Skendo gani imewahi kukuandama ukahisi kuchanganyikiwa? Uliimalizaje?

Kipindi nasoma nilikua na kampan ya wahuni wahuni sana ila sikua mtoto wa hovyo.

Basi kuna siku saa 5 usku natembea zangu natoka kwenye mziki sisi tunaita "bugi" naenda nyumban kulala napita kwenye kichochoro nikatereza kumbe kuna maza alichungulia dirishan akaniona.

Sasa yule maza ana ushoga na maza wake na mshkaji wangu, kesho wanapiga umbea akaenda kumwambia jbst anavuta madawa ya kulevya jana kapita usiku anapepesuka huku anavuta madawa!! Mkanye mwanao kuwa na urafiki nae.

Jamaa yangu alikuja kuniambia iliniuma sana maana nilikua nikipita tu mtaa huo macho yanakua mengi sana alafu kipindi hicho nilikua nimetoka kuugua nikawa nimekonda sna basi wakaamini hivo.

Nilishama huo mkoa kwasas ila nikirudi home huwa siwasalimii nikipita mtaa huo ila pia nimejifunza kuwa na kampan na watu wa hovyo hovyo
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana
 
𝐀𝐦𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐛𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐮𝐬𝐢𝐢𝐬𝐡𝐢𝐰𝐞 𝐛𝐚𝐧𝐝𝐨
 
Kwa mwandiko huu ungefaulu na somo la kiswahili ungepewa skendo ya kutembea na mwalimu wa Kiswahili.
 
Mambo ya mashambani bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…