Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Kweli upo wa CCM kuhusu jambo hilo, lakini hakuna sababu ya kugombana na watu wanaoutaka urais.
Achilles heel ya Rais Samia ni kwamba anakopa sana hela, watu wanaishi beyond their means.
Hizi hela zote zinazokopwa, utafika wakati wa malipo.
Hiki ndicho chanzo cha vita. Pesa zote zinamilikiwa na watu wachache.
Pesa kidogo sana zinabakia kwa wale wengine.
Kwahiyo lazima itokee vita kupunguza idadi ya watu,ili pesa zitoshe.
Achilles heel ya Rais Samia ni kwamba anakopa sana hela, watu wanaishi beyond their means.
Hizi hela zote zinazokopwa, utafika wakati wa malipo.
Hiki ndicho chanzo cha vita. Pesa zote zinamilikiwa na watu wachache.
Pesa kidogo sana zinabakia kwa wale wengine.
Kwahiyo lazima itokee vita kupunguza idadi ya watu,ili pesa zitoshe.