kashimbe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2020
- 210
- 474
Hatuna huu mda,tunacheza mpira sio bahashaSasa si na ww utoe bahasha kwa Azam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna huu mda,tunacheza mpira sio bahashaSasa si na ww utoe bahasha kwa Azam
Huna hoja mkuuNani kakuambia Simba inacheza ili iwe unbeaten?
Huko nje Arsenal "the gunners" walienda 49 unbeaten...wewe kolo huwezi kwa litimu libovu hilo.Kwa bahasha kweli ni unbeaten,ila kimpira sio rahisi,hata uko nje huo ujinga haupo
Yanga kipa hawana Wana mpenda sifa tuUpumbavu wa unbeatean na ulozi ni hapa tanzania tuu. Unbeaten hiyo vipi au yule anaedaka akiwa na timu za nje ni msukule.
Wote hadi wa simbaMashabiki wa yanga mna upeo mdogo
Ameshafungwa sana kwenye ligi hiiYanga kipa hawana Wana mpenda sifa tu
Wa simba ni baadhi wana ujinga wa kupanick kila kitu. Kitu kidogo fukuza huyu kitu kifdogo fukuza yuleWote hadi wa simba
Ndiyo ushangae Sasa, au wenzetu wapo kilocal zaidi mambo ya kimataifa hayawahusuKo mlivyofungwa na al halal ile sio mechi hizo 44 zinatoka wapi?
Wa simba wachache sana ila yanga karibu wote vilazaWote hadi wa simba
Hakuna timu inavyoitwa "Ali hilali" na Yanga haujafungwa nje ndani kea kumalizia Unbeaten inayozungumziwa ni ya ligi kuu.Kama ali hilal kawapiga nje ndani harafu unajitoa ufahamu unbeaten ni mavi mavi kama alivyo sema msemaji wenu
Hii ni michezo ya kuigiza siyo football.Nafikiri sasa tutaongea lugha moja ya kwamba yanga kucheza michezo 44 bila kufungwa sio jambo jepesi kama wanavyodhani wale mbumbumbu, unatakiwa uwe na kikosi cha maana na kipana kufikia iyo rekodi.
Tumeona leo wazee wa pira litembee walivyoangukia pua mbele ya azam, baada ya kulegezwa na derby ya kariakoo uku wenzao jana wakifanya rotation ya kikosi na kuibuka na ushindi wa kibabe wao wazee wa pira litembee wakaona ufinyu wa kikosi chao isingekuwa rahisi kuzipumzisha bunduki zao na wakatoka salama wakaona waingie nazo hivyo hivyo na wakapasuka.
Tunaposema upana wa kikosi atumaanishi kuwa na rundo la wachezaji bali kuwa na wachezaji wanaoweza kufanya kile wanachofanya wale wanaoanza, Simba leo walitakiwa wafanye rotation ya wachezaji kutokana na energy kubwa waliyotumia kwenye derby lakini wameshindwa kufanya hivyo kutokana na kikosi finyu walichonacho.
Uchovu kwa wachezaji wao umeonekana dhahiri na Azam walitakiwa waondoke na goli si chini ya 3 kama sio kukosa umakini, Sasa yanga kakaa kileleni rasmi kuwatoa pale kwa gape la point 3 kwenye hii ligi ngumu labda liletwe tingatinga vinginevyo safari ndo imeanza rasmi ya kuretain ubingwa wao kwa mara nyingine, Taratibu gadiora mnene ataanza kutupiwa mawe
a.k.a mechi za mchongoMechi 44 za ligi we kihi.o