Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

Siyo siri Rais Samia alianza vizuri, sasa analikoroga

..kwa rekodi ya hivi karibuni ya jeshi letu la Polisi mimi naamini hakuna kesi ya uhaini.

..wewe mwenzangu unatoa wapi imani kwa jeshi la polisi ambalo Kingai ndio DCI?
Ushasema huna imani na jeshi la polisi hizo ni opinion sio facts. Inawezekana ni kutokana legit concerns na past experience yako, but still not fact kwa sakata husika.

Nonetheless ujajibu maswali yangu ili nione concerns zako zina merit.

Kwanini Dr Slaa kaingizwa kwenye hiyo kesi, kwanini mdude alijificha wakati anatafutwa Mbeya akatoroka usiku na kukamatiwa mikumi, ni ushahidi gani wa ‘alibi’ ulionao wewe kusema wanasingiziwa na unakindhana na police evidence katika kesi husika?
 
Ushasema huna imani na jeshi la polisi hizo ni opinion sio facts. Inawezekana ni kutokana legit concerns na past experience yako, but still not fact kwa sakata husika.

Ujajibu maswali langu kwanini Dr Slaa kaingizwa kwenye hiyo kesi, kwanini mdude alijificha wakati anatafutwa Mbeya akatoroka usiku na kukamatiwa mikumi, ni ushahidi gani wa ‘alibi’ ulionao wewe kusema wanasingiziwa na unakindhana na police evidence?

..imani kwa jeshi la polisi unaitoa wapi?

..kuna kesi ngapi walizofungua dhidi ya wapinzani ambazo zilikuwa za haki?

..je, mdude alipelekewa taarifa aripoti kituo cha polisi akatoroka na kujificha?

..au alifuatwa nyumbani kwake lakini akawakimbia polisi?

..hivi inaingia akilini Mdude, Mwabukusi, na Slaa, wapindue serikali? How? Kwa uwezo gani walionao?

..Jeshi letu la Polisi lina rekodi ya kubambikia wananchi na wapinzani mashitaka makubwa-kubwa kama njia ya kuwashikilia muda mrefu bila dhamana.
 
..imani kwa jeshi la polisi unaitoa wapi?

..kuna kesi ngapi walizofungua dhidi ya wapinzani ambazo zilikuwa za haki?

..je, mdude alipelekewa taarifa aripoti kituo cha polisi akatoroka na kujificha?

..au alifuatwa nyumbani kwake lakini akawakimbia polisi?

..hivi inaingia akilini Mdude, Mwabukusi, na Slaa, wapindue serikali? How? Kwa uwezo gani walionao?

..Jeshi letu la Polisi lina rekodi ya kubambikia wananchi na wapinzani mashitaka makubwa-kubwa kama njia ya kuwashikilia muda mrefu bila dhamana.

Sijakukatalia your entitlement to form an opinion kuhusu jeshi la polisi, be it some of those misdeeds zinahitaji ushahidi wa uonevu.

Kama unafuatilia hilo sakata toka wanashikwa mikumi saa alfajiri bado Mwabukusi yupo live shida yao ilikuwa Mdude kwanza; na watu wake wanaelezea alikuwa anatafutwa toka mchana wa jana yake Mbeya na jeshi la polisi akajificha.

Nikutakie usiku mwema 👋
 
Ngoja sie tuendelee kupambana na yetu siasa tuwaachie wenyewe
Sometimes najiulizaga kwanini wengine tunalazimisha haya mambo wakati wenzetu mna amani bila ya porojo za siasa; mungu anipe nguvu niamie upande huo wa amani na mimi soon.
 
Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga
Alianza vizuri kwa watu kama wewe mnaochukulia mtu kushika cheo kikubwa ndiyo inakuwa beji ya kupewa heshima hata kama haistahili heshima hiyo.

Huyu toka mwanzo alijulikana kuwa ni mwigizaji..., "Mbowe ni gaidi, wenzake walishahukumiwa mahakamani..."; mara "Kazi na Iendelee", huku hajui ni kazi gani anayotaka iendelee!

Huo ubabaishaji wote ndiko unakokuita wewe "kuanza vizuri"?

Mtu anaigiza apate sifa, na kuungwa mkono na mataifa na taasisi za nje, huku akilini mwake akiwa hana lolote analoliamini katika hayo anayoyafanya, ndiko kumpe sifa ya kuanza vizuri?
 
Sijakukatalia your entitlement to form an opinion kuhusu jeshi la polisi, be it some of those misdeeds zinahitaji ushahidi wa uonevu.

Kama unafuatilia hilo sakata toka wanashikwa mikumi saa alfajiri bado Mwabukusi yupo live shida yao ilikuwa Mdude kwanza; na watu wake wanaelezea alikuwa anatafutwa toka mchana wa jana yake Mbeya na jeshi la polisi akajificha.

Nikutakie usiku mwema 👋

..hiyo serikali imeoza kiasi gani mpaka ipinduliwe na Mdude?

..nyinyi watu mna utani lakini hauchekeshi.
 
Kwa nini tumefikia hapa?
Shida ni sisi wenyewe, tunakuwa kama nyani. Nyani ukimchekea utavuna mabua. JPM aligundua hilo na maza naye kaligundua. This is the reality. Siasa za kiustaarabu bado wengi hatuziwezi, kitu ambacho ni hatari kwa ustawi wa taifa letu. Hivyo wote wanaoenda kinyume na utaratibu huo lazima wachukuliwe hatua za kisheria za kuwarejesha kwenye mstari.
 
Sijakukatalia your entitlement to form an opinion kuhusu jeshi la polisi, be it some of those misdeeds zinahitaji ushahidi wa uonevu.

Kama unafuatilia hilo sakata toka wanashikwa mikumi saa alfajiri bado Mwabukusi yupo live shida yao ilikuwa Mdude kwanza; na watu wake wanaelezea alikuwa anatafutwa toka mchana wa jana yake Mbeya na jeshi la polisi akajificha.

Nikutakie usiku mwema 👋

..hiyo serikali imeoza kiasi gani mpaka ipinduliwe na Mdude?

..nyinyi watu mna utani lakini hauchekeshi.
 
IGA inapatikana on the public domain, sheria ni swala la interpretation kwa mtaji huo aina maana kwa sababu fulani kasema ndio final world.

Wewe unabisha kwa sababu umeelezwa, mimi naunga mkono kwa sababu na interpret mwenyewe na nipo tayari kubishana na yeyote hapo kuhusu vifungu vya IGA.

Usifikirie limitations zako zina apply kwa kila mtu kwenye hili jukwaa au watu unaowaamini wewe ndio wanaaminika na kila mtu.

Shivji au yeyote uliomtaja hapo ana authority gani katika field za mikataba ya kibiashara.

Sijakulazimisha kukubaliana na mimi nimekupa tu legal principle zinazojibu hoja zako. Badala ya ku debunk unakuja na hadithi za Shivji kasema, ndio ukiitwa mahakamani kutetea mkataba utasema Shivji kakwambia.
Siwezi bishana na mtu ambaye amefugwa kulinda maslahi ya mabwana zake! Legal principles unazotumia zinakupotoshwa na si sahihi.

Argument yangu ina- base kwenye hukumu iliyotolewa na mahakama wewe unajitahidi kulinda uovu wa serikali ili kupata maslahi ya kisiasa ya watu binafsi serikalini.

Mahakama inasema mkataba umevunja sheria ya kulinda Natural Wealth and Resources sura Na. 449 na Na. 450 za mwaka 2007 ambazo zinakataza migogoro juu ya uwekezaji kwenye rasilimali za Taifa isipelekwe kwenye mahakama za nje na isitumie sheria za nje. Hii ndiyo hoja kubwa ya niliyowataja na mahakama imeungana nao. Sasa argument yako inatumia sheria gani?
 
Huwezi kutumia polisi kama fimbo ya kunyamazishia watu wenye kujitambua. Huo ni udhaifu
Hakuna watu wanaotumika vibaya na wanasiasa waovu kama mapolisi wa hizi nchi za ulimwengu wa tatu. "ni kinyaa" . hopeless!!!


Jesus is Lord&Savior
 
Siwezi bishana na mtu ambaye amefugwa kulinda maslahi ya mabwana zake! Legal principles unazotumia zinakupotoshwa na si sahihi.

Argument yangu ina- base kwenye hukumu iliyotolewa na mahakama wewe unajitahidi kulinda uovu wa serikali ili kupata maslahi ya kisiasa ya watu binafsi serikalini.

Mahakama inasema mkataba umevunja sheria ya kulinda Natural Wealth and Resources sura Na. 449 na Na. 450 za mwaka 2007 ambazo zinakataza migogoro juu ya uwekezaji kwenye rasilimali za Taifa isipelekwe kwenye mahakama za nje na isitumie sheria za nje. Hii ndiyo hoja kubwa ya niliyowataja na mahakama imeungana nao. Sasa argument yako inatumia sheria gani?
Ujawahi kuwa na argument una hama-hama tu na kulalama bila ya sababu za msingi kama ilivyo hadha ya wapingaji wengine mara bandari wamepewa bure, mara Shivji kakwambia na sasa hivi tena maamuzi ya mahakama.

Kukusaidia tu wewe wa na huyo Mwabukusi hakuna hukumu kwenye kesi za civil proceeding, kuna maamuzi ya mahakama tu mwisho wa siku.

Nimeshakuuliza before wewe unadhani kwanini mahakama ikasema aiwezi ingilia kazi ya bunge? Kukusaidia kujibu hawana mamlaka hayo. Bunge lina jukumu la kutunga sheria na mahakama inajukumu la kuzitafsiri tu not otherwise.

Ndio maana majaji wakawaeleza kuna mkanganyiko kweli; lakini bunge linafanyia amendment sheria moja ni entitlement ya bunge kufanya hivyo kuondoa hiyo sintofahamu wao hawana mamlaka ya kuingilia kazi zao.

Nimekueleza constitution theory ya ‘implied repeal rule’ mahakama yoyote duniani inatambua sheria mpya ina supersede ya zamani kama zinapishana katika jambo husika.

Hiyo sheria yako ya 2017 aina hadhi ya juu kushinda hiyo ya IGA zote ni sawa on merit, ndio msingi wa kufanya ratification to domesticate IGA into Tanzania law na bunge pekee ndio lenye mamlaka hayo. Kwakuwa sheria hizo mbili kuna mambo mawili yanakindhana moja inafanyiwa amendements.

Baada sheria ya kilichopo chini yake ni mikataba ya utekelezaji. Hiyo ndio aiwezi kwenda kinyume na sheria za nchi (ndio maana mnaelezwa IGA sio mkataba wa kibiashara) mikataba yenyewe itafuata.

Siasa hujui, sheria hujui, mambo ya mikataba ya kibiashara hujui; halafu unakuja humu kujibizana mambo yaliyo juu ya uwezo kwa kusoma vitu usivyovielewa vina maana gani.
 
Unajawahi kuwa na argument una hama-hama tu na kulalama bila ya sababu za msingi kama ilivyo hadha ya wapingaji wengine mara bandari wamepewa bure, mara Shivji kakwambia na sasa hivi tena maamuzi ya mahakama.

Kukusaidia tu wewe wa na huyo Mwakabusi hakuna hukumu kwenye kesi za civil proceeding, kuna maamuzi ya mahakama tu mwisho wa siku.

Nimeshakueleza before wewe unadhani kwanini mahakama ikasema aiwezi ingilia kazi ya bunge? Kukusaidia kujibu hawana mamlaka hayo. Bunge lina jukumu la kutunga sheria na mahakama inajukumu la kuzitafsiri tu not otherwise.

Ndio maana majaji wakawaeleza kuna mkanganyiko kweli; lakini bunge linafanyia amendment sheria moja ni entitlement ya bunge kufanya hivyo kuondoa hiyo sintofahamu wao hawana mamlaka ya kuingilia kazi zao.

Nimekueleza constitution theory ya ‘implied repeal rule’ mahakama yoyote duniani inatambua sheria mpya ina supersede ya zamani kama zinapishana katika jambo husika.

Hiyo sheria yako ya 2017 aina hadhi ya juu kushinda hiyo ya IGA zote ni sawa on merit, ndio msingi wa kufanya ratification to domesticating IGA into Tanzania law na bunge pekee ndio lenye mamlaka hayo. Kwakuwa sheria hizo mbili kuna mambo mawili yanakindhana moja inafanyiwa amendements.

Baada ya kilichopo chini ya sheria za nchi ni mikataba ya utekelezaji. Hiyo ndio aiwezi kwenda kinyume na sheria za nchi (ndio maana mnaelezwa IGA sio mkataba wa kibiashara) mikataba yenyewe itafuata.

Siasa hujui, sheria hujui, mikataba hujui; halafu unakuja humu kujibizana mambo yaliyo juu ya uwezo kwa kusoma vitu usivyovielewa vina maana gani.
Wanafanya amendment baada ya kuona makosa! Kwa nini amendment haikufanywa kabla ya IGA? Na kwa nini IGA isifanyiwe amendment?

IGA Ina supersede vipi sheria ya zamani wakati mahakama imesema Dubai haina legal personality katika Sheria za Kimataifa ( Montevideo Conversation na Vienna Conversation) kwani haina Sovereignty.
 
Wanafanya amendment baada ya kuona makosa! Kwa nini amendment haikufanywa kabla ya IGA? Na kwa nini IGA isifanyiwe amendment?

IGA Ina supersede vipi sheria ya zamani wakati mahakama imesema Dubai haina legal personality katika Sheria za Kimataifa ( Montevideo Conversation na Vienna Conversation) kwani haina Sovereignty.
Hiyo sheria ya 2017 ina makosa kama unaelewa maswala ya mikataba ya kimataifa ‘stabilisation clause’ lazima iwe na kipengele cha neutral ground ya kutatua migogoro ya kibiashara.

Hakuna mwekezaji mwenye mtaji mkubwa atakuja kuwekeza bila ya security ya investment zake sio Tanzania tu popote duniani. Kwa hivyo uwepo wa neutral ground ya usuluhishi ni sehemu moja wapo.

Kutokana na makosa hayo ndio maana inafanyiwa amendments, still kwa sababu ilikuwepo aina maana sheria nyingine inayokindhana nayo aiwezi tungwa.

Moreover IGA ni sheria kwa sababu imepitishwa na bunge sio kwa sababu ya status ya Dubai.

Kuongezea kuna aina mbili ya katiba duniani unitary na federal; ukiona katiba ya nchi ni federal constitution nyingi msingi wake ni muungano wa maeneo ambayo yanajitambulisha kama state. Federal constitution itaelezea what states can and can’t do.

Katiba ya UAE inaruhusu wanachama wake kuingia mikataba (specific) na nchi nyingine hayo yapo kwenye UAE constitution mmeshaelezwa hivyo vipengele na wanasheria wa serikali amtaki kuelewa.

EU ni ‘supranational’ kwa sasa bado kidogo tu kuwa federal sheria zao nyingi zinatungwa Brussels na wana collective bargaining nyingi ambazo nchi haziwezi ingia. Sasa je France, Belgium, Germany, Spain, Poland and other member states sio nchi kwa sababu hata wao awawezi kuingia mikataba ya ulinzi, kodi, BIT na mambo mengine waliyo orodhesha katika ‘Maastricht Treaty’ kama EU matters.

Kusema Dubai sio nchi ni utoto wakati katiba yao inatambua ni muungano wa states na inaruhusu kuingia mikataba kadhaa.
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.

Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Huwa wanaanza vizuri sn miezi ya kwanza 3 baada ya hapo sifa zinawalewesha wanapotea mazima, chawa nao huwa wanawajaza pumba tupu iliwapige pesa
 
Baada ya kipindi cha Magufuli Awamu ya Tano, alipoingia mama Samia , wengi tulivuta pumzi ya uafadhali kisiasa. Pamoja na kuwa mwana CCM, Awamu ya Tano iliyokuwa a One Man Show, kila mtu alikula mboko.

Sasa tunaona mambo yanataka kujirudia tena.
Power has gone to the head, mama hasikilizi ushauri ulio wazi.

Sina haja ya kurudi kwenye saga la DP World, wamesema wengi.
Wamo wanasiasa, wataalam, wapinzani, but the lady is not for turning.

Sasa tunarudi kule kule kwenye machungu ya Awamu ya Tano.
Ubambikaji kesi nzito nzito ili kuzima mihemuko ya kisiasa umerudi.
Wasiojulikana wamerudi.
Watu sasa wanawekwa ndani kwa kesi za kufikirika.
Hii hali haiwezi kuwa endelevu kisiasa.
Katika demokrasia, hata mtu ukifanya vizuri watu watasema tu.

Kwa nini tumefikia hapa?
Inaelekea kuna makubwa zaidi nyuma ya hili sakata Dp World, lakini tutazame mbele. Wengi tunapenda uwekezaji, lakini kwa masharti ya Taifa letu.
Hilo ni bottom line.
Na niwe mkweli tu, sakata la DPW mama Samia limemuondolea umaarufu wa kisiasa.

Mama inabidi aende retreat, awe na washauri wake wa kisiasa na ni vema akajitazama kwenye kioo hicho cha kisiasa.

2025, tunataka kumpa mama Samia kura za uhakika, si kura za kubebwa kwenye rambo na viroba na wasiojulikana.

Mama Samia alianza vizuri, kwa sasa hivi analikoroga.
Kwendeni huko, mama aliwapenda wote na hasa wapinzani mpaka mikutano yenu alikuja, tena kwa upendo, aliwaita "wanangu" Leo mnakuja kumtukana hadharani na kutishia serikali, bado mnataka awachekee tu!!? No way, acheni dharau
 
Hiyo sheria ya 2017 ina makosa kama unaelewa maswala ya mikataba ya kimataifa ‘stabilisation clause’ lazima iwe na kipengele cha neutral ground ya kutatua migogoro ya kibiashara.

Hakuna mwekezaji mwenye mtaji mkubwa atakuja kuwekeza bila ya security ya investment zake sio Tanzania tu popote duniani. Kwa hivyo uwepo wa neutral ground ya usuluhishi ni sehemu moja wapo.

Kutokana na makosa hayo ndio maana inafanyiwa amendments, still kwa sababu ilikuwepo aina maana sheria nyingine inayokindhana nayo aiwezi tungwa.

Moreover IGA ni sheria kwa sababu imepitishwa na bunge sio kwa sababu ya status ya Dubai.

Kuongezea kuna aina mbili ya katiba duniani unitary na federal; ukiona katiba ya nchi ni federal constitution nyingi msingi wake ni muungano wa maeneo ambayo yanajitambulisha kama state. Federal constitution itaelezea what states can and can’t do.

Katiba ya UAE inaruhusu wanachama wake kuingia mikataba (specific) na nchi nyingine hayo yapo kwenye UAE constitution mmeshaelezwa hivyo vipengele na wanasheria wa serikali amtaki kuelewa.

EU ni ‘supranational’ kwa sasa bado kidogo tu kuwa federal sheria zao nyingi zinatungwa Brussels na wana collective bargaining nyingi ambazo nchi haziwezi ingia. Sasa je France, Belgium, Germany, Spain, Poland and other member states sio nchi kwa sababu hata wao awawezi kuingia mikataba ya ulinzi, kodi, BIT na mambo mengine waliyo orodhesha katika ‘Maastricht Treaty’ kama EU matters.

Kusema Dubai sio nchi ni utoto wakati katiba yao inatambua ni muungano wa states na inaruhusu kuingia mikataba kadhaa.
Hapo ndiyo unapojipotosha! Hoja ya sovereignty ndiyo ina hold water na mahakama imejiridhisha. Kulinganisha na EU unakwenda chaka zaidi nakushauri jielimishe zaidi vinginevyo wewe ndiye unaleta ubishi wa kitoto!

Sidhani katiba ya UAE umeisoma au unaielewa vizuri zaidi kuliko mahakama!
 
Back
Top Bottom