Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #161
ππππ ili nimpe namba yule kadada alieomba namba yakoKwani we unataka ulewe au unakunywa tu kama kinywaji
Mpe tu ivoivo maana utakua umefanya jambo la maana kunapokucha Divai itakua apoπππππ ili nimpe namba yule kadada alieomba namba yako
Ni Tamu sana na unaweza kumaliza mwendo Sisi bd tunaburudika na soda murua kbs.Bado kuna watu wanakunywa soda
Mimi nna miaka 15 sijui soda mpaka sasa
Ova
Ahahahavsheria lnakataaMpe tu ivoivo maana utakua umefanya jambo la maana kunapokucha Divai itakua apoπ
Shemasi upwiru shida masister wenyewe wakazajiAhahahavsheria lnakataa
Kka ulikua vitu nn ππPepsi bariidi baada ya kunywa supu
Bila shaka alikua vyombo huyu bwanaKka ulikua vitu nn ππ
Ahahaha wew wito huna kabisa sasaivShemasi upwiru shida masister wenyewe wakazaji
Hii nina muda sijainywaHongera kwa mtengenezaji wa Mirinda Nyeusi,hiki kinywaji kama ulishawahi kukitumia kikiwa cha bardiii utaungana na hoja yangu[emoji39][emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulipeleke ukweni kwako?
Nakaza msuli mpk wito uwe mkubwaAhahaha wew wito huna kabisa sasaiv
Hawasikii hawa!Narudia kusema ivo. Hawajirekebishi.
Coca cola sijainywa muda mrefu lo
Maji wanayoyatumia kutengeneza hizo Coke π€£π€£π€£π€£π€£πͺπͺπͺπΊπΆπΆπΆπΆLadha yake (coke) inategemea na mkoa/kanda ulipo Mkuu.
Usiniulize kivipi, sijui sana.
Kunywa tu iko na Radha ile ile badoCoca cola sijainywa muda mrefu lo