SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar

Mbona Kenya tunapakana nao au adui ni lazima apitie Zanzibar pekee na ni adui wa nini? haya ni mawazo ya kijinga sn
 
Naona holela sio haramu
 
Kama ni kweli inaitajika uchuñgizi maana huku wanapotea alafu kule wako wengi ...naona wako sahihi kutoa hio taarifa ila tumeipokea vibaya
 
Mbona Kenya tunapakana nao au adui ni lazima apitie Zanzibar pekee na ni adui wa nini? haya ni mawazo ya kijinga sn
Mkuu dunia nzima inataka kupanua maeneo ya nchi yao ukiwa na eneo kubwa ni Mali tosha
 
Takwimu hizo zimepatikana vipi?

Kama ni matukio ya ushoga yaliyoshikwa na polisi ina maa kazi inafanyika nzuri ya kuzuwia ulawiti. lakinoi kama ni matukio ya tafiti binagfsi, inabidi serikali ifanye jitihada kuwakamata hao mashetani. Lakini ikiwa askari wenyewe ndiyo kama yule shoga halafu na mahakama ndiyo kama ile iliyomwacha huru, tusitegemee la maana.

"If such are priests, God bless the congregation".
 
Nilipita hivi karibuni Hapo Forodhani muda wa saa 3 usiku hivi.

Ni kweli nimekuta baadhi ya Vijana wadogo wa below 15yrs wakiomba omba na wengi wachache wakijishughulisha na mambo ya dance Kwa Wageni hasa Wazungu huku wakilipwa kiasi kidogo cha fedha.

Japo kwenye hili, hata Watoto wenyewe wa Kizanzibar nao walikwepo.

Nadhani kama Wazazi tujitahidi kuwajibika kwenye malezi ya watoto wetu, ukiwa irresponsible father hayo mambo tuyategemee sana kwenye jamii zetu
 
Mkuu dunia nzima inataka kupanua maeneo ya nchi yao ukiwa na eneo kubwa ni Mali tosha
Congo inaeneo kubwa kupita kiasi ina nini cha maana? Israel, Ukraine n.k zina maeneo madogo mbona zipo juu kuliko Africa nzima kimaendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…