Huu uzi ni kama umeclick kwa mind yangu!
Namkumbuka chalii mmoja tulisoma nae chuo, huyu hakika alikuwa ni sleeper agent wa TUTSI EMPIRE dogo kainflitiate hadi jeshini na sahivi ni mgavi huko jeshini na ana nyota3!
Dada zake na nduguze wote wako na nyadhifa huko kwa Kagame!!
Miili isiyo na vivuli.Bujibuji tuheshimiane, acha kuwadharau vichaa wetu. Wamejitolea kuishi kama vicha kwa maslahi taifa. Were huoni hao vichaa jinsi walivyo, nguo chafu, mwili mchafu, nywele chafu lakini visigino havina hata Magamba.
Joh! it is not my duty exposing someone's life. I have just given them a clue therefore they should dig themselves accoldingly!Expose him mkuu,wasauzi wanaita 'ipimpi' yaani 'a mole'
umesahau mjeda aliyetoroka jeshini akakimbilia Rwanda?Jeshi letu lipo vizuri hakuna sleepers agent kama walivyofanya Nigeria na kuwadaka watatu
Kuna yule alieua elimu yetu nina wasiwasi nae.
Duh, nitaitafuta hioI agree with you asee.. Kuna series inaitwa undercover.. Ni kielelezo tosha.. Ndo dunia lakini akili kumkichwa
Inaitwaje hio?Mkuu uko vizuri hii kitu mpya kwangu. Movie inaitwa salt. Mtoto alipelekwa us akawa mdogo kabisa baada ya Ajali ya diplomat wa us Russia kutengenezwa na walipofariki akachukuliwa dogo kama mtoto wao kumbe ni pandikizi aliyeandaliwa kwa mission itakayofanyika Day X. Siku ambapo miaka mingi ijayo watafake kifo cha Rais wa russia marekani. Cha ajabu pale jamaa aliyekuwa muaminifu saana na kiongozi wa US Secret service nae alikuwa ni Russian Sleeper agent nadhani kwa elimu yako leo. Maana rangi yake halisi ilijulikana kitovuni kabisa mwa Whitehouse akiwa yeye Rais na watu wachache wamejifungia chumba cha siri na kuwageuka wote akisaidiwa na Evelyn Salt. Hii Movie huwa naikubali sana.
Samsung ipi hio.?ndo kilichofanyika pia kwa Samsung pia.
Hivi ile issue iliishia wapi mkuuumesahau mjeda aliyetoroka jeshini akakimbilia Rwanda?
kampun ya sumsung! kwenye issue za vifaa chake vingi kuwa na hitilafu( kuna kamchezo kilikuwepo)Samsung ipi hio.?
Thank youkwa anaetaka kuona jinsi Sleeper agent wanavyo oparate nenda kadownload series inatwa The American humo kuna kila kitu, anzia season ya kwanza ili ufaidi vzuri, utaona jinsi Mrusi alichokuwa anafanya kabla ya Cold war
Sio kitu rahisi hivyo ...Mimi nipo tayari kua huyo sleeper agent
Kumbe hata hao vichaa nao ni majasusi?Bujibuji tuheshimiane, acha kuwadharau vichaa wetu. Wamejitolea kuishi kama vicha kwa maslahi taifa. Were huoni hao vichaa jinsi walivyo, nguo chafu, mwili mchafu, nywele chafu lakini visigino havina hata Magamba.
The damage has been done already and thank you.Joh! it is not my duty exposing someone's life. I have just given them a clue therefore they should dig themselves accoldingly!
Duh kumbeekampun ya sumsung! kwenye issue za vifaa chake vingi kuwa na hitilafu( kuna kamchezo kilikuwepo)