Siyo kila timu inaweza kwenda unbeaten mechi 44

Siyo kila timu inaweza kwenda unbeaten mechi 44

KUMBE YANGA HAJABITIWA BADO.BASI WATUNISI WANAKUJA MNAHESABUJE.
 
Upumbavu wa unbeatean na ulozi ni hapa tanzania tuu. Unbeaten hiyo vipi au yule anaedaka akiwa na timu za nje ni msukule.
 
Kama ali hilal kawapiga nje ndani harafu unajitoa ufahamu unbeaten ni mavi mavi kama alivyo sema msemaji wenu
 
Upumbavu wa unbeatean na ulozi ni hapa tanzania tuu. Unbeaten hiyo vipi au yule anaedaka akiwa na timu za nje ni msukule.
Yanga kipa hawana Wana mpenda sifa tu
 
Wandu wa simba bwana....yaani wao wakiguswa kidogo tuu basi hao wanakimbilia kwenye caf 🤣🤣🤣🤣
 
Kama ali hilal kawapiga nje ndani harafu unajitoa ufahamu unbeaten ni mavi mavi kama alivyo sema msemaji wenu
Hakuna timu inavyoitwa "Ali hilali" na Yanga haujafungwa nje ndani kea kumalizia Unbeaten inayozungumziwa ni ya ligi kuu.
 
Nafikiri sasa tutaongea lugha moja ya kwamba yanga kucheza michezo 44 bila kufungwa sio jambo jepesi kama wanavyodhani wale mbumbumbu, unatakiwa uwe na kikosi cha maana na kipana kufikia iyo rekodi.

Tumeona leo wazee wa pira litembee walivyoangukia pua mbele ya azam, baada ya kulegezwa na derby ya kariakoo uku wenzao jana wakifanya rotation ya kikosi na kuibuka na ushindi wa kibabe wao wazee wa pira litembee wakaona ufinyu wa kikosi chao isingekuwa rahisi kuzipumzisha bunduki zao na wakatoka salama wakaona waingie nazo hivyo hivyo na wakapasuka.

Tunaposema upana wa kikosi atumaanishi kuwa na rundo la wachezaji bali kuwa na wachezaji wanaoweza kufanya kile wanachofanya wale wanaoanza, Simba leo walitakiwa wafanye rotation ya wachezaji kutokana na energy kubwa waliyotumia kwenye derby lakini wameshindwa kufanya hivyo kutokana na kikosi finyu walichonacho.

Uchovu kwa wachezaji wao umeonekana dhahiri na Azam walitakiwa waondoke na goli si chini ya 3 kama sio kukosa umakini, Sasa yanga kakaa kileleni rasmi kuwatoa pale kwa gape la point 3 kwenye hii ligi ngumu labda liletwe tingatinga vinginevyo safari ndo imeanza rasmi ya kuretain ubingwa wao kwa mara nyingine, Taratibu gadiora mnene ataanza kutupiwa mawe
Hii ni michezo ya kuigiza siyo football.
Kama una uwezo huo tungeuona kimataifa pia. Lakini tunafahamu kuwa hii timu imewekeza katika kuhonga pesa ipate ushindi wa mchongo.
Kwa hili gsm amefanikiwa.Mnahonga waamuzi,mnahonga baadhi ya wachezaji ili wacheze chini ya kiwango.
Mnahonga hadi wasemaji wa timu ili wasiharibu saikolojia ya wachezaji wenu.Mfano ni msemaji wa kmc.

Hii ni movie nzuri na washabiki wenu kwa kuwa hawana akili au kama wanazo ni kama za nyani,hawawezi kuona aina hii ya maigizo.

Mmefanikiwa kutengeneza tamthilia ya kihindi.Tunasubiri episode ya 44...
 
Back
Top Bottom