Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.
Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.
Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.
Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.
Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.
2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.
Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.
Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.
Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.
Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.
2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.
Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.