Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Bia ambazo huwezi kushare chupa na mtu yoyote such as Heineken, Windhoek and likeBia gani mzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bia ambazo huwezi kushare chupa na mtu yoyote such as Heineken, Windhoek and likeBia gani mzuri
Hahaha...Bado kuna watu wanakunywa soda
Mimi nna miaka 15 sijui soda mpaka sasa
Ova
Izo zinalewesha sana flying fish ziko poaBia ambazo huwezi kushare chupa na mtu yoyote such as Heineken, Windhoek and like
Kijana flying fish & savanna waachie dada zakoIzo zinalewesha sana flying fish ziko poa
Hilo li soda halijawai kua na radha.Ni kweli coca siku hizi haisisimui.. Ladha yake baridi sana kama unakunywa dawa ya mganga.. [emoji6]
Saw mkuuKijana flying fish & savanna waachie dada zako
Ahhaha wakigute tuUtadhani unakunywa kinywaji kilichochanganyika na Vumbi au kuchujwa kwa kutumia Gunia na Katani !!
Walevi mkuu ndio Walipa kodi wakubwa maana kodi ya Pombe ni 100% ukiwaita ilo jina na wakati wao ndio chanzo kikubwa cha Kodi sio sawa...Fafanua 🤣🤣
Ahahaha nisameheni kabisWalevi mkuu ndio Walipa kodi wakubwa maana kodi ya Pombe ni 100% ukiwaita ilo jina na wakati wao ndio chanzo kikubwa cha Kodi sio sawa...
Asa ikipoa ukunywiCoca-cola mbaya sana, hazina ladha
Kwani kizuri ni khuuuma tu na mkunnnduuu Kuna vingine vingi vizuri na vitamu.Unakosa vitu vizuri 😂
Shemasi umetokea mlango gani Leo mbn unawasema wenye kiwanda🤣Hi 👋
Soda ya Coca-Cola kwakweli ni mbaya sana sijui kwangu yaani soda ukitoa kwenye friji bas soda hainaa radha ila Pepsi iko vizuri sana Coca-Cola jitafakarini
Ahaha ww si umekimnia na divaiShemasi umetokea mlango gani Leo mbn unawasema wenye kiwanda🤣
😂😂😂Divai yenyewe naona ata silew Wacha nikuletee kwa kwer shemasiAhaha ww si umekimnia na divai
Niletee box 3😂😂😂Divai yenyewe naona ata silew Wacha nikuletee kwa kwer shemasi
Kwani we unataka ulewe au unakunywa tu kama kinywajiNiletee box 3