais bado waliomteka nyara wamrudishe upesi

Siyatambui mapinduzi Guinea, Rais Conde namtambua kama Rais bado waliomteka nyara wamrudishe upesi

Bunge la Tanzania liitake serikali itoe tamko kuhusu kilichotokea Guinea na nini msimamo wa serikali

Mbunge yeyote asimame amhoji waziri mkuu kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo au ahoji Waziri wa Mambo ya nje kipindi cha maswali na majibu

Bunge wake up
Naona unataka kuwambusha wanajeshi wetu kile walichopaswa kufanya miaka flani hivi iliyopita.
 
Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena

Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi Condé na kumficha wanakojua wao.

Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.

Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde

Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap

Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
Guinea ni nchi huru, kwanini wewe beberu wa TANZANIA uwapangie?
 
Guinea ni nchi huru, kwanini wewe beberu wa TANZANIA uwapangie?
Walishazalisha wakimbizi wakaja Tanzania lazima nikomae

Rwanda tunamheshimu Kagame sababu hazalishi wakimbizi kuja kwetu akitokea mwehu kama huyo Mamady Doumbouya akampindua mimi nitakuwa wa kwanza kwenda Rwanda na shoka kumpasua kichwa asituzalishie wakimbizi
 
Kupata vichekesho vingine kama hivi nitume msg kwenda namba gani? 🤣 🤣 🤣
Hujielewi bunge letu pia linatakiwa kutoa tamko kulaani kilichofanywa na huyo jambazi mteka Raisi anayeitwa Mamady Doumbouya kwa kulidhalilisha maamuzi ya bunge lilichaguliwa na wananchi ambalo liko kikatiba

Ndugai na Dr Tulia wake up
 
Walishazalisha wakimbizi wakaja Tanzania lazima nikomae

Rwanda tunamheshimu Kagame sababu hazalishi wakimbizi kuja kwetu akitokea mwehu kama huyo Mamady Doumbouya akampindua mimi nitakuwa wa kwanza kwenda Rwanda na shoka kumpasua kichwa asituzalishie wakimbizi
Lini Guinea imeleta wakimbizi Tanzania?
Je ni halali kwa viongozi wa kiafrika kuchambia katiba za nchi zetu?

Naona hao wanajeshi wapo sahihi kulinda katiba ya Guinea
 
Lini Guinea imeleta wakimbizi Tanzania?
Je ni halali kwa viongozi wa kiafrika kuchambia katiba za nchi zetu?

Naona hao wanajeshi wapo sahihi kulinda katiba ya Guinea
Tanzania tumepokea wakimbizi wengi sana kutoka Africa Magharibi kutoka Guinea, Togo, Nigeria, Ghana nk miaka ya 60 na 70 sitaki history ijirudie
 
Walishazalisha wakimbizi wakaja Tanzania lazima nikomae

Rwanda tunamheshimu Kagame sababu hazalishi wakimbizi kuja kwetu akitokea mwehu kama huyo Mamady Doumbouya akampindua mimi nitakuwa wa kwanza kwenda Rwanda na shoka kumpasua kichwa asituzalishie wakimbizi
Kwani umelazimishwa kupokea wakimbizi?
 
Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena

Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi Condé na kumficha wanakojua wao.

Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.

Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde

Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap

Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
Wewe kama nani
 
Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena

Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi Condé na kumficha wanakojua wao.

Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.

Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde

Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap

Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
Wamrudishe upesi? Unatoa amri kama nani sasa
 
Wamrudishe upesi? Unatoa amri kama nani sasa
Kama mwafrika mpenda demokrasia ya kuabadili maraisi kwa kuheshimu katiba

Mwambieni huyo bwege jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba na mimi nikikutana naye nampiga nyundo ya kichwa mbwa mkubwa

Africa tunamtaka Raisi Conde wetu sio jambazi yeye
 
Kama mwafrika mpenda demokrasia ya kuabadili maraisi kwa kuheshimu katiba

Mwambieni huyo bwege jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba na mimi nikikutana naye nampiga nyundo ya kichwa mbwa mkubwa

Africa tunamtaka Raisi Conde wetu sio jambazi yeye
Maandishi yako na lugha yako ni majibu tosha kwamba wewe ni mtu wa namna gani
 
Kama mwafrika mpenda demokrasia ya kuabadili maraisi kwa kuheshimu katiba

Mwambieni huyo bwege jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba na mimi nikikutana naye nampiga nyundo ya kichwa mbwa mkubwa

Africa tunamtaka Raisi Conde wetu sio jambazi yeye
Kiongozi si unaona doumbo alivyofanya
Sasa na wewe unatakiwa uchukue hatua na hatua yenyewe sio kama hii ya kukaa na keyboard kuandika tu
 
Viongozi wakiwa madarakani huwa wanajiona km miungu watu.
wabunge wanajiongezea posho, mawaziri posho, viongozi wa upinzani wanauwawa hata kubambikiwa kesi.
Mfano mzuri Mseveni na Kagame.
Huyo jamaa km anasikia. Huyo Raisi anatakiwa wamrest in peace mara moja.
Fikiria kiongozi anakuambia
'' Kama hukabali hiyo tozo hama nchi''
Unapitisha sheria za ajabu ajabu halafu unataka watu wakubali tu.
Huyo raisi wanamchelewesha sana. Natamani hata ningekuwa Guinea
Naomba Mama Samia Tanzania tuwahi haraka kutangaza kuwa hatuitambui serikali ya huyo jambazi Mamady Doumbouya aliyeingia madarakani kinyume cha katiba ya Guinea
 
Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena

Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi Condé na kumficha wanakojua wao.......

Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.....

Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde

Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap

Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
Hii ni njia moja wapo ya kukitoa chama au kiongozi aliyefanya nchi kama yakwake.viongozi wengi wakishika nchi basi wanajiona kama vile Miungu watu,awataki kusikiliza ushauri wa mtu yoyote yule na wapinzani uwaona kama vile maadaui katika uwongozi wao......

Hii ni njia ambayo hata wazungu wenyewe wanaodai demokrasia uwa wanatumia hii njia katika nchi nyingine kuwatoa viongozi ambao wanaona kama vile awafati haki za binadamu.leo hii wanapiga kelele wakati msafara wa mwisho wa marehemu kanali Gaddafi wakati anatoroka Libya,wao ndo waliushambulia na ndege za kivita,mwisho wa siku Gaddafi akaishia kupigwa na kuzungushwa mitaani.ila wao wakifanya wanaona kama vile wapo sahihi,kwa wengine ni uvunjifu wa katiba.......

Inasemekana hata yule jamaa aliyejenga kwao nae alikuwa na mpango wa kutaka kubadili maandishi kutoka kwenye awamu 2 mpaka awamu 5.na mipango yote ilishakuwa tayari,ilikuwa imebaki kusubiri siku ikaribie tu mipango ipelekwe bungeni.
Inasemekana baada ya taarifa kuvuja na kuwafikia baadhi ya wazee wa nchi.ikabidi wazee wamfate mjomba wake mrisho mpoto na kumwambia kila kitu.mjomba ikabidi atengeneze mipango ya assasination......

Inasemekana mpango wa kwanza ulikuwa wa sumu,mpango wa 2 ulikuwa ugojwa,na mpango wa 3 ulikuwa ni mapinduzi ya kijeshi.mpango wa kwanza inasemekana uliferi kwa sababu kuna mtu alishobokea sumu,akaondoka yeye baada ya mzee.mpango wa 2 inasemekana nao kama ungeferi basi ungekuja mpango wa 3 maana mpango wa 3 ulikuwa nao ushatengenezewa mipango kabisa....

Jamaa aliweka mizizi kila sehemu kwa iyo ilikuwa ni ngumu kumpinga kwenye chama au kwenye bunge......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Guinea wanakutambua ? usijipe umuhimu sana🐒
 
Hii ni habari mbaya kwa wapenda kukaa madarakani muda mrefu na kufanya nchi kama yao.
Safi sana. Mamady Doumbouya ni shujaa na nchi zote zenye ujinga ujinga
Mtu anapigwa risasi mchana kweupe tena mbunge halafu hakuna hata kesi.
Kama mwafrika mpenda demokrasia ya kuabadili maraisi kwa kuheshimu katiba

Mwambieni huyo bwege jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba na mimi nikikutana naye nampiga nyundo ya kichwa mbwa mkubwa

Africa tunamtaka Raisi Conde wetu sio jambazi yeye
 
Bunge la Tanzania liitake serikali itoe tamko kuhusu kilichotokea Guinea na nini msimamo wa serikali

Mbunge yeyote asimame amhoji waziri mkuu kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo au ahoji Waziri wa Mambo ya nje kipindi cha maswali na majibu

Bunge wake up
Ninyi si ndio huwa mnasema sijui nchi huru isiingiliwe?Sasa unataka bunge letu liingilie masuala ya ndani ya nchi nyingine?
Waache waamue nini kinawafaa!
 
Back
Top Bottom