Sleeper Agent: Mbinu ya kupandikiza jasusi mahali atakayetumika siku za baadaye


Expose him mkuu,wasauzi wanaita 'ipimpi' yaani 'a mole'
 
Kwa maono yangu, upinzani tz kumejaa sleeper agents wa kutosha, kamwe hautokuja shamiri.
Angalia Dr. Slaa alivyoaminiwa na Chadema, plus watanzania kwa ujumla, ule wakati ameishaiva na yupo tayari kwa mapambano ya kinyang'anyiro cha uraisi, akashiriki kumleta Lowasa, yeye akachapa lapa. hapa kuna namna ukizingatia alitokea CCM huko nyuma.

From no where Mbatia akapewa Ubunge wa kuteuliwa, kwa siasa za Tanzania ni kitendawili ilitokea tokea vipi, in no time ukawa ukaundwa akiwa mwenyekiti mwenza, leo ukawa ni kama imepotea sababu za ukawa kufifia hata hazionekani.

Kuna mtu anaitwa Lipumba, yani muda ukawa imeshika hatamu, akajirudisha uenyekiti CUF, hadi leo CUF haisomeki.

Kuna mtu anaitwa maalim Seif, aliwaigi kuwa kindakindaki kwenye ujana wake, it makes no sense kuasi ujana wake.

nnawashuku wengi, mwisho hapa nimuweke babu yangu Kingunge, kabisaa huyu babu amekunywa maji ya kijani kilichoiva, eti kirahisi rahisi tu hivyo aondoke CCM.

Kama ulidhani tz kuna upinzani, mpinzani ni wewe.

Nyerere was very genius, akaona hawa watu wanataka vyama vingi, kura hazijajitosheleza hivyo wataendelea kusumbua, ruksa wape vyama vingi, ila penyeza kote watu wako, na ikawa hivyo, CCM itaendelea dumu milele na milele.
 
Inaitwaje hio?
 
kwa anaetaka kuona jinsi Sleeper agent wanavyo oparate nenda kadownload series inatwa The American humo kuna kila kitu, anzia season ya kwanza ili ufaidi vzuri, utaona jinsi Mrusi alichokuwa anafanya kabla ya Cold war
Thank you
 
Nahisi Tulikuwa nae wa namna hii kahororo Sec maana baada Ya Fujo tu kuna wanafunz alipotea kila mtu alikuwa anamjua kwa jina tofaut no one had true trace Yake
 
Bujibuji tuheshimiane, acha kuwadharau vichaa wetu. Wamejitolea kuishi kama vicha kwa maslahi taifa. Were huoni hao vichaa jinsi walivyo, nguo chafu, mwili mchafu, nywele chafu lakini visigino havina hata Magamba.
Kumbe hata hao vichaa nao ni majasusi?

Now, kwanini wanajiweka vile?
 
Joh! it is not my duty exposing someone's life. I have just given them a clue therefore they should dig themselves accoldingly!
The damage has been done already and thank you.
Aah aah aah...am just kidding mkuu,don't freak out.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…