Skendo gani imewahi kukuandama ukahisi kuchanganyikiwa? Uliimalizaje?

hiii Dunia hii kila unachokifanya hua Kuna mtu anakuona aiseee Kuna mtu alinitaja yaan alisimulia kila nlichofanya pale nlianza na nn nikamaliza na nn nlihojiwa nikagoma sio mm lkn nlikuwa mm....nlipitisha miaka miwili Kuna maeneo siendi mwenyw
Duniani huwezi fanya jambo kwa siri aisee
 
Mbona yako inaonekana ya kusisimua mkuu... tupe story ilikuaje kuaje πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Naona umegeuza story inaonesha uliliwa wewe
 
Na ndo Mana uko jf Bila shaka wewe Ni single mom
 

Sasa si ungempopobawa tu uyo manzi ili uzushi uwe kweli
 
Nilisingiziwa eti nimefumaniwa na mke wa mtu mtaa wa pili!
Kumbe hata sio Mimi ni mtu mwingine majina tu yanafafa, nilijitetea lakini wapi, hiii ishu iliniharibia sana hadi kazini
 
Poleee sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…