Bora hiyo kuliko pgPiga
KP
Pg
Xaxa
Xaf
MKUU KWA NINI?Mimi sipendi mtu aniandikie sms kwa herufi kubwa tyu nachukia sana
Same to meKutumia "X" instead of "s",,,, kwanza sikujibu, if possible nitakupigia tuongee tumalizane , nahisi kichefu chefu kabisa !
Anahisi anakoromewa.MKUU KWA NINI?
Punguza kuwashwa.Ilengeshe
Na tena inaandikwa "pg"Piga
Anagawa kama njugu.Huyo maoni hatoi ila like anatoa
AACHE UPUMBAVUAnahisi anakoromewa.
Kabisa hela tunawapa wanawake walemavu tuuDemu akiniandikia meseji ya "Naomba helaa" kama mm ni Baba yake.
MM NI MWANACHAMA WA UWABATA (UMOJA WA WANAUME BAHIRI TANZANIA)
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Duh! Kisa kukufowadia ndugu yangu.Binafsi nilishamfukuza mke wangu wa ndoa baada ya kunifowadia SMS iliyoishia kwa kusema "tuma ujumbe huu kwa watu kumi (10), usipofanya hivyo hutaona uso wa bwana"
🫵🏻😂😂😂akili kumkichwa sanaNi mimi pekee naona code kwenye hii thread au ngwai zishanichukua?