Kushindwa ni sehemu ya mchezo wa soka.Nyie leo azam wamewapa bahasha ya sh ngapi mpaka mmewaachia wawafunge?
Tatizo hamuelewi soka ni nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushindwa ni sehemu ya mchezo wa soka.Nyie leo azam wamewapa bahasha ya sh ngapi mpaka mmewaachia wawafunge?
Walifanya vizuri pia mechi za kimataifa.Huko nje Arsenal "the gunners" walienda 49 unbeaten...wewe kolo huwezi kwa litimu libovu hilo.
Mwisho wao ni mfupi. Mbio za sakafuni huishia ukingoniHii ni michezo ya kuigiza siyo football.
Kama una uwezo huo tungeuona kimataifa pia. Lakini tunafahamu kuwa hii timu imewekeza katika kuhonga pesa ipate ushindi wa mchongo.
Kwa hili gsm amefanikiwa.Mnahonga waamuzi,mnahonga baadhi ya wachezaji ili wacheze chini ya kiwango.
Mnahonga hadi wasemaji wa timu ili wasiharibu saikolojia ya wachezaji wenu.Mfano ni msemaji wa kmc.
Hii ni movie nzuri na washabiki wenu kwa kuwa hawana akili au kama wanazo ni kama za nyani,hawawezi kuona aina hii ya maigizo.
Mmefanikiwa kutengeneza tamthilia ya kihindi.Tunasubiri episode ya 44...
Kama ligi ni kihiyo basi ww na team Lako ni VihiyoMechi 44 za ligi we kihi.o
Akili zao hazina akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wandu wa simba bwana....yaani wao wakiguswa kidogo tuu basi hao wanakimbilia kwenye caf [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na ww Honga Ili ufanye vzrWalifanya vizuri pia mechi za kimataifa.
Siyo hii yenu ya mchongo.
Unafanya vizuri ndani kwa vile unahonga,na unapigwa na timu za nje kwa kuwa wewe ni timu ya kawaida sana.Unbeaten za mchongo tu
Kipimo ni mechi za kimataifaKama ligi ni kihiyo basi ww na team Lako ni Vihiyo
Wewe hata huo mdogo hunaMashabiki wa yanga mna upeo mdogo
Ukiiwasikia wakizungumzia kombe la CAF utadhani ni mabingwa watetezi,kumbe wanaishia makundi.Wandu wa simba bwana....yaani wao wakiguswa kidogo tuu basi hao wanakimbilia kwenye caf [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ya kufanya vizuri kwa kuhonga inawafurahisha watu wenye akili za nyani tuNa ww Honga Ili ufanye vzr
Watu ni wagumu sana kuelewa, unbeaten inayoongelewa ni ya ligi, maana kimataifa Yanga kashapasuka Sana tu Kwa Rivers alipasuka nje ndani na Kwa Hilal alipasuka, wao wanaongelea unbeaten ya ligi kuuKo mlivyofungwa na al halal ile sio mechi hizo 44 zinatoka wapi?
Tangu 2/2019 haujamfunga Yanga kwenye Ligi napo huwa anakupa bahasha au?Hatuna huu mda,tunacheza mpira sio bahasha
Jaribu kukua, acha kuwachafua watu Kwa propaganda ambazo hazina maana kisa timu yako kufungwa, tuthibitishie kuwa msemaji wa KMC amehongwa pesaHii ni michezo ya kuigiza siyo football.
Kama una uwezo huo tungeuona kimataifa pia. Lakini tunafahamu kuwa hii timu imewekeza katika kuhonga pesa ipate ushindi wa mchongo.
Kwa hili gsm amefanikiwa.Mnahonga waamuzi,mnahonga baadhi ya wachezaji ili wacheze chini ya kiwango.
Mnahonga hadi wasemaji wa timu ili wasiharibu saikolojia ya wachezaji wenu.Mfano ni msemaji wa kmc.
Hii ni movie nzuri na washabiki wenu kwa kuwa hawana akili au kama wanazo ni kama za nyani,hawawezi kuona aina hii ya maigizo.
Mmefanikiwa kutengeneza tamthilia ya kihindi.Tunasubiri episode ya 44...
Yap 2nahonga kwa kweli,ndo maana tuliihonga KMC mkatoka nao Sare,kisha tukaja ihonga Simba 2kacheza ili 2cheze nayo pia tukatoka sare,na juzi hapo 2meihonga Azam ili mfungwe,hii season ya kihindi yetu ni nzuri sanaHii ni michezo ya kuigiza siyo football.
Kama una uwezo huo tungeuona kimataifa pia. Lakini tunafahamu kuwa hii timu imewekeza katika kuhonga pesa ipate ushindi wa mchongo.
Kwa hili gsm amefanikiwa.Mnahonga waamuzi,mnahonga baadhi ya wachezaji ili wacheze chini ya kiwango.
Mnahonga hadi wasemaji wa timu ili wasiharibu saikolojia ya wachezaji wenu.Mfano ni msemaji wa kmc.
Hii ni movie nzuri na washabiki wenu kwa kuwa hawana akili au kama wanazo ni kama za nyani,hawawezi kuona aina hii ya maigizo.
Mmefanikiwa kutengeneza tamthilia ya kihindi.Tunasubiri episode ya 44...
Arsenal walienda unbeaten game 49 lakn hakuna cha ajabu ambacho walikifanya kimataifa, kufanya vizuri kwenye Ligi haimaanishi kuwa na kimataifa utafanya vizuriHii ni michezo ya kuigiza siyo football.
Kama una uwezo huo tungeuona kimataifa pia. Lakini tunafahamu kuwa hii timu imewekeza katika kuhonga pesa ipate ushindi wa mchongo.
Kwa hili gsm amefanikiwa.Mnahonga waamuzi,mnahonga baadhi ya wachezaji ili wacheze chini ya kiwango.
Mnahonga hadi wasemaji wa timu ili wasiharibu saikolojia ya wachezaji wenu.Mfano ni msemaji wa kmc.
Hii ni movie nzuri na washabiki wenu kwa kuwa hawana akili au kama wanazo ni kama za nyani,hawawezi kuona aina hii ya maigizo.
Mmefanikiwa kutengeneza tamthilia ya kihindi.Tunasubiri episode ya 44...
Kwa hiyo na wewe Azam asinge kusokomeza Ballcone na kukupitishia kwa nyuma mpaka akapata goli moja si ungesema na wewe bado hujafungwa hivyo unatengeneza Unbeaten yako?Hii ya kufanya vizuri kwa kuhonga inawafurahisha watu wenye akili za nyani tu
Huwezi kutambia maigizo kama una akili timamu
Kwenye Ligi kuu tangu 2019 Simba hajawahi kushinda mechi Kwa Yanga so nao huwa wanahongwa na Yanga? Azam miaka 6 hakupata matokeo Kwa Simba ndo ameyapata juzi so tuseme Simba nao walikuwa wanahonga Kwa Azam?? acheni mpira uchezwe kuliko kuchafua watu not good..Hii ni michezo ya kuigiza siyo football.
Kama una uwezo huo tungeuona kimataifa pia. Lakini tunafahamu kuwa hii timu imewekeza katika kuhonga pesa ipate ushindi wa mchongo.
Kwa hili gsm amefanikiwa.Mnahonga waamuzi,mnahonga baadhi ya wachezaji ili wacheze chini ya kiwango.
Mnahonga hadi wasemaji wa timu ili wasiharibu saikolojia ya wachezaji wenu.Mfano ni msemaji wa kmc.
Hii ni movie nzuri na washabiki wenu kwa kuwa hawana akili au kama wanazo ni kama za nyani,hawawezi kuona aina hii ya maigizo.
Mmefanikiwa kutengeneza tamthilia ya kihindi.Tunasubiri episode ya 44...
Arsenal iliyoenda unbeaten haikufanya chochote kimataifaWalifanya vizuri pia mechi za kimataifa.
Siyo hii yenu ya mchongo.
Unafanya vizuri ndani kwa vile unahonga,na unapigwa na timu za nje kwa kuwa wewe ni timu ya kawaida sana.Unbeaten za mchongo tu
Huyo anajua ligi ya kibongo tu,si lazima utumie nguvu kumueleweshaArsenal walienda unbeaten game 49 lakn hakuna cha ajabu ambacho walikifanya kimataifa, kufanya vizuri kwenye Ligi haimaanishi kuwa na kimataifa utafanya vizuri
Kimataifa inategemea na opponent gani utakutana nae, lengo la mashindano yoyote no kupatikana bingwa so kama haujawahi kuwa bingwa wa hiyo michuano ya kimataifa means haujawahi kufanya vizuri bali umepiga hatua tu mbele kumzidi mwenzako
Hizo propaganda mnazoleta kwenye jukwaa kuchafua watu ni upuuzi, na siyo uungwana maana mnaishia kuleta maneno tu uthibitisho hamna
Akina Celtic, Rangers huwa wanafanya vizuri Sana kwenye Ligi Yao lakn UEFA mbona inawashinda??
Tuache utoto tuuongelee mpira kama mpira propaganda za kipuuzi tuachane nazo hazitufikishi popote