Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua



Mkuu shida yangu mimi hivyo vifaa vya solar namna ya kuvitambua orijino na feki kwa mfano hivi:-
Betri, panel na charger control naomba msaada wako!
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wote ambao tumefaidika na shule kutoka kwa chief hebu tupitishe mchango wa consultation walau apate unlimited ya mwezi mmoja au mnaonaje? Mi naanza na buku chief tupia namba hapa au kama siri naiomba kwa PM. Ni dhuluma kupata shule yote hii bure.
 
Kaka mkwawa hii ina internal memory 16gb sasa sijui namna ya kucheki hizo specs nyingine..nipe sh
 

Duh,,kumbe catterpilar wana simu? Mi nlijua wana magreda na viatu tu,,hv simu km s2 na s3 zina vioo vya aina gani?
 

Hv hizi specs unaziangaliaje kwenye samsung? Na hii inauzwa sh ngap dar apa?
 
Invinsible,
Je, wanabodi hawana haki ya kujua jinsi wanawake wanavyokiona kijiwe hiki? Watajirekebisha vipi ikiwa kama hawafahamu kuwa wanafanya makosa makubwa sana ya Ubaguzi!


Nimewahi tumia LG OPTIMUS P769 nayo ilikuwa imeandikwa T-Mobile 4G
 
kaka nenda setting halafu about maana hilo sio jina kamili ni kama unaniambia samsung galaxy s maana zipo nyingi niliyoiangalia mimi ni lg optimus 4g lte p935

Mkuu simu yangu nimeangalia kwenye mitandao nimeona imeshapewa kitkat lakini kwenye software update nimeona kimya, inamaana hizi update wanachagua watu wa kuwapa au ni baadhi ya nchi tu.
Simu yangu ni xperia ZR.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…