Siyo kwa ubaya, nauliza tu: Gari la Lissu halitengenezeki? Je, halikuwa na bima kubwa?

Siyo kwa ubaya, nauliza tu: Gari la Lissu halitengenezeki? Je, halikuwa na bima kubwa?

Hao ni wezi!
Watanzania wengi walivyo mbumbumbu watachanga hela
Mwingine hata baiskeli hana ila atamchangia Lissu
Hiyo baiskeli atanunua kwa tsh 1000 atakayo mchangia lissu? Kwani uneambiwa mchango ni laki 8? Acheni roho mbaya, mbona mnachangia wachungaji magari na hayo hayo wanayatumia kutombea wake zenu?
 
Nimesema tuonyeshe Uzi uliowahi kuweka au kuchangia kuonyesha maumivu yako kuhusu michango ya shuruti ya mwenge, maana huu mchango wa hiari umekuumiza sana. Hicho kiherere cha kujua michango ya hiari kwa gari la Lisu, ungetumia kiherehere hicho hicho kujua michango ya shuruti ya mbio za mwenge.
Mwenge ni ushirikina tu, ni urithi mbaya aliotuachia Mzee Nyerere.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuchangia mwenge hata uwe mfanyabiashara, labda wafanyabiashara magumashi wanachangia huo ushirikina ili wasisumbuliwe na mataahira maccm.
 
Maskini wengi kwenye nchi hii ni wanachama lialia wa CCM. Kwa utafiti wangu mdogo, vijana, wazee, wote ambao ni wanachama kindakindaki wa upinzani hasa chadema wengi ni wapambanaji wa uchumi wao. Wengi wameshajenga akili kuwa ukiwa mpinzani nchi hii unakuwa km yatima hivyo usipopigana vita ya kiuchumi ili ujitegemee kipato ni rahisi kuondolewa kwenye misimamo na mawazo chanya. Nenda vijijini uone, ukikuta mzee ni shabiki wa upinzani ujue anajiamini pia na back up ya uchumi hata km siyo wa kutisha.
Ukikuta kijana iwe mjini au kijijini ana mlengo wa upinzani lazima aidha ameenda shule au anajitegemea kipato.
Fanya utafiti huo huo kwa wazee wanaoshabikia CCM huko vijijini, hata pa kulala wengine ni shida, ukikuta kijana basi ujue ni mnufaika wa mfumo au elimu hamna.
Hivyo basi, wanaomchangia lissu hela wengi wanajitosheleza kielimu na kiuchumi. Na siyo mara ya kwanza kufanya hivyo, kumbuka wakati viongozi wa chadema walipohukumiwa kwenda jela ilihitajika Tsh. Ngapi na ilichangwa kwa muda gani
Kwenye; mwanachi wa kawaida
 
Kuna maswali mengine na wewe kama yule polisi X anamtaka dereva wa lissu wakati sio muhusika wa wasiojulikana. Hiyo bima gani ulitaka ifanye kazi wakati mlitaka lissu afaraiki,mkazuia gari,mkutaka matibabu alafu hiyo bima ulitaka ishugulikiwe kama yule nesi, na dokta wa usingizi.

Bora tu kunyamaza
Uhalisia ni Kwamba mnawanyonyoa masikini Kwa michango isiyokuwa na tija.

Kwamba lissu Hana hela ya kununua gari Hadi achangiwe,

Kwamba Chadema haina hela ya kumnunulia lissu gari Hadi achangiwe.

Mnapinga umasikini uliosababishwa na CCM lakini mnaendekeza umasikini huohuo
 
Uhalisia ni Kwamba mnawanyonyoa masikini Kwa michango isiyokuwa na tija.

Kwamba lissu Hana hela ya kununua gari Hadi achangiwe,

Kwamba Chadema haina hela ya kumnunulia lissu gari Hadi achangiwe.

Mnapinga umasikini uliosababishwa na CCM lakini mnaendekeza umasikini huohuo
kanisani misikitini na kwa waganga huduma mnapewa bure tuanzie hapo
 
Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima autapike.

Sasa na mimi namuenzi Lissu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lisu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?

Hivi ni busara kweli kukamua watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
Kwakweli wanaochangia Wana moyo
 
Back
Top Bottom