lord mwendokasi
Member
- Jun 14, 2016
- 40
- 38
Walishindwa nini kumteka Chriss Brown alivyokuwa hapo Mombasa juzi, akatumbuiza fasta na kusepa...! mpaka watuletee mzee
K....?Nimabie K..........
Uyo french huku uswahilini hajulikaniHamna bhana, anakuja French Montana.
Unaikumbuka 'Murder was the case' nilikuwa napenda sana anavyo flo huyu jamaa.Nilinunua album ya Snoopy doggy stylenikiwa darasa la sita...namkubali sana huyu jamaa wacha tujikumbushe enzi zetu
haaaaa Never mind banaK....?
Mkuu kuna cku niliandika hapa kwamba kuna siku Clouds inatakiwa watambue hili kuwa kuna wasanii bongo hii wanaweza kuwatengeneza kwa mwaka mzima haraf wakamtumia siku ya fiesta.Hii imevujaa baada ya Adam Mchomvu kulopoka kabla ya tangazo rasmi kutoka afu wakajifanya kupotezea ila ndio ivo kesharopoka.
View attachment 420875 View attachment 420872
View attachment 420872
wahudhuriaji wa Fiesta ni mazuzu pia