Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Hapo ndiyo unapojipotosha! Hoja ya sovereignty ndiyo ina hold water na mahakama imejiridhisha. Kulinganisha na EU unakwenda chaka zaidi nakushauri jielimishe zaidi vinginevyo wewe ndiye unaleta ubishi wa kitoto!

Sidhani katiba ya UAE umeisoma au unaielewa vizuri zaidi kuliko mahakama!
Nilikuwa na sababu zangu kukukwambia hata siasa hujui.

Shida yenu mnakaririshwa wakati hata basic knowledge ya discipline husika hamna.

Umekazana tu na Sovereignty ya nchi, sijui kwa definition ya Montevideo na mambo mengine yasiyo na kichwa wala miguu. Kukusaidia tu wao pia wanaangalia katiba ya nchi inasemaje kama ni union states.

Katiba ya UAE yenyewe inatambua members ni states (nchi). Federal Constitution or Supranational treaties itaelezea what is centralised (union matters) na yepi individual states inaweza amua.


Kwa katiba ya UAE ‘part seven’ page 42 hapo inaelezea union matters (ambayo ni central yanataka collective bargain) and devolved matters ambazo individual emirates inaweza fanya at small scale na nchi nyingine au regions kwa baraka za federal court.

Sasa ukienda kwenye federal consitution yeyote utakuta hayo mambo, similar kwenye supranational union. Dubai inaweza ingia makubaliano yanayohusu nchi yao.

Serikali imeshaeleza yote hayo shida kuna watu kama nyinyi mnasikilizala ropo-ropo za kina Tibaijuka na wanasheria uchwara huko kwenye social media zenu; mnaaminishana ujinga na uongo. Halafu mkitoka hapo mnaanza kutukana ohoo nchi imeuzwa wakati upuuzi mtupu.

Hovyo kweli

👋
 
Nilikuwa na sababu zangu kukukwambia hata siasa hujui.

Shida yenu mnakaririshwa wakati hata basic knowledge ya discipline husika hamna.

Umekazana tu na Sovereignty ya nchi, sijui kwa definition ya Montevideo na mambo mengine yasiyo na kichwa wala miguu. Kukusaidia tu wao pia wanaangalia katiba ya nchi inasemaje kama ni union states.

Katiba ya UAE yenyewe inatambua members ni states (nchi). Federal Constitution or Supranational treaties itaelezea what is centralised (union matters) na yepi individual states inaweza amua.


Kwa katiba ya UAE ‘part seven’ page 42 hapo inaelezea union matters (ambayo ni central yanataka collective bargain) and devolved matters ambazo individual emirates inaweza fanya at small scale na nchi nyingine au regions kwa baraka za federal court.

Sasa ukienda kwenye federal consitution yeyote utakuta hayo mambo, similar kwenye supranational union. Dubai inaweza ingia makubaliano yanayohusu nchi yao.

Serikali imeshaeleza yote hayo shida kuna watu kama nyinyi mnasikilizala ropo-ropo za kina Tibaijuka na wanasheria uchwara huko kwenye social media zenu; mnaaminishana ujinga na uongo. Halafu mkitoka hapo mnaanza kutukana ohoo nchi imeuzwa wakati upuuzi mtupu.

Hovyo kweli

👋
Ni ngumu sana kumuelimisha mpumbavu kama wewe! Umebaki peke yako unayejifanya kujua wakati huna unachojua. Kama huwezi kufahamu sovereignty ya nchi na lengo la mikataba ya kimataifa utabaki mbumbumbu hivyo hivyo.

Pamoja na kwamba sikubaliani na hukumu ya mahakama lakini analysis ya majaji ni sahihi kuwa DPW haina Sovereignty, hili nalo unabisha! Bila shaka wewe siyo mtu wa kawaida na unaishi dunia ya kwako!
 
Ni ngumu sana kumuelimisha mpumbavu kama wewe! Umebaki peke yako unayejifanya kujua wakati huna unachojua. Kama huwezi kufahamu sovereignty ya nchi na lengo la mikataba ya kimataifa utabaki mbumbumbu hivyo hivyo.

Pamoja na kwamba sikubaliani na hukumu ya mahakama lakini analysis ya majaji ni sahihi kuwa DPW haina Sovereignty, hili nalo unabisha! Bila shaka wewe siyo mtu wa kawaida na unaishi dunia ya kwako!
Wapi mahakama imesema DPW aina sovereignty ya kuingia mkataba?

Walioingia makubaliano ni Dubai Emirate na URT.

Sasa wewe mwenzetu sijui hayo umeyatoa wapi; hivi hata hayo maamuzi ya mahakama unayo?, wakati yapo online inaonekana hata ujasoma.

Binafsi ninayo na nimesoma page zote 91 hakuna sehemu mahakama imesema Dubai aina sovereignty ya kuingia mkataba wa kimataifa.

Hujui ata tofauti ya Dubai na DPW

Eti DPW aina sovereignty ya kuingia makubaliano; IGA ni makubaliano ya DPW na URT au Dubai emirate na URT.

Ni watu mnao okota okota mambo mitandaoni na kupiga kelele tu.

Hizo ndio sababu huko serikalini wamefunga darasa lao la elimu ya IGA mliobaki kuelewa somo ni sawa kumpigia mbuzi gitaa.
 
Wapambe wapambe wapambe ogopa sifa

Huyu mama ni mzito kuusoma mchezo

Akishakaa pembeni ndo atajua hilo
Niliwahi andika uzi humu JF kuwa kila kukicha mama yuko huku yuko kule. Kazi zake Ikulu anayezifanya ni nani?
Matokeo tunayaona sasa.
 
Kwendeni huko, mama aliwapenda wote na hasa wapinzani mpaka mikutano yenu alikuja, tena kwa upendo, aliwaita "wanangu" Leo mnakuja kumtukana hadharani na kutishia serikali, bado mnataka awachekee tu!!? No way, acheni dharau
Kwanza koma, mi si mpinzani.
 
Mama hana tatizo na mtu ila ukivuka mipaka ndo utajua kwamba Urais sio mtu ni taasisi. Hao wapuuzi wanaokamatwa ni wenyewe kujiingiza kwene 18 za vyombo vya usalama. Mama bado yupo sana hadi 2030. Ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza kufanya jambo pale kwenye katiba ili kuendana na hitaji la wananchi wengi wanaotaka mama aongoze hadi 2040.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.

Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Unajikorga mwenyewe! Uwekezaji ni elimu inayojitegemea kama udaktari, ualimu, sheria n.k. Kwanini leo kila mtu anakuwa ni mjuzi katika mambo ya uwekezaji? Tuwaachie wataalamu.
 
Back
Top Bottom