Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Mkuu kuna simu hapa ya tecno N7 nataka niichukue kwa 180,000. Je kwa bei hiyo ni halali au naeza kupata nzuri zaid ya hiyo?
 
chip za qualcom na exynos huwa mara nyingi zinapata updates nyengine hadi 4 au 5. mfano

s4 ilitoka na android 4.2, ikapata android 4.3 ikapata 4.4.2 then 4.4.4 na itapata android l

lumia 520 imepata update ya amber, then black now inapata cyan na soon itapata debian red.

hivyo simu moja huna haja ya kuibadilisha we unabadili version tu na muonekano na function za simu zinabadilika kama umenunua mpya.

Asante Chief kwa ufafanuzi.

Nilikuwa natumia s4 gt i9500 ilikubali kupokea update ya kitkat v 4.4.2

Sasa hivi natumia s4 sch i545 verizon ina v 4.3 jellybean

Kila nijaribu kutafuta uptade mpya ya kitkat 4.4.3 haipatikani au model hii haimo kwenye orodha ya kupokea update hiyo?
 
Last edited by a moderator:
chip za qualcom na exynos huwa mara nyingi zinapata updates nyengine hadi 4 au 5. mfano

s4 ilitoka na android 4.2, ikapata android 4.3 ikapata 4.4.2 then 4.4.4 na itapata android l

lumia 520 imepata update ya amber, then black now inapata cyan na soon itapata debian red.

hivyo simu moja huna haja ya kuibadilisha we unabadili version tu na muonekano na function za simu zinabadilika kama umenunua mpya.

thank a lot kwa hii xplanation.
 
Asante Chief kwa ufafanuzi.

Nilikuwa natumia s4 gt i9500 ilikubali kupokea update ya kitkat v 4.4.2

Sasa hivi natumia s4 sch i545 verizon ina v 4.3 jellybean

Kila nijaribu kutafuta uptade mpya ya kitkat 4.4.3 haipatikani au model hii haimo kwenye orodha ya kupokea update hiyo?

seems imekwama hapo lakini hilo ni tatizo la verizon.

mitandao ya simu ya marekani wana power kuliko makampuni ya simu na wanawaminya sana. pengine hawajapendezewa na hio kitkat wakaamua waipige na chini.

nimeangalia specs zake ina snapdragon 600 hivyo ni sawa na version ya international unaweza ku update kwenda kitkat kupitia rom ambazo wameziport toka international version. ila hili litahitaji simu yako uwe umeiroot
 
Last edited by a moderator:
seems imekwama hapo lakini hilo ni tatizo la verizon.

mitandao ya simu ya marekani wana power kuliko makampuni ya simu na wanawaminya sana. pengine hawajapendezewa na hio kitkat wakaamua waipige na chini.

nimeangalia specs zake ina snapdragon 600 hivyo ni sawa na version ya international unaweza ku update kwenda kitkat kupitia rom ambazo wameziport toka international version. ila hili litahitaji simu yako uwe umeiroot

Asante mkuu kwa hayo kwani sikulifahamu hilo.
 
tecno zinatumia chip
ya mediatek na chip ya simu inajumuisha vitu kama hivi.
-processor
-gpu(kwa ajili ya games na app kubwa)
-fm radio
-network radio mambo ya 3g na 2g

hivyo tunaweza kusema chip zinazoekwa kwenye simu ndio kila kitu sababu
mambo yote muhimu yapo kwenye hio chip, chip ikiwa mbaya na simu pia
itakua mbaya. mediatek ina matatizo mengi kama.
1.inacorupt imei number na ikicorupt basi huwez piga simu wala kupokea
wala kufanya karibia shughuli zote za kisimu hadi uifix.
2. huwezi kuiupdate simu ya mediatek kama inakuja na android 4.1 ili
iende 4.2 inabidi ununue simu nyengine
3. simu zote za mediatek zinatumia cortex a7 ila wanatoka processor ya
cortexa15 soon. hii processor ya a7 haina nguvu sana.
4. sometime vitu kama gps wifi au bluetooth pia huzingua

ina matatizo mengi meadiatek na pia simu zake ni bei rahisi sana.

incase ndio huna budi inabidi ununue simu ya mediatek zipo simu kali za
around dola 130 kama xiaomi hongmi aka red rice na huawei honor 3c
unaweza ukazigoogle uone zilivyokua na specs kubwa kwa bei ndogo

mkuu nimeikuta hii simu GSM arena inaitwa xiaomi mi 3 sijui hapa bongo zinapatikana kwa shilingi ngapi?
 
mkuu nimeikuta hii simu GSM arena inaitwa xiaomi mi 3 sijui hapa bongo zinapatikana kwa shilingi ngapi?

hao jamaa huko india kwenyewe wamefika juzi ila wana supply mbovu. zipo hapa bongo ila wengi wamezifata wenyewe china
 
Za jioni wakuu. Sijawah kutumia smartphones. Naomba mnishaur ninunue ipi yenye aplication nyingi kama instagram n.k. Natanguliza shukrani wataalam. Nipo Dsm
 
Inategemea na bajeti yako.

Vitu vya kuangalia ndani ya simu:

Internal Memory ianzie 1gb

Iwe na speed nzuri.

Iwe na uwe wa kusuppot external memory yenye ukubwa kuanzia 2gb- 16gb

Iwe na camera 3mp -5mp

Ikiw na camera ya mbele kwa ajili ya selfie ( kujiphotoa mwenyewe kwa camera ya mbele)

Ukubwa wa kioo.

Hivyo ni muhimu.

Tatuta simu lg, samsung, sony
, nokia , htc.

Hata tecno
 
Njoo nkuuzie yng, iPhone 4s Ina internal memory ya Gb 32. Kwa 350,000 tu. Call 0716421233
 
kanunue ya huawei ya tigo 130000 au vodafone ya vodacom 100000
 
Nunua iPhone 5s, ni nzuri sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom