SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar

SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar

Hivi visiwa lazima tuvitawale kwa sababu ya kiusalama,, ukotoa zile Millitary base za JWTZ Unguja na Pemba basi ujue bara kwetu sio salama tena.
Maana pemba na Tanga ni dakika 55 kwa fast boat,, Unguja na Dar ni dakika 70 mpaka 60 kwa boat, hii inamaana adui akiingia visiwa hivi mfano vikundi vya ugaidi ujue hatutokua salama tena.
Serikali iweke mikakati madhubuti tu katika Muungano huu.
Mbona Kenya tunapakana nao au adui ni lazima apitie Zanzibar pekee na ni adui wa nini? haya ni mawazo ya kijinga sn
 
Isijekuwa hili wimbi la kupotea na kutekwa Kwa Watoto wakawa wanapelekwa Zanzibar Kwa sababu ambazo hatujui.

Mmlaka zifanye Uchunguzi na kuchukua hatua huenda hizi takwimu hapa zikaleta jibu,Kwa nini ulawiti uwe mkubwa Zanzibar (Mjini Magharibi)?

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1816165725972639991?t=YzA9GY85epGOVaWNoJ34fg&s=19

My Take
Poleni sana Wahamiaji Haramu wa Bara 😂😂👇👇👇

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1816160280021192785?t=j-3YgFDjmrwUBAp_Roc2_w&s=19

Naona holela sio haramu
 
Kama ni kweli inaitajika uchuñgizi maana huku wanapotea alafu kule wako wengi ...naona wako sahihi kutoa hio taarifa ila tumeipokea vibaya
 
Isijekuwa hili wimbi la kupotea na kutekwa Kwa Watoto wakawa wanapelekwa Zanzibar Kwa sababu ambazo hatujui.

Mmlaka zifanye Uchunguzi na kuchukua hatua huenda hizi takwimu hapa zikaleta jibu,Kwa nini ulawiti uwe mkubwa Zanzibar (Mjini Magharibi)?

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1816165725972639991?t=YzA9GY85epGOVaWNoJ34fg&s=19

My Take
Poleni sana Wahamiaji Haramu wa Bara 😂😂👇👇👇

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1816160280021192785?t=j-3YgFDjmrwUBAp_Roc2_w&s=19

Takwimu hizo zimepatikana vipi?

Kama ni matukio ya ushoga yaliyoshikwa na polisi ina maa kazi inafanyika nzuri ya kuzuwia ulawiti. lakinoi kama ni matukio ya tafiti binagfsi, inabidi serikali ifanye jitihada kuwakamata hao mashetani. Lakini ikiwa askari wenyewe ndiyo kama yule shoga halafu na mahakama ndiyo kama ile iliyomwacha huru, tusitegemee la maana.

"If such are priests, God bless the congregation".
 
Nilipita hivi karibuni Hapo Forodhani muda wa saa 3 usiku hivi.

Ni kweli nimekuta baadhi ya Vijana wadogo wa below 15yrs wakiomba omba na wengi wachache wakijishughulisha na mambo ya dance Kwa Wageni hasa Wazungu huku wakilipwa kiasi kidogo cha fedha.

Japo kwenye hili, hata Watoto wenyewe wa Kizanzibar nao walikwepo.

Nadhani kama Wazazi tujitahidi kuwajibika kwenye malezi ya watoto wetu, ukiwa irresponsible father hayo mambo tuyategemee sana kwenye jamii zetu
 
Mkuu dunia nzima inataka kupanua maeneo ya nchi yao ukiwa na eneo kubwa ni Mali tosha
Congo inaeneo kubwa kupita kiasi ina nini cha maana? Israel, Ukraine n.k zina maeneo madogo mbona zipo juu kuliko Africa nzima kimaendeleo?
 
Back
Top Bottom