Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Kwa elimu yake ya kuungaunga ilikuwa ni lazima agote. Uongozi siyo ving'ora bali akili ya kuzaliwa nayo (uongozi mtu anazaliwa nao).

Mwambieni ukamataji wa watu manane ya usiku hautaleta utulivu nchini
Hili ni swala la msingi.
Mama Samia inabidi ajitafaari kwa makini.
 
2025 haitaji kura zetu atatumia polisi na Watanganyika watamuachia Mungu
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila tu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena. Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi. Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano. Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi. Wasiojulikana wamerudi. Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika. Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa. Hata mtu ukifanya vizuri watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa? Inaelekea kuna makubwa zaidi yua ya hii saaa Dp World, lakiini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu. Hilo ni bottom line. Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viriba na wasiojulikana. Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Kwa akili yako bila hata kwenda darasani unategemea mama yule anayo akili ya kuongoza nchi!!!

Wanaoongoza nchi ni wengine yeye ana tawala nchi tu.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila tu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena. Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi. Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano. Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi. Wasiojulikana wamerudi. Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika. Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa. Hata mtu ukifanya vizuri watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa? Inaelekea kuna makubwa zaidi yua ya hii saaa Dp World, lakiini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu. Hilo ni bottom line. Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viriba na wasiojulikana. Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Rais wa awamu ya 5 ndiyo Rais bora kuwahi kutokea nchini Tanzania. Huyu wa sasa ni Dikteta Uchwara.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila tu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena. Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi. Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano. Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi. Wasiojulikana wamerudi. Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika. Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa. Hata mtu ukifanya vizuri watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa? Inaelekea kuna makubwa zaidi yua ya hii saaa Dp World, lakiini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu. Hilo ni bottom line. Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viriba na wasiojulikana. Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
*Nobody will vote for the vampire, never, they will lock up everybody and remain standing glaring at the disguised confrontation amid a souring atmosphere pitting fire...............respect subordinates for superiority to be elevated short of that perseverance goes off control.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila tu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena. Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi. Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano. Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi. Wasiojulikana wamerudi. Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika. Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa. Hata mtu ukifanya vizuri watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa? Inaelekea kuna makubwa zaidi yua ya hii saaa Dp World, lakiini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu. Hilo ni bottom line. Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viriba na wasiojulikana. Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.

End justifies the beginning
 
Toa upumbavu hapa,narudia kuwaambia wanaoweza kuona ubaya ya ubinafshwaji ni wafanyabiashara so long as wanaunga mkono kulingana na kero wanazopata basi uzushi wenu ni ujinga tuu.

Nyie kenge wengine ambao hamjawahi tumia hata Bandari hakuna atakaye wapa attention mkileta fyoko fyoko mtanyooshwa na watu wako kimyaaa mtaani maisha yanaendelea.

Nawakumbusha tuu,kosa alilofanya Mwendazake ni kuleta ujamaa wake kwenye uchumi ila angekomaa na kuwanyoosha nyie Wanasiasa mbuzi Wala kusingekuwa na shida Sasa mama anajua kikubwa uchumi hakuna mtu ana habari na siasa Tanzania hapa.

Na Kwa taarifa Yako tuu Africa Kiongozi kuwashughulikia wapinzania haijawahi kuwa tatizo kuanzia Egypt, Senegal,Zimbabwe Hadi Rwanda nk kote mnapelekewa moto na maisha yanaendelea.
Chaguo la Mungu, mpenda maridhiano, ana ngozi ngumu, msikivu......

Endelea.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila tu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena. Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi. Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano. Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi. Wasiojulikana wamerudi. Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika. Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa. Hata mtu ukifanya vizuri watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa? Inaelekea kuna makubwa zaidi yua ya hii saaa Dp World, lakiini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu. Hilo ni bottom line. Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viriba na wasiojulikana. Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Sema wewe mwanaccm wakisema chadema wanaambiwa ni wahaini
 
Enzi za Jpm ulikuwa mlalamikaji namba moja leo unafanya makosa yale yale ya Sabaya
Nilikuwa namlalamikia the way ana handle uchumi na sio siasa uchwara.

Na nimeongea mara nyingi kwamba Kwa Africa ,Ukiwa dikteta usi compromise Uchumi na Biashara Wala hakuna shida,hili somo Samia analijua mtapiga makelele wewe lakini watu watakuwa busy kutafuta pesa tuu.
 
*Nobody will vote for the vampire, never, they will lock up everybody and remain standing glaring at the disguised confrontation amid a souring atmosphere pitting fire...............respect subordinates for superiority to be elevated short of that perseverance goes off control.
Mmh sisi wa shula za kata ngoja tutafute google translator
 
Nilikuwa namlalamikia the way ana handle uchumi na sio siasa uchwara.

Na nimeongea mara nyingi kwamba Kwa Africa ,Ukiwa dikteta usi compromise Uchumi na Biashara Wala hakuna shida,hili somo Samia analijua mtapiga makelele wewe lakini watu watakuwa busy kutafuta pesa tuu.
Sasa mbona mko bize na siasa wakati uchumi uko hoi?
 
Ila unamkataa Magufuli?

Lazima utakuwa na utaahira mwingi mno
Namkataa Magufuli Kwa sababu alikuwa hajui ki handle uchumi huo ndio ugomvi wangu nae ila sio siasa uchwara.

Watu wanaleta uzushi na taharuki uwachekee wa nini?

Na nimewaambia siku nyingi kwamba political brutality Africa sio shida so long as Uchumi is doing well,mifano Iko Mingi sana na wewe unajua.

Magufuli alikuwa anagombana na Kila mtu worse enough wawekezaji na wafanyabiashara.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila tu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena. Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.
Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi. Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano. Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi. Wasiojulikana wamerudi. Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika. Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa. Hata mtu ukifanya vizuri watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa? Inaelekea kuna makubwa zaidi yua ya hii saaa Dp World, lakiini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu. Hilo ni bottom line. Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viriba na wasiojulikana. Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Ili neno "Mama" lanini kwani? Pale juu kuna Rais sio Mama jaman!
 
Back
Top Bottom