Social Media: Usijikute Unabishana na Mtu Mwenye Low IQ Bila Kujua!

Anaweza kuwa form 3 na akakuzidi kila kitu kasoro umri.
 
Kama hadi sasa hamjamtambua kuwa mtoa mada ni muhanga wa msongo wa mawazo na roho mbaya na wala sio kwamba ana akili kutuzidi😂, ebu muangalie hadi sasa anajibizana na sisi mapunguani wenye low IQ

Intelligent businessman min -me ebu muambie huyu muimba taarabu kuwa JF tuliikuta na tutaiachaz, wala sio pahala pa kuchukulia serious fikra na upeo wako.
 
Ila tusifikie huku mkuu😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…