Wamefanywa Nini na CCM hao watu?
..wamepotezwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefanywa Nini na CCM hao watu?
Jamaa mbuz sana yule ipo siku tutaanika namba zao hapa woteHahahahaaa na wewe ulishatumia ukatafuta? Watu washaliwa, maisha bora kwa kila mtanzania🤣🤣🤣🤣
Kuna wakati unakuwa kichwa sana! Sijui ni kwa sababu timu yako ilimpiga mtu 4 G jana! Ila inapofungwa tu, ndiyo huwa unakuja na zile mada zako za kipopoma!!Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Tatizo nyinyi ni wapiga kelele nje ya geti la lumumba hivyo hata kujua ukweli hamna nafasi hiyoUsisahau kwa Patrobas Katambi alikuaga kada kindakindaki wa chadema na kuna wakati lowasa alikua kada kindakindaki wa CCM na CHADEMA kwa pamoja
Akili kumkichwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Sometimes huwa sikuelewagi kabissNiliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Mayalla yamemkuta ya Mpendazoe.Mayalla uteuzi ataisikia tbc tuu
Huenda kala shavu,mwendo kuku kwa mrija,ukipiga kelele tonge laweza ponyoka.Mayalla yamemkuta ya Mpendazoe.
Kaamua kuendelea kivingine maana teuzi zimekuwa adimu sana sasa hivi.
Pascal Mayalla tunaomba maoni yako kama kada kuhusu hili
Mkuu, umerudi kwa kasi na sasa subconscious mind imetengamaa.Niliwahi kuambiwa na Mtu Mmoja kuwa ukiona Mwanadamu ( Mtu ) anapenda mno Kusali tena kwa Kujionyesha kwa Watu basi ni zaidi ya Shetani.
Wee nawee!!!! Ujinga umekujaa mno.
Wapi nimemwambia sijamuelewa?
Mimi nimemuuliza kwanini anaongea kwa mafumbo
Unaumwa niniUliuliza kwa kuwa umefumbwa, ivyo wewe ni kubwa jinga lao
Ulichoandika kina uhusiano gani kuniquote.... au mradi kuquote🙄🙄🙄Tatizo nyinyi ni wapiga kelele nje ya geti la lumumba hivyo hata kujua ukweli hamna nafasi hiyo
kama umeshindwa kung'amua sentensi chache ya huyo popoma , nisemaje?Tumepoteana wapi
Kumbe nawe huelewagi. Sijang'amua nini?Kama ume
kama umeshindwa kung'amua sentensi chache ya huyo popoma , nisemaje?
Kosa la kuhoji PhD ya Bosi mkubwa adhabu yake ni kifo kwenye inchi fulaniBen na Azory kwanza walikuwa na kosa gani la wao kutakiwa kusamehewa?
Kwasababu akili zako ulizikabidhi lumumba, hutonielewaUlichoandika kina uhusiano gani kuniquote.... au mradi kuquote[emoji849][emoji849][emoji849]
Daaaa umenikumbusha Mpendazoe,sijui kaishia wapiMayalla yamemkuta ya Mpendazoe.
Kaamua kuendelea kivingine maana teuzi zimekuwa adimu sana sasa hivi.