Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.

Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
 
Fimbo sahihi ya kuondoa makando kando na maneno ni kuleta maendeleo, kufanya ushirikishwaji sahihi wa wananchi katika kujenga maendeleo. Kua na taasisi imara.

Kukubali kama binadamu nakosea, sio kila mmoja atakua upande wangu. Timiza wajibu wako acha kusubiri sifa zisizokua zako
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa.
Pamoja na kuwa mwana CCM , Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila tu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.

Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa. Hata mtu ukifanya vizuri watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi yua ya hii saaa Dp World, lakiini tutazame mbele.

Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viriba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Washauri wake wa mambo ya siasa ni Lukuvi na Burembo
 
Hakuna Cha chawa,huwezi saka madaraka at any cost
Unatetea ujinga, yani ni sawa na baba kafariki kisha unapambana na mama wa kambo anayepanga kuuza shamba la familia ilihali linawasaidia kuendesha maisha halafu atumie polisi kukukamata ili ukitaka kuzuia hio biashara kwa interest za wadogo zako.

Wewe uta side na mamako wa kambo kuwasaliti ndugu zako wengine eti sababu kwenye millioni atakazouza atakupa million 1 kama bakshishi?
 
Unatetea ujinga, yani ni sawa na baba kafariki kisha unapambana na mama wa kambo anayepanga kuuza shamba la familia ilihali linawasaidia kuendesha maisha halafu atumie polisi kukukamata ili ukitaka kuzuia hio biashara kwa interest za wadogo zako.

Wewe uta side na mamako wa kambo kuwasaliti ndugu zako wengine eti sababu kwenye millioni atakazouza atakupa million 1 kama bakshishi?
Toa upumbavu hapa, narudia kuwaambia wanaoweza kuona ubaya ya ubinafshwaji ni wafanyabiashara so long as wanaunga mkono kulingana na kero wanazopata basi uzushi wenu ni ujinga tuu.

Nyie kenge wengine ambao hamjawahi tumia hata Bandari hakuna atakaye wapa attention mkileta fyoko fyoko mtanyooshwa na watu wako kimyaaa mtaani maisha yanaendelea.

Nawakumbusha tuu, kosa alilofanya Mwendazake ni kuleta ujamaa wake kwenye uchumi ila angekomaa na kuwanyoosha nyie Wanasiasa mbuzi Wala kusingekuwa na shida Sasa mama anajua kikubwa uchumi hakuna mtu ana habari na siasa Tanzania hapa.

Na Kwa taarifa Yako tuu Africa Kiongozi kuwashughulikia wapinzania haijawahi kuwa tatizo kuanzia Egypt, Senegal,Zimbabwe Hadi Rwanda nk kote mnapelekewa moto na maisha yanaendelea.
 
Nyamaza hujui kitu. Mama anafanya vizuri kabisa. Watanzania tunamuombea adumu mpaka 2035 na ikipendeza tutabadili katiba ili atawale mpaka atakaposema kachoka mwenyewe
Define the word vizuri katika muktatha WA topic iliyowasilishwa
 
Yaaani watu wanasema wazi kabisa kuwa lazima wamuondoe madarakani kwa njia sizizo halali halafu wanasema hawaogopi chochote wakitamba kabisa. Sheria ikichukua mkondo wake mnaanza kumlalamikia Rais

Someni kifungu cha 39 chote cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu. Halafu mjifunze kuongea na kuendenda vizuri kwa mujibu wa Sheria.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila tu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena. Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi. Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano. Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi. Wasiojulikana wamerudi. Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika. Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa. Hata mtu ukifanya vizuri watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa? Inaelekea kuna makubwa zaidi yua ya hii saaa Dp World, lakiini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu. Hilo ni bottom line. Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viriba na wasiojulikana. Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Unafikiri dhamira yake imebadilika!!?

Unafikiri kuvuja KWA ishu ya DP world nani anahusika!?

Unafikiri eye anapenda yanayoendelea!?

Mfumo unatakaje kuhusu Mama!?

Maswali ni mengi sana kuliko majibu!!
 
Back
Top Bottom