Siyatambui mapinduzi Guinea, Rais Conde namtambua kama Rais bado waliomteka nyara wamrudishe upesi

Siyatambui mapinduzi Guinea, Rais Conde namtambua kama Rais bado waliomteka nyara wamrudishe upesi

Nakuunga mkono mleta mada na yeye huyo Mamady afurushwe tu.Raisi gani mweusi Kama pampu mpya hatumtaki.
 
Hakuna kitu kibaya kama kunywa uji wa mapumba ya mahindi na chumvi kama chakula kikuu cha siku.

Ukute mtoa mada ni muhitimu wa chuo fulani tangu 2013 hana ajira, kakaa kwa shemeji imeshindikana akajiunga na forever living anatembea na vipeperushi kila siku kazi kuhudhuria mikutano ya motivational speakers tu kila alhamisi na anasali kwa Gwajima. Unaweza kuelewa ni mtu wa aina gani
Kikubwa zaidi huenda ni shoga zoefu
 
Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena

Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi Condé na kumficha wanakojua wao.

Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.

Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde

Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap

Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
We nani mpaka usiyatambue
 
Yale ni maigizo kama maigizo mengine. wanashangilia kuvunjwa katiba ya Guinea?

Katiba inatamka wazi kuwa katika njia za kumuondoa Raisi madarakani hiyo ya mapinduzi haimo kwenye katiba

Raisi Conde ni Raisi halali wa Guinea hadi saa hii kwa mujibu wa katiba ya Guinea siyo hilo Jambazi Mamady Doumbouya
Hayo hutokea,hasa kiongozi aliyepo madarakani akizingua.
Kwa Afrika tutarajie mengi zaidi
ya haya,maana kuna uvunjwaji
mkubwa wa katiba unaofanywa
na wenye dhamana.
Mengine hutokea kimya kimya
na kistaarabu,lkn yote ni mapinduzi.
 
Stress za maisha zinaweza kukutuma ukafanya vitu vya ajabu sana😂😂😂
Kwa taarifa yako umoja wa Afrika, umoja wa Ulaya, Marekani na jumuiya ya nchi za Africa Magharibi wamelaani Mapinduzi hayo na hawamtambui huyo jambazi Mamady Doumbouya
 
wewe hata sisi hatukutambui acha shobo sio umeshiba makande unajiandikia andikia tuu
 
Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena

Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi Condé na kumficha wanakojua wao.

Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.

Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde

Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap

Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
Anakumbuka sasa ningetenda haqi Urais Usinge niponyoka![emoji56][emoji56]
duu majuto ni mjukuu[emoji24][emoji24][emoji24]
Basi tena yaliyo pita si ndwele ganga yajayo kama huko uliko ficha upo Hai[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yale ni maigizo kama maigizo mengine. wanashangilia kuvunjwa katiba ya Guinea?

Katiba inatamka wazi kuwa katika njia za kumuondoa Raisi madarakani hiyo ya mapinduzi haimo kwenye katiba

Raisi Conde ni Raisi halali wa Guinea hadi saa hii kwa mujibu wa katiba ya Guinea siyo hilo Jambazi Mamady Doumbouya
Ulitaka uletewe maiti kama ushahidi??
 
Kwenye katiba ya Guinea hiyo statement haimo. jeshi halitajwi kama njia mojawapo ya kumuondoa Raisi madarakani. hilo Jambazi Mamady Doumbouya lazima lifungashwe virago
Mbona wameifuta hiyo katiba aliyo ifanya kama hirizi?!
 
Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena

Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi Condé na kumficha wanakojua wao.

Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.

Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde

Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap

Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
acha bange dada,we Kama Nani Sasa usipoyatambua yale mapinduzi
 
Back
Top Bottom