Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Mkuu sisa hatufundishani mitandaoni, siasa nihisia, ni maslahi ni madaraka.
Sasa ukitukanwa basi unakimbilia bunduki ujue siasa huiwezi.
Namkumbuka Mwalimu, aliweza kuwatukana hata wakoloni, nao walimwelewa fika.
Nani kapigwa bunduki kwa sababu ya siasa. Ukihamasisha fujo hizo sio siasa utashugulikiwa na polisi popote si hata Donald Trump amefunguliwa charges hizo US.

Ukiingilia national interest issues kwa lengo la sabotage utashughulikiwa popote duniani.

Ebu fuatilia siasa za Lissu leo; keshaelewa ukin’gatwa na nyoka, nyasi zikitikisika tu unastuka. Siku hizi karudi kwenye porojo tu anajua mipaka yake.

Lissu mwenyewe kwenye hilo group la kina Dr Slaa kuna siku aliingia wakati wanapanga mipango yao, akawaambia ukweli hampo realistic wacha wamrarue baada ya hapo akawapotezea na kukaa nao mbali.

Shida sio kukoselewa, isipokuwa watu kushindwa kuelewa mipaka, ushasikiliza Lissu akianza kuwaponda CCM majukwaani huwa anaanzia kwa Mwinyi mpaka ‘Bi Tozo’ na polisi wanamlindia mkutano wake.

Hao hakina Mwabukusi wanajifanya wajuaji ndio maana Lissu hata mkutano wao wa Temeke akajiendea Belgium asiwepo live maana anaelewa hoja zao zinaweza mletea shida ambazo hazina ulazima kwa upande wake na CDM kwa ujumla.
 
Hatujafika huko mkuu, bado nchi hii ni y amani.
Watoto wa polisi na watoto wetu wana soma pamoja na hao baba zao tunasali/tunaswali pamoja.
Tuombe tu Mungu atuepushe na huu mfarakano ambao utaisha tu, kama mingine ilivyoisha.
Huwezi amini, nchi hii inaitwa Tanzania, Mungu naipenda sana.(Wimbo wa Taifa)
Yeyote anayeenda tofauti na kiapo cha wimbo wa Taifa, atajizolea mambo ambayo hayajui.
Ndio maana nilikwambia ujaenda kwenye mijadala yao ya Twitter na Clubs. Kama hiyo kauli ya jamaa ya kuwekea sumu polisi sijui watoto wao imekustua ukienda huko wanapojadiliana mipango yao ukisikia unaweza pata pressure.
 
Fanya ziara ya mijadala inayoendelea kwenye Twitter Spaces na Clubhouses ndio utaelewa hatua za jeshi la polisi.

Jamaa kule wasipobadili tabia muda sio mrefu wataelewa bora vitisho vya Magufuli vilivyowaogopesha na kubaki kutunga uongo mitandaoni; kuliko maza aliewapa uhuru wenyewe wakapitiliza mpaka kulichokoza jeshi la polisi.

Mambo mengine watu wanajitakia
Mtu kama mimi nilijitakia nini? Mbona Polisi wa Tunduma walinipa kesi ya wizi mwaka 2015 nikakaa lockup ilhali sikuiba laptop??
 
Kama hoja yako ni watu waogope polisi basi huna tofauti na marehemu ye yote! Tangu dunia inaumbwa watu wamekuwa wakipinga uonezi wa watawala na wameuawa wengi na kamwe hawakukoma. Ndiyo sababu tupo hapa vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi. Huko Afrika ya Kusini polisi wa makaburu waliua waafrika wengi lakini hatimaye walipata uhuru wao na sasa wanaendelea kupambana na mafisadi bila shaka yo yote watafanikiwa pia!

Kufa kupo na hawezi kukwepa tofauti ni aina ya kifo!
Upo sahihi sana mkuu. There's no easy way to freedom and equality than fighting back against tyrant regimes and Police brutality.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.

Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Saa hizi ùmaarufu wake umebakia kwenye mechi za Simba tu
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.

Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Yaaniii nilimpenda sanaa sanaa sasaa ...kqanza siamini kimetokea nini ule ucha Mungu wake haupo tena amegeuka kama joka jeusi
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.

Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Mama Abdul anavurunda kwa sasa.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.

Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Tusidanganyane hapa.

Samia anafanya vizuri kuliko wakati wowote ule.

Kuna kipengele cha sera anazozifanyia kazi kakiruka au hakiendi?

Unafikiri Rais anaongoza "blindy" kama maandiko wako?
 
Kwa hili, huyu naye atapita njia ileile aliyopitia mtangulizi wake. Usishangae hata yeye akafa premature death tena yeye hata asifikishe mwaka 2025!!

Acha ndugu. Usichezee wala kukanyaga haki za watu. Usionee na kumwaga damu za watu bila makosa yoyote Kwa kiburi cha "mimi ni mtawala na mwenye mamlaka"

Yupo anayetawala juu mbinguni na hapa Duniani, Mungu wa haki. Ni mfalme wa wafalme. Mungu wa haki
Umeandika vema sana mkuu
 
Tusidanganyane hapa.

Samia anafanya vizuri kuliko wakati wowote ule.

Kuna kipengele cha sera anazozifanyia kazi kakiruka au hakiendi?

Unafikiri Rais anaongoza "blindy" kama maandiko wako?
We tunakujua, kungwi lililo kubuhu la kitchen party!
 
Yaaani watu wanasema wazi kabisa kuwa lazima wamuondoe madarakani kwa njia sizizo halali halafu wanasema hawaogopi chochote wakitamba kabisa. Sheria ikichukua mkondo wake mnaanza kumlalamikia Rais

Someni kifungu cha 39 chote cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu. Halafu mjifunze kuongea na kuendenda vizuri kwa mujibu wa Sheria.
naomba kipande chasauti au video ikionyesha mkazo huo kumradh
 
Tuwe na tabia ya kupenda kusikiliza, IGP Wambura ajasema wamekamatwa kwa sababu ya kupinga bandari japo washashindwa mahakamani na awataki kuheshimu maamuzi.

Na akaendelea kuelezea ata kama watu bado wanataka kupinga bandari wabaki kwenye mipaka ya hoja za siasa, unaposema utafanya njama nchi isitawalike kisa bandari hapo sasa unanunua ugomvi na polisi hiyo ndio kauli yake.

..amesema watakata rufaa.

..mtu anayesema atakata rufaa bila shaka ameheshimu maamuzi ya mahakama.

..pia nilimsikia akisema watafuata taratibu za kuomba kibali cha maandamano au mikutano.

..mimi naona kuna jitihada za kuwapaka matope wanaopinga mkataba wa Dp.

..jitihadi za kuwapakazia kuwa ni wadini, hilo inaelekea hizo zimefeli. Sasa naona watetezi wamekuja na hili na UHAINI.
 
Kwanza kabisa IGA ni sheria ndio mantiki ya kufanya ratification/domestication swala ambalo huyo Mwabukusi hajui kwamba hiyo IGA ishakuwa domesticated.

Pili sheria aiwezi kwenda kinyume na katiba sio sheria nyingine iliyopo. Kwa kanuni za ‘constitution theory’ on ‘implied repeal rule’ sheria zote kutoka bungeni ni sawa kwa hivyo kilichomo kwenye sheria mpya kama kina kinzana na sheria iliyopo; kilichoelezwa kwenye sheria mpya kina replace sheria ya awali ndio maana wanafanya amendements.

Gharama za kesi zinachangishwa kupitia platform gani ya wananchi?
Kuna vitu umekaririshwa kuhusu IGA nadhani nadhani ndiyo kwanza unatoka chuoni! Kinachopingwa na Mwambukusi and co ni baadhi ya vifungu vyake kwenda kinyume na katiba na sheria zilizopo! Ndiyo sababu serikali inapeleka muswada kubadili sheria zilizopo ili IGA iwe halali kisheria. Assume bunge likagoma kurekebisha Sheria iliyopo IGA itawezekana vipi? Kwa kuwa wabunge ni machawa wata rubber stamp huo muswada na hilo ni tatizo kubwa nchi hii kuwa na wabunge mapandikizi yanayojali matumbo yao! Kwa hiyo hiyo ratification haikubaliki na imefanya kwa kulazimishwa na matakwa ya serikali.

Kama huna fedha za kuchangia gharama za kesi kaa pembeni wanaochangia wanajua platform ya kuchangia!
 
Samia anajiona mwarabu ndio maana anawapa zawadi TANGANYIKA yetu kwa waarabu
Bahati mbaya watanzania wengi hawalielewi hilo.
Ndio maana mtu wa mixed blood na kiarabu huko Zanzibar hawakupewa madaraka hata kidogo.
Maana hiyo ingekuwa kukiuka misingi ya Mapinduzi ya 1964.
Mwarabu kapinduliwa Zanzibar, kaja Bara kapewa nchi.
Hakumaliza mwaka madarakani, akaenda kwa "wajomba zake".
What do you expect?
 
Bahati mbaya watanzania wengi hawalielewi hilo.
Ndio maana mtu wa mixed blood na kiarabu huko Zanzibar hawakupewa madaraka hata kidogo.
Maana hiyo ingekuwa kukiuka misingi ya Mapinduzi ya 1964.
Mwarabu kapinduliwa Zanzibar, kaja Bara kapewa nchi.
Hakumaliza mwaka madarakani, akaenda kwa "wajomba zake".
What do you expect?
Mbona Amaani karume alipewa hayo madaraka wakati na yeye pia ni mix blood au wewe hujui kuwa Amaani karume ni mix blood?
 
Back
Top Bottom