Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Mbona Amaani karume alipewa hayo madaraka wakati na yeye pia ni mix blood au wewe hujui kuwa Amaani karume ni mix blood?
Ni watoto wa juzi tu hawafahamu siasa za Zanzibar, na sasa zimesha spillover huku kwetu Tanganyika.
Amaani ni Karume, na baba yake walishiriki kupindua Uarabu huko Zanzibar. Abeid Karume yumo kati ya watu waliouwawa kwa kisasi cha mapinduzi.
Usisahau walikuwemo washirazi kina Thabit Kombo.

Siasa za Zanzibar hadi kesho ni controversial..
Mzanzibari yeyote mwenye asili ya kuchanganya na uarabu anajinasabisha na uarabu kwanza na si Utanganyika wake.
Hilo lipo hata leo.
Mama Samia alidhirisha hilo kwa kuwatembelea "wajomba" zake muda mfupi baada ya kupata madaraka.
Walicho mwambia afanye hao wajomba zake kitabaki kuwa siri yao.
 
Ni watoto wa juzi tu hawafagamu siasa za Zanzibar na sasa zimesha spillover huku kwetu Tanganyika.
Amaani ni Karume, na walishiriki kupindua Uarabu huko Zanzibar Karume yumo.
Usisahau walikuwemo washirazi kina Thabit Kombo.

Siasa za Zanzibar hadi kesho ni controversial..
Mzanzibari yeyote mwenye asili ya kuchanganya na uarabu anajinasabisha na uarabu kwanza na si Utanganyika wake.
Hilo lipo hata leo.
Mama Samia alidhirisha hilo kwa kuwatembelea "wajomba" zake muda mfupi baada ya kupata madaraka.
Walicho mwambia afanye hao wajomba zake kitabaki kuwa siri yao.
Wewe huna hoja umesema mix blood nikakupa mfano wa Amani karume sasa unaleta porojo huyo Amani karume anakaribia miaka 80 wewe unasema mtoto wa juzi mbona hueleweki?
 
Wewe huna hoja umesema mix blood nikakupa mfano wa Amani karume sasa unaleta porojo huyo Amani karume anakaribia miaka 80 wewe unasema mtoto wa juzi mbona hueleweki?
Wazanzibari tunawaelewa kuliko mnavyojielewa.
 
Kuna vitu umekaririshwa kuhusu IGA nadhani nadhani ndiyo kwanza unatoka chuoni! Kinachopingwa na Mwambukusi and co ni baadhi ya vifungu vyake kwenda kinyume na katiba na sheria zilizopo! Ndiyo sababu serikali inapeleka muswada kubadili sheria zilizopo ili IGA iwe halali kisheria. Assume bunge likagoma kurekebisha Sheria iliyopo IGA itawezekana vipi? Kwa kuwa wabunge ni machawa wata rubber stamp huo muswada na hilo ni tatizo kubwa nchi hii kuwa na wabunge mapandikizi yanayojali matumbo yao! Kwa hiyo hiyo ratification haikubaliki na imefanya kwa kulazimishwa na matakwa ya serikali.

Kama huna fedha za kuchangia gharama za kesi kaa pembeni wanaochangia wanajua platform ya kuchangia!
Trust me wewe ndio umekaririshwa nimekuelezea sheria zote za bunge ni sawa na nimekupa constitutional principle sheria zinapokinadhana mpya ina supercede ya zamani; hiyo ndio tafsiri utakayopewa mahakamani.

On the same token nenda kutafute tafsiri ya ‘legi specialis, derogat legi generali’.

Bunge hata isipobadili sheria mahakama aiwezi zuia IGA kuwa sheria pia; zote zimepitishwa na bunge. Ni bunge lenyewe ndio lina mamlaka ya kubadili sheria moja ili kuondoa mkanganyiko ndio wanachofanya.

Shida ni limitation ya legal principles, ndio maana watu wanawalisha matango pori. Usibishie kitu ambacho wewe mwenyewe ujajiridhisha by facts na kutumia nguvu kutetea kwa sababu umeambiwa tu na watu.
 
..amesema watakata rufaa.

..mtu anayesema atakata rufaa bila shaka ameheshimu maamuzi ya mahakama.

..pia nilimsikia akisema watafuata taratibu za kuomba kibali cha maandamano au mikutano.

..mimi naona kuna jitihada za kuwapaka matope wanaopinga mkataba wa Dp.

..jitihadi za kuwapakazia kuwa ni wadini, hilo inaelekea hizo zimefeli. Sasa naona watetezi wamekuja na hili na UHAINI.
Mbona wao tu wamekamatwa?

Ni wao pekee waliopinga mkataba wa DPW?

Jeshi la polisi limetoa sababu za kukamtwa kwao ni DPW?

Unajua tuache huu utamaduni wa kutengeneza narrative zetu wenyewe, na kujiaminisha ‘ndivyo hivyo’; wakati uhalisia ni tofauti.
 
Trust me wewe ndio umekaririshwa nimekuelezea sheria zote za bunge ni sawa na nimekupa constitutional principle sheria zinapokinadhana mpya ina supercede ya zamani; hiyo ndio tafsiri utakayopewa mahakamani.

On the same token nenda kutafute tafsiri ya ‘legi specialis, derogat legi generali’.

Bunge hata isipobadili sheria mahakama aiwezi zuia IGA kuwa sheria pia; zote zimepitishwa na bunge. Ni bunge lenyewe ndio lina mamlaka ya kubadili sheria moja ili kuondoa mkanganyiko ndio wanachofanya.

Shida ni limitation ya legal principles, ndio maana watu wanawalisha matango pori. Usibishie kitu ambacho wewe mwenyewe ujajiridhisha by facts na kutumia nguvu kutetea kwa sababu umeambiwa tu na watu.
Wee kilaza chama cha wanasheria wa Tanganyika TLS wamekosoa, Prof. Shivji amekosoa, Jaji Warioba amekosoa wanasiasa wengi wakubwa wa CCM na upinzani wamekosoa sasa wewe chawa wa JF bado unajiona unaifahamu IGA vizuri kuliko hao! Wewe siyo bure ni funza wa Samia!

Wote unaobishana nao hapa wamekudharau ulivyo mpumbavu na huna hoja! Huna cha maana cha kunieleza ni heri ufunge domo lako!
 
Wee kilaza chama cha wanasheria wa Tanganyika TLS wamekosoa, Prof. Shivji amekosoa, Jaji Warioba amekosoa wanasiasa wengi wakubwa wa CCM na upinzani wamekosoa sasa wewe chawa wa JF bado unajiona unaifahamu IGA vizuri kuliko hao! Wewe siyo bure ni funza wa Samia!

Wote unaobishana nao hapa wamekudharau ulivyo mpumbavu na huna hoja! Huna cha maana cha kunieleza ni heri ufunge domo lako!
IGA inapatikana on the public domain, sheria ni swala la interpretation kwa mtaji huo aina maana kwa sababu fulani kasema ndio final world.

Wewe unabisha kwa sababu umeelezwa, mimi naunga mkono kwa sababu na interpret mwenyewe na nipo tayari kubishana na yeyote hapo kuhusu vifungu vya IGA.

Usifikirie limitations zako zina apply kwa kila mtu kwenye hili jukwaa au watu unaowaamini wewe ndio wanaaminika na kila mtu.

Shivji au yeyote uliomtaja hapo ana authority gani katika field za mikataba ya kibiashara.

Sijakulazimisha kukubaliana na mimi nimekupa tu legal principle zinazojibu hoja zako. Badala ya ku debunk unakuja na hadithi za Shivji kasema, ndio ukiitwa mahakamani kutetea mkataba utasema Shivji kakwambia.
 
Mbona wao tu wamekamatwa?

Ni wao pekee waliopinga mkataba wa DPW?

Jeshi la polisi limetoa sababu za kukamtwa kwao ni DPW?

Unajua tuache huu utamaduni wa kutengeneza narrative zetu wenyewe, na kujiaminisha ‘ndivyo hivyo’; wakati uhalisia ni tofauti.

..ulisema Mwabukusi haheshimu mahakama.

..nikakujibu anaheshimu na amekata rufaa.

..ukasema anataka nchi isitawalike.

..nikakujibu amesema kuwa atafuata sheria na taratibu na ataomba kibali kuandamana.

..sasa umekuja na hoja mpya kwanini wamekamatwa peke yao.

..kwa maoni yangu mwenendo wa jeshi letu la POLISI ni wa hovyo-hovyo. Sio rahisi kujenga mantiki ktk maamuzi yao.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.

Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Alilewa sifa
 
..ulisema Mwabukusi haheshimu mahakama.

..nikakujibu anaheshimu na amekata rufaa.

..ukasema anataka nchi isitawalike.

..nikakujibu amesema kuwa atafuata sheria na taratibu na ataomba kibali kuandamana.

..sasa umekuja na hoja mpya kwanini wamekamatwa peke yao.

..kwa maoni yangu mwenendo wa jeshi letu la POLISI ni wa hovyo-hovyo. Sio rahisi kujenga mantiki ktk maamuzi yao.
Nadhani my stance from the beginning nafuata kauli ya IGP kwanini wamewakamata. Na sababu walizotoa ni uhaini.

Hatujui kwenye chats zao za simu za wahusika polisi wamekuta nini.

Mdude alikuwa anatafutwa Mbeya na polisi hatujui alikuwa amepanga nini au mikakati gani, baada ya kuona anatafutwa alijificha akatoroka ndio usiku wakakamatiwa mikumi.

Kwanini kesi iendeshewe Mbeya na watuhumiwa warudishwe huko, kama kosa ni uhaini jeshi la polisi wangeweza washitaki popote.

Kwanini Dr Slaa aingizwe kwenye kesi moja na hao watu, wana uhusiano gani kama hazikuwa njama za pamoja.

Unajuaje ushahidi uliopatikana huko mbeya kwa azma yao ya kutotoka kuona nchi aiendesheki kama walivyotamka hadharani.

Mimi naenda na kauli ya jeshi la polisi ya sababu za kukamatwa kwao, wewe ndio unaweka mambo halafu baadae unasema mimi ndio nimesema.

Mengine mpaka sasa hatujui in details.
 
Nadhani my stance from the beginning nafuata kauli ya IGP kwanini wamewakamata. Na sababu walizotoa ni uhaini.

Hatujui kwenye chats zao za simu za wahusika polisi wamekuta nini.

Mdude alikuwa anatafutwa Mbeya na polisi hatujui alikuwa amepanga nini au mikakati gani, baada ya kuona anatafutwa alijificha akatoroka ndio usiku wakakamatiwa mikumi.

Kwanini kesi iendeshewe Mbeya na watuhumiwa warudishwe huko, kama kosa ni uhaini jeshi la polisi wangeweza washitaki popote.

Kwanini Dr Slaa aingizwe kwenye kesi moja na hao watu, wana uhusiano gani kama hazikuwa njama za pamoja.

Unajuaje ushahidi uliopatikana huko mbeya kwa azma yao ya kutotoka kuona nchi aiendesheki kama walivyotamka hadharani.

Mimi naenda na kauli ya jeshi la polisi ya sababu za kukamatwa kwao, wewe ndio unaweka mambo halafu baadae unasema mimi ndio nimesema.

Mengine mpaka sasa hatujui in details.

..kwa rekodi ya hivi karibuni ya jeshi letu la Polisi mimi naamini hakuna kesi ya uhaini.

..wewe mwenzangu unatoa wapi imani kwa jeshi la polisi ambalo Kingai ndio DCI?
 
Back
Top Bottom