mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Nimekupa kiki watu wameingia huruma wamekuja kukufichia aibu. Unapenda sana attention wewe kolo.mr gentleman na Mkaruka Macho yangu hayaoni vizuri naomba mnisaidie Kuniambie Je, 'replies' na 'Uzi' sasa ni ngapi na umefikia 'page' ngapi pia?
Nyie endeleeni tu na ma azory gwanda na masaa nane yenu 😂😂. Vitu wala havina uhusiano mzuri. Huku ni wapinga maendeleo huku ni kazi na maendeleo. Ukiwa chadema lazima uwe zezeta fulani😂😂😂Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Kwani Ben Saanane alikuwa ana kosa gani?Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Hakujua huyo, mhurumie 🤣🤣🤣Hivi Mtu ambaye nina 'Followers' karibia 70 hapa huku ID yangu ikiwa inafuatiliwa na Kusomwa 24/7 na Wasaidizi wa Mshindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020, Yeye pia Usiku, Msemaji wake pale Mjengoni Msigwa pamoja na wa nchi Dk. Abbas, CDF Mabeyo, Poti ( Mwetu ) wangu mwenyewe wa 'Kizanaki' IGP Sirro na karibia 50% ya Wafanyakazi wa 'Eagle Wing House' hasa Bosi wao Mpare ( japo hata Bosi wao aliyeondolewa Mchungaji Kitambi ) alikuwa 'akiikodolea', huku hapa JF ikiwa ndiyo ID inayopendwa Kufuatiliwa na 'Intelligent JF Members' naweza Kusubiria ipate 'hype' kutoka kwa Mpumbavu Mwandamizi ( Popoma Uliyetukuka ) kama Wewe?
Cc: Mkaruka
Like sometimes ni kuonesha kuwa Nimekusoma, Nimepita hapa 'Sasa hivi unamtenga? Wewe si niliona hadi umempa na 'Like' kabisa katika ule 'Utumbo' wake alioniandikia mbona hivi sasa umemuacha Solemba?
Cc: mr gentleman
Haya maisha yangekuwa ya milele tungekuwa jeuri kupita kiasi.Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
kufanya tafiti na uchunguzi.Ben na Azory kwanza walikuwa na kosa gani la wao kutakiwa kusamehewa?
Hilo jina Mpenda kwao limemfaa sana kwa kipindi hiki.Alitaka tu Kujua ukweli wa 'Kitaaluma' hasa juu ya Andiko ( Thesis / Dissertation ) la Mzuia CORONA Mwandamizi Tanzania nzima na Mpenda Kwao.
Unaweza usiwe na kosa kisheria ila ukawa umemuudhi mtu mwenye nguvu kwa wakati hugo ndiyo tuasema huyo mtu angewasamehe tuu kwakumuudhiBen na Azory kwanza walikuwa na kosa gani la wao kutakiwa kusamehewa?
Au kwenye tweets za Msigwa [emoji23][emoji23][emoji23]Mayalla uteuzi ataisikia tbc tuu
Humu watu wengi wamehama wamebaki ndugu wa baba mmoja na wapitanjiaMpaka sasa uzi una replies 20 tu 😂 😂 🤣 🤣
Wana JF shikamoo hawatoi kiki za kishamba 😂
Nimesali RC, Anglican, na Moroviana. Nimepita wakati wa ibada karibu na misikiti, makanisa ya KKKT na SDA, sijawahi kusikia matamko makali ya 'SHETANI TOKA, TOKA, TOKA' kama ambavyo nayasikia nikipiga karibu na makanisa ya kilokole. Kupitia kwako nimejua kumbe hawa wanaotaka kuombewa ni mashetani na ndio kila siku ya ibada wanafukuzwa kwa kuambiwa shetani toka.Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
UmeonaeeeAu kwenye tweets za Msigwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nireteeeeni Pascal MayallaMayalla uteuzi ataisikia tbc tuu
Umenena vyema sana.Asante.Moja alihoji tu zilipo nyaraka alizohitaji kuondoa dukuduku lake(kujiridhisha) zaidi kuhusu utata uliojitokeza(nyaraka zinazotakiwa kupatikana ambazo siyo za SIRI) na mwingine kutekeleza jukumu lake LA kuihabarisha,kuielimisha na kuiwezesha kupata ukweli wa kilichokuwa kinatokea(MKIRU) kuhusu maafa.Hawa Watanzania wenzetu hawakuwa wahalifu ila hawakusamehewa lakini wezi,wabadhirifu,walaRUSHWA wa awamu hii waweza kusamehewa endapo watamfurahisha Mzee Baba(Sheria/Kanuni za Uwajibikaji zimekosa kuzingatiwa).
Tudai Katiba ya Wananchi ili tufanye mabadiliko ya kiutawala/kiuongozi yenye Tija kwa wananchi nakuzuia Uharibifu wa Maadili uliokithiri.
Ukayameza Kama yalivyo, ukayaamin, ukayaish , ukayaabudu😂😂Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Nyundo🤣Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Mpaka sasa uzi una replies 20 tu [emoji23] [emoji23] [emoji1787] [emoji1787]
Wana JF shikamoo hawatoi kiki za kishamba [emoji23]
Uoni aibu kuandika huu utopolo?Hivi Mtu ambaye nina 'Followers' karibia 70 hapa huku ID yangu ikiwa inafuatiliwa na Kusomwa 24/7 na Wasaidizi wa Mshindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020, Yeye pia Usiku, Msemaji wake pale Mjengoni Msigwa pamoja na wa nchi Dk. Abbas, CDF Mabeyo, Poti ( Mwetu ) wangu mwenyewe wa 'Kizanaki' IGP Sirro na karibia 50% ya Wafanyakazi wa 'Eagle Wing House' hasa Bosi wao Mpare ( japo hata Bosi wao aliyeondolewa Mchungaji Kitambi ) alikuwa 'akiikodolea', huku hapa JF ikiwa ndiyo ID inayopendwa Kufuatiliwa na 'Intelligent JF Members' naweza Kusubiria ipate 'hype' kutoka kwa Mpumbavu Mwandamizi ( Popoma Uliyetukuka ) kama Wewe?
Cc: Mkaruka
Nimekupa kiki nyumbu wa chadema wamekuja kukufuta aibuAkija huyo mr gentleman wako niulizie Kwake je, hadi sasa 'Uzi' wangu una 'Likes' ngapi na 'replies' zipo ngapi pia? Usishindane na aliyetunukiwa!!!