Siyo lazima umpige mke/mpenzi wako, mnaweza kuelewana kwa mazungumzo

Kama kuna njia nyingi za kumchinja paka, kwanini mmoja alichagua njia tofauti na yako unaona anakosea..!?
 
Kupigana kwene mahusiano sio jambo jema ingawa kuna wanawake wana midomoooo kwa mwanaume inahitaji nguvu hasa kujizuia kupiga
 
Unakunja ngumi au kibao kumchapa nacho mwanamke kabisa...

Wakati anajiandaa kwa shari, beba peleka unapoona sawa, toa alichovaa fanya yako alafu mambo yake unamuachia mwenyewe...
Ha ha haa,na hasira zimemwisha
 
Hakuna uhusiano wowote kati ya kufanya mapenzi vizuri, na kutuliza tabia chafu. Mwanamke akiwa na tabia chafu, hata umkaze kwa mpini wa chuma, haisaidii.

Na mwanamke akiwa na nidhamu na maadili ya kueleweka, hata ukiwa khanithi bado atakusitiri. Usitake kutuaminisha mambo ya kwenye sinema!
 
Ni mawazo yako, na ni sawa pia, wala hujakosea mkuu.
Mimi nimezungumzia ugomvi wa kimahusiano kupishana maneno, kukerana pale mnapokua wapenzi/wanandoa ambavyo ndivyo hupelekea wapenzi au wanandoa wa kiume kuwapiga wenza wao.
Lakini pia, hakuna kiasi cha kipigo ambacho kitamfanya mwanamke mwenye tabia chafu awe na tabia nzuri, hata umpige mateke kama ya Chuck Norris, tabia chafu haitatoka pia..!!!
 
Unadhani walioweka adhabu ya viboko mashuleni ni wajinga? Kuna wanaoweza kuwahi shule bila kulazimishwa kwa kutambua umuhimu wa wao kuwahi. Kuna wanaowahi shule kwa kuogopa viboko. Alafu kuna kundi la mwisho ambalo hawaoni umuhimu wa kuwahi shule, hata kwa viboko.

Hivyo hivyo mpaka kwenye ndoa. Kuna wanaojiheshimu kwa kutambua umuhimu wa kujiheshimu, kuna wanaojehishemu kwa kuogopa reactions za wenza wao, na kuna ambao hawajiheshimu iwe kwa makofi au kukazwa vizuri.

Anyway, kila mtu afanye anavyoona inamfaa. It's the end that justifies the means.


NB; i don't support violence of any kind, except where necessary!
 
Mimi huwa sio kupiga huwa nafanya tukio la mangamizi pona ya mwanamke akimbie tu, I use every missile around. Luck enough am done na hivi visodokwembe
 
Na wanaume wasiojiheshimu kwenye ndoa je mkuu?Na wao wapigwe mangumi/mateke? Au wasiojiheshimu kwenye ndoa ni wanawake tu?
 
Mimi huwa sio kupiga huwa nafanya tukio la mangamizi pona ya mwanamke akimbie tu, I use every missile around. Luck enough am done na hivi visodokwembe
Ha ha haa,kweli umetuchukia.VISODOKWEMBE! serious?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…